Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Mkuu najua wewe siyo mchoyo wa pongezi ila kule kwetu sijakuona kabisa...
Mkuu hongereni sn mkuu!
Sikuweza kupita kule mambo yalikua mengi mkuu! Ila nitakuja tu mkuu
Mkuu najua wewe siyo mchoyo wa pongezi ila kule kwetu sijakuona kabisa...
Mkuu hongereni sn mkuu!
Sikuweza kupita kule mambo yalikua mengi mkuu! Ila nitakuja tu mkuu
Mkuu najua wewe siyo mchoyo wa pongezi ila kule kwetu sijakuona kabisa...
Karibu mkubwa...ila chama lenu kama vile linataka kutishia nyau..!!
Nipeni chance niwe najibu hoja za wapinzani,mpinzani akija lazima atatamani ardhi ipasuke.
Nipeni chance niwe najibu hoja za wapinzani,mpinzani akija lazima atatamani ardhi ipasuke.
naona kama mechi zinachelewa,maana chelsea zamu hii tunawapiga wote,yaani radi,tetemeko na mvua kwa mpigoMkuu umepewa tayari; nilikupendekeza umsaidie Ntuzu kwenye hicho kitengo cha kuchangamsha jukwaa. tena kwa majibu yako nadhani tumepata mtu sahihi kwa kazi sahihi..
Mimi na Mentor tutajikita kwenye mapicha. na uchambuzi mbalimbali ila wote tutashirikiana..ukiwa na kitu chema au mchango kwa ajili ya CFC..unawasilisha tunajadili kwa kina na kwa umoja.
naona kama mechi zinachelewa,maana chelsea zamu hii tunawapiga wote,yaani radi,tetemeko na mvua kwa mpigo