Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

cesc-fab_3005078b.jpg
 
Mentor salama kaka? watu wachokoze sana sasa nani huyo ajinyonge, Mou? au..
unajua the Special one anapendwa sana na wachezaji wake. cheki Cesc alivyotulia yaani..anasikiliza maneno ya master.


Kuna mahali nilisoma maelezo ya hiyo picha: "Have you ever been bored by your team's tactics you wanted to strangle yourself to death?"
 
kuna fununu kwamba kuna mbinu Mourinho anataka kuitumia kumtoa Torres kimtindo..yaani atakuwa hampangi katika kipindi hiki cha usajili ..ili dogo apate hasira aondoke. Ngoja tuone maana tayari juzi kwenye mechi vs madogo hakucheza; ngoja tuone jumamosi kama pia hatacheza nitaamini.

baada ya hapo lazima El Nino atamsumbua wakala wake amtafutie timu ya kwenda.



 
kuna fununu kwamba kuna mbinu Mourinho anataka kuitumia kumtoa Torres kimtindo..yaani atakuwa hampangi katika kipindi hiki cha usajili ..ili dogo apate hasira aondoke. Ngoja tuone maana tayari juzi kwenye mechi vs madogo hakucheza; ngoja tuone jumamosi kama pia hatacheza nitaamini.

baada ya hapo lazima El Nino atamsumbua wakala wake amtafutie timu ya kwenda.

ila Mourinho si anataka sriker watatu....
 
kuna fununu kwamba kuna mbinu Mourinho anataka kuitumia kumtoa Torres kimtindo..yaani atakuwa hampangi katika kipindi hiki cha usajili ..ili dogo apate hasira aondoke. Ngoja tuone maana tayari juzi kwenye mechi vs madogo hakucheza; ngoja tuone jumamosi kama pia hatacheza nitaamini.

baada ya hapo lazima El Nino atamsumbua wakala wake amtafutie timu ya kwenda.
nilichogundua morinho mpaka amchoke mtu ni ngumu,ila Tores anazingua wakuu,mechi ya urafki wiki iliyopita kakosa goli la wazi,na sio mara ya kwanza
 
Ni kweli anataka striker watatu; lakini hajasema hao watatu ni nani na nani; mourinho ni proffesinal huwa hasemi akili yake wazi jamaa huwa anaongea kinyume.
Mifano.

1.Alimpa Ashley Cole ukapteni kwenye mechi ya mwisho ya ligi vs Cardiff. watu wakasema inamaana Cole ndo anaagwa? Jose akasema hapana; Cole atabaki.
2.Alisema pia kwamba Frank anahitajika. lakini siku zikayoyoma na hatimaye jamaa akakosa mkataba mpya.

Sasa anaposema anataka striker watatu hataki kuonekana mbaya kwa watu wanaompenda Torres; unajua jambo hilo ndo lilimfukuzisha kaza AVB..kwa sababu yeye alitaka kuwafukuza wachezaji haraka haraka; matokeo yake yakamtokea puani.

Torres itabidi aende..akikaa benchi mfululizo mechi zote hadi tarehe 31, atasepa tu.

kamata NEWS.


[h=1]Roma 'enquire about Chelsea's Fernando Torres'[/h]
hull-chelsea_2.jpg
© Getty Images

Tweet



By Mark Langshaw, Reporter
Filed: Thursday, August 21, 2014 at 01:47 UKLast Updated: Thursday, August 21, 2014 at 01:48 UK

Roma are allegedly keen to sign Chelsea striker Fernando Torres.
The Serie A side have enquired about the Spaniard's availability and are willing to offer Mattia Destro in a part-exchange deal, the Daily Mail reports.
Torres is expected to find first-team football hard to come by at Chelsea, following the summer recruitments of strikers Diego Costa and Didier Drogba.
The forward could link up with his former Blues teammate Ashley Cole at Roma, with the defender having joined the Serie A outfit earlier this summer.



ila Mourinho si anataka sriker watatu....
 
naona mkuu Viol umekuja ki-vingine haha haha safi sana.:A S-eek:


nilichogundua morinho mpaka amchoke mtu ni ngumu,ila Tores anazingua wakuu,mechi ya urafki wiki iliyopita kakosa goli la wazi,na sio mara ya kwanza
 
Moses tayari kasepa On loan Stoke City.
Sasa Angalau akacheze kwa muda mrefu na yeye. Huyu Torres tumpeleke hata QPR kwa nguvu akajifunze kufunga huko bana maana inakuwa kero analipwa hela za bure kabisa
 
tena unajua analipwa hela nyingi sana huyu jamaa; analipwa paundi laki moja na sabini na tano kwa wiki.{175,000}.

sasa hela yote hiyo alaf yeye analeta 'utani' bhana..:A S-eek:
Moses tayari kasepa On loan Stoke City.
Sasa Angalau akacheze kwa muda mrefu na yeye. Huyu Torres tumpeleke hata QPR kwa nguvu akajifunze kufunga huko bana maana inakuwa kero analipwa hela za bure kabisa
 
"(At Burnley) I think it was a good start for me, but of course we can be better. And when I am 100% fit, there will be more.

"So there's a lot of work for me, but I'm feeling good. I'm enjoying my game, I'm enjoying being on the pitch."

"I think the whole team played well (at Burnley). We had a lot of control, passes, good combinations. It was a lot of fun on the pitch."

MANENO YA ANDRE SCHURRLE # 14.
 
Vijana wa LEICESTER CITY FOOTBALL CLUB tunakutana nao jumamosi saa 11 jioni.{saa za afrika mashariki}.

Vijana hawa tumewahi kuwachapa 5-2 msimu wa mwisho walipokuwa ligi kuu.
Sasa mechi ya j'mosi itakuwa mwafaka kwa ajili ya kuendeleza ubabe wetu.
Mechi ya kwanza hawa vijana wa LCFC walitoka sare na Everton.{2-2}..


ec74b818b80c797b97a26807f535ac6d.jpg
 
Vijana wa LEICESTER CITY FOOTBALL CLUB tunakutana nao jumamosi saa 11 jioni.{saa za afrika mashariki}.

Vijana hawa tumewahi kuwachapa 5-2 msimu wa mwisho walipokuwa ligi kuu.
Sasa mechi ya j'mosi itakuwa mwafaka kwa ajili ya kuendeleza ubabe wetu.
Mechi ya kwanza hawa vijana wa LCFC walitoka sare na Everton.{2-2}..


ec74b818b80c797b97a26807f535ac6d.jpg



Kuweka rekodi sahihi; ilikuwa kwenye mechi ya FA. Wakati ambapo Torres alikuwa bado na juhudi...

maxresdefault.jpg

 
5cf2b3d12d736a75e6629622f5ef5062.jpg


Enzi hizo ndo Garry Cahill alikuwa amesajiliwa kutoka Bolton si muda mrefu.
hapa wakati Elvis Muamba alipokuwa mgonjwa mahututi hospitalini..

siku hiyo Garry Cahill alifunga goli; alipofunga ndo ikawa hivi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom