![]()
CHELSEA LEGEND
steve clarke, amekuwa mchezaji na baadaye akawa kocha msaidizi chini ya Jose Mourinho Part 1.
![]()
CHELSEA LEGEND
mkuu osokonoi naomba nitoe malalamiko yangu unifikishie kwa ndugu zako wa Liverpool. nilikuwa huko leo; nikotoa ka-mchango kangu ka mawazo lakini jamaa hawana uungwana aisee kwa wageni. lakini naelewa ndo ushabiki ulivyo.sasa ndo unaona watu wanaogopa kutembea kwa watu..lakini sisi watu wa amani mkuu! uwe huru kuvinjari hapa.
Malalamiko yako nimeyafanyia kazi na nafikiri umeona what I've addressed…
Wanaliverpool ni kati ya watu wastaarabu sana. Nafikiri wewe mwenyewe, mentor na Ntuzu wanalifahamu hilo…walioghafilika ni wasikivu nani waelewa…
Nashukuru sana kwa kunikaribisha...Michezo ni urafiki, amani na upendo
ni wabishi ila wakifungwa wanachanganyikiwa,kinachofaa ni kanuni ya jana,kufunga mawili then kuwaenjoy kama wataweza kusawazishaha ha ha JUMAMOSI tuna mechi nzuri vs LEICISTER CITY..nyumbani darajani. itakuwa mechi nzuri maana hawa mabwana wanajua mpira huwa wanasumbua sana wakicheza na Chelsea..ni 'vipinzani' kimtindo..
ila kama kawaida ushindi ni lazima kwa sasa..
mkuu nilikuwa sijakusoma fb,kwa hiyo ishara ya red nimekusoma,kumbe mi na wewe ni friends fb kwa kuunganishwa na group ya chelsea Tanzania.
mkuu nilikuwa sijakusoma fb,kwa hiyo ishara ya red nimekusoma,kumbe mi na wewe ni friends fb kwa kuunganishwa na group ya chelsea Tanzania.
Swali linakuja wakuu,kwakuwa now big 4 ni chelsea,man city,arsenal na liverpool,je hizo timu zinaweza kupoteza mechi zao kwa timu kama zipi?wakuu ni maswali tu sisi kwa sisi.
Ntuzu nimekuelewa but my aim point ni kwamba je hizo timu za big four udhaifu wao upo kwa timu gani ndgo?lazima wakikutana tuone hawa majamaa wanakamatwa,kwetu chelsea tumwekuwa tukisumbuliwa na sunderland na west ham united,je kwaoAha!
Msimu uliopita tulitoka Sare OT na Man Utd na aliopokuja Darajani tulimpiga!
Arsenal Emirates tulitoka are darajani tukampiga!
Man City na Liverpool tuliwapiga kwao na kwetu!
Msimu huu tunaendeleza ubabe huo huo!
Hizo timu kushinda kwao kwetu iwe kwao au kwetu ni droo! Lkn kichapo kwao kiko hapo hapo!
Ntuzu nimekuelewa but my aim point ni kwamba je hizo timu za big four udhaifu wao upo kwa timu gani ndgo?lazima wakikutana tuone hawa majamaa wanakamatwa,kwetu chelsea tumwekuwa tukisumbuliwa na sunderland na west ham united,je kwao
?
Huku salama .
Cech kuna uwezekano akachukuliwa na either Monaco au PSG
Source goal.com
Hivi mbona sijasikia timu ikimtaka Torres hata kwa mkopo,
Ntuzu nimekuelewa but my aim point ni kwamba je hizo timu za big four udhaifu wao upo kwa timu gani ndgo?lazima wakikutana tuone hawa majamaa wanakamatwa,kwetu chelsea tumwekuwa tukisumbuliwa na sunderland na west ham united,je kwao
?
Kwa sababu kama Chelsea itamweka sokoni Petr Cech na Torres inaweza kupata hata angalau paundi milioni 25 kwa wote wawili. si mbaya kuliko wakae bila kutumiwa..:A S-eek:
Ila Cech hakupenda na hapendi aondoke pale Chelsea FC, ila inabidi aondoke sababu hatapata nafasi