Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

hivi liverpool na arsenal why mnakuja ku-comment huku?mnataka nini,mtu hajaficha aibu ya nje ndani bado anachokoza
 
Kuna wapambe wake husafiri huku na kule duniani kuangalia wacheza ambao wanastahili kuangaliwa kwa macho mengine mawili kabla ya kusajiliwa. Naona 3 points zinanukia leo. Huyo kipa kifaa sana.

Ni mchezaji(kipa) wa chelsea alitolewa kwa mkopo kwenda atletico madrid ni kama vile lukaku sasa wamemrudisha baada y kiwango chake kuwa kizuri,naye ni kama cech hawajafungwa na lionel messi
 
Mkuu Viol katika ubora wake..ha aha safi sana haya majibu muafaka kabisa aisee!

timu ndogo ilituzungua msimu iliyopita now tunawapa tution,nye mnaojifanywa wakongwe tuliwapiga nje ndani,now tunawapiga nje ndani na upande upande.
 
1408817670021_wps_5_Chelseas_Brazilian_born_S.jpg
 
Blue is the color,
Football is the game..............
Chelsea winners mwaka huu lazima mtu akae.
Twaweza rudia record zetu za 04/05 au kuzizidi.
 
Blue is the color,
Football is the game..............
Chelsea winners mwaka huu lazima mtu akae.
Twaweza rudia record zetu za 04/05 au kuzizidi.


Mkuu andybird314 hilo swala na mimi nimeliona! Na muda so mrefu wataanza kulalamika kua ligi imekosa ubora na ushindani--timu inashinda tu na kutangaza ubingwa mapema. Kumbuka msimu ule waliongea mengi sn!
 
Last edited by a moderator:
mimi nataka mechi ijayo vs Everton; Andre schurrle aanzie benchi; tumuanzishe Willian..willian anaufundi mwingi wa mpira kuliko Andre. Vijana wa Everton watatoa upinzani mkali sana jumamosi ijayo.

Willian anakaa na mpira, msumbufu, mbunifu, king'ang'anizi..yaani kama Hazard. Ila tofauti ni kwamba Willian ana kasi na maamuzi ya haraka.


Kama ikiwezekana..Oscar pia aanzie benchi kwa sababu amechoka sna na kombe la dunia. Mohamed Salah acheze pembeni; Willian acheze jukumu la Oscar.


Oscar na Schurrle waingie kipindi cha pili; iwe isiwe tutafikisha pointi 9 jumamosi.
kama kawaida yetu; one match at a time..



Natabiri Costa kua mfungaji bora msimu huu! Na game ijayo lazima atupie!
 
Hata yeye sasa anaamini kwa Mourinho yuko sahihi kumpiga benchi Torres..
maana unajua Costa ni usajili wa mOurinho ..lakini Torres aliletwa na ushabiki wa mtoto wa Roman.

sasa mambo yanaonekana wazi kwamba Jose Mourinho the special one.


Hela yake inatumika kihalali! Lazima afurahie FAIDA!
 
Narudia tena .. ubingwa wa Premir league tutatangaza mwezi wa 4.

ubingwa wa Capitol one cup pia tunautaka; kwenye hizo mechi Mikel Obi ndo atakuwa kapteni.

Zouma na Andres mabeki wa kati; kipa Mark Schwezer au Jamal Blackman..ha haha.


Mkuu andybird314 hilo swala na mimi nimeliona! Na muda so mrefu wataanza kulalamika kua ligi imekosa ubora na ushindani--timu inashinda tu na kutangaza ubingwa mapema. Kumbuka msimu ule waliongea mengi sn!
 
mimi nataka mechi ijayo vs Everton; Andre schurrle aanzie benchi; tumuanzishe Willian..willian anaufundi mwingi wa mpira kuliko Andre. Vijana wa Everton watatoa upinzani mkali sana jumamosi ijayo.

Willian anakaa na mpira, msumbufu, mbunifu, king'ang'anizi..yaani kama Hazard. Ila tofauti ni kwamba Willian ana kasi na maamuzi ya haraka.


Kama ikiwezekana..Oscar pia aanzie benchi kwa sababu amechoka sna na kombe la dunia. Mohamed Salah acheze pembeni; Willian acheze jukumu la Oscar.


Oscar na Schurrle waingie kipindi cha pili; iwe isiwe tutafikisha pointi 9 jumamosi.
kama kawaida yetu; one match at a time..




Mkuu unachosema ni kweli! Ukimuangalia Willian ana vitu vya ziada kuliko Schurrle lkn kwa mimi nionavyo yoyote akianza na akatoka baada ya muda na mwingine kuingia mambo yatakwenda vzr tu!

Everton last season walitufunga kule kwao na tukawafunga darajani lkn safari hii tunawafunga game zote! Na ihisi hasira ya Jose Mourinho juu ya Everton! Mkakati uliopo ni kushinda game zamwanzoni zote iwe kubwa au ndogo! Na hawa Everton lazima wakae ata walete upinzani kiasi gani!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom