![]()
Enzi hizo ndo Garry Cahill alikuwa amesajiliwa kutoka Bolton si muda mrefu.
hapa wakati Elvis Muamba alipokuwa mgonjwa mahututi hospitalini..
siku hiyo Garry Cahill alifunga goli; alipofunga ndo ikawa hivi.
Duh mkuu una kumbukumbu. Naikumbuka hii siku...ila sikuwa nakumbuka tulicheza na nani!
Uko vizuri mkuu!!!!!
Duh mkuu una kumbukumbu. Naikumbuka hii siku...ila sikuwa nakumbuka tulicheza na nani!
Uko vizuri mkuu!!!!!
Asante Mentor!
goli lenyewe hili hapa: huyo # 23 yuko wapi sasa?
![]()
![]()
JOSE MOURINHO taking the ice bucket challenge[/QUOTE]
Mambo ya 'charity' hayo; ha ha ha ha
Mkuu Ntuzu kapotelea wapi hapa jukwaani,
kwani toka tumechapwa na ATLETICO MARDIRID sijamwona.
Nipeni chance niwe najibu hoja za wapinzani,mpinzani akija lazima atatamani ardhi ipasuke.
FUNUNU.
MATTIA DESTRO MIAKA 23, KUTOKA AS ROMA.
kuna uwezekano tukampata huyu; kuna mikakati inaendelea chini kwa chini kwamba El Nino Torres aende Roma alaf sisi tumchukue huyu kijana..
ngoja tusubiri tuone.:A S-eek:
![]()
Enzi hizo ndo Garry Cahill alikuwa amesajiliwa kutoka Bolton si muda mrefu.
hapa wakati Elvis Muamba alipokuwa mgonjwa mahututi hospitalini..
siku hiyo Garry Cahill alifunga goli; alipofunga ndo ikawa hivi.
FUNUNU.
MATTIA DESTRO MIAKA 23, KUTOKA AS ROMA.
kuna uwezekano tukampata huyu; kuna mikakati inaendelea chini kwa chini kwamba El Nino Torres aende Roma alaf sisi tumchukue huyu kijana..
ngoja tusubiri tuone.:A S-eek: