mkuu mpaka najiuliza Morinho alimjuaje,kaokoa dahHuyu kipa wa Chelsea ni mzuri sana, bila yeye si ajabu wangekuwa chini hata kwa 2-0
mkuu mpaka najiuliza Morinho alimjuaje,kaokoa dah
bonge la kipa,ile goli ya pili aliyookoa how can you imagine asingeweka mguu kule ukagusa mpira ingekwajeKuna wapambe wake husafiri huku na kule duniani kuangalia wacheza ambao wanastahili kuangaliwa kwa macho mengine mawili kabla ya kusajiliwa. Naona 3 points zinanukia leo. Huyo kipa kifaa sana.
Ni wa kutoka Belgium
![]()
hahahahaha lol!!!! huo uchokozi sasa Mkuu zumbemkuu....wenyewe wa jukwaa hili wanaweza wakaanzisha varangati nawe kwa kumfananisha mlinda mlango wao na participants wa Miss World.
welldone chelsea bado naiheshimu scoutteama ya chelsea thibault courter is the best keeper at the moment in chelsea squad
Tunamsubiri kwa hamu huyo mrembo pale anfield
tunakuja,unakumbuka hii,huyu mrembo alirembua mpaka kuangua kushtuka kitu mwaaaaaah!Tunamsubiri kwa hamu huyo mrembo pale anfield
....waambie bana,
It's only Burnley na Leicester City,
Teams from lower league, sasa EPL ndio inaanza.
#MosKwito !