Mkuu kumbe umeliona hilo!we mjanja,ngoja kuna thread nilianzia kuhusu chelsea kama timu yangu,huyo huyo Agost akaja kuniquote kule kwamba kwanini usingeweka kwenye ile thread letu la chelsea ije juu,kumbe anapost au kuponda watu ili thread ili ije juu,umehakikisha alivyoshindwa kujibu hoja zangu na kujibu bla blaa tu,kumbe anasogeza thread juu kisa kwa unafki anaandika we unataka tuendelea page zifike....,halafu anasema nani hanijui mi chelsea watakuja kuonyesha,na kweli mashabiki mandazi bila kusoma hoja lazima wamsifie.........udhaifu gani wa hoja ya Agost,mi kusema Drogba anajua kukwepa Defenders akasema sijui na simfuatiliiaji wa chelsea(hanijui hata),
akasema Vialli ni zaidi ya drogba,nikaleta clip ya video ya Vialli na kumwambia angalia jamaa anachenga mabeki ila Drogba huwa anakwepa mabeki,anakaa sehemu akasahaulika,akipata mpira madhara,na ushahidi nikaweka,jamaa akaanza kuniponda tu,na nikamwambia tena,akaenda kuchukua post yangu niliyosema Sanchez waliyomsajili Arsenal anajua kuliko Diego,akaanza kuonyesha mi arsenal,(nikamwonyeshea post yangu nikisema "nilikuwa sijamwona Diego vizuri akiwa mbali na chelsea na nimwona now anafanya vizuri''bado akawa analazimisha point mi sio chelsea.
Nikadhani huyu Agosti hanielewi,nikaweka mfano,(rudi page moja au mbili nyuma),nikasema mfano simba wakamsajili Messi,halafu Yanga wakamsajili Samata,Nikisema Simba wamefanya usajili mzuri Kumsajili Messi ambaye ni mchezaji wa dunia kuliko Yanga waliomsajili Samata,Je hapo mi ni msaliti wa Yanga kisa nimesema simba wamefanya usajili mzuri kumsajili Messi kuliko Samata?
agosti 8 unafanya unafki na hata wanaokusupport wanakupumbaza kukupa kampani tu kwamba usionekane upo empty.,.
NARUDIA MFANO:Simba wamemleta Messi toka Barcelona na kumsajili,Yanga wakamleta Samata na kumsajili,Mi ambaye ni Yanga nikasema ;Daah Simba wamemleta Messi,wametisha na wamefanya usajili wa ukweli(ila mi yanga),halafu wewe ukaanza ooh,Viol mamluki hamsifii Samata,.......
Yaani kwa hiyo point we ndo unasema mi mamluki.
C.C@Belo