Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
The weaknesses of Chelsea's back-line have been exposed!Baloteli kama anacheka tu angani home and away
Uzaifu wa beki huja kutokana na viungo wakabaji. Sasa katika hawa viungo wa kati niambie sasa nani ni zaifu, Matic, Ramires na Obi? Au unaongea tu huku ukiwa umesahau wajibu wa viungo wakabaji ktk kuimarisha beki?