ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,248
- 1,746
Kuna mashabiki mandazi wa Chelsea humu,yaani hata kuzungumzia ubora wa mchezaji anayechezea timu nyingine wanaona we msaliti,unafki unasumbua sana,siku huyo mchezaji chelsea wakimwuza au akajiondokea wanajifanya wanaponda.
Nikisema Sanchez anajua kuliko Diego haimaanishi mi mshabiki wa Arsenal,au nikisema Arsenal wamefanya usajili mzuri kumsajili Sanchez kuliko Chelsea kumsajili Diego haina maana mi Arsenal.
we nawe kweli mamluki kama anavyosema mdau. huyo Sanchez hawez kumfikia Diego wala hata kumkaribia kwa ubora. Hao Arsenal wako sijaona walichosajili kumshinda chelsea.
Hii ya kukubali wachezaji wa timu pinzani ipo lakini siyo huyo Sanchez kw Costa atasubiri sana.Arsenal wangekua wamemsajili Suarez kweli ningesema wamejitahidi ...........
Grand PA