Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,883
Last edited by a moderator:
Mdudu Mbu salama kaka?
naona mnafurahia maisha sasa eeh? ngoja ligi ianze jirani..:nerd:
.....hahahaha, Nane-nane kama kawa!
Poulis kabwaga manyanga, bado Mourinho sasa!
.....hahahaha, Nane-nane kama kawa!
Poulis kabwaga manyanga, bado Mourinho sasa!
abwage machanga kisa nini mdudu wa dengue?
Wenger alifunga 8-2 bado yuko kazini..
Wenger alifungwa 6-3 na man city mwaka jana bado yuko kazini,
Wenger kafungwa 5-1 na LFC msimu ulopita bado yuko kazini.
Wenger tumemfunga 6-0 msimu ulopita bado yuko kazini..
na tena bado mnamwita LE PROFESERI.
ha haaha sawa mkuu Mbu. karibu lakini..:wacko:
....hahahha, haya bana usijefuta hii post tu siku chache zijazo, maana panapo uzima mwezi
May haupo mbali, Abramovic si mnamjua?!.....
Yetu macho.
kaka tukiweka utani pembeni; kikosi cha msimu cha Chelsea ni kiboko tena moto wa kuotea mbaliiiiiiiiiiiiiiii.
pale kati Fabregas na Matic ni bonge la ukuta aisee.
umetazama mechi zetu za Pre-season mbu? au ulikuwa bize kubeba sahani?
HABARI MPYA!!!!
Mabadiliko ya namba za jezi kwa wachezaji:
Didier Drogba alipewa # 15 sasa amerudishiwa namba yake # 11.
Emboaba Oscar alikuwa na # 11 sasa atavaa namba ya Legend Super Frank, # 8.
Victor Moses alivaa # 13 kabla hajaenda kwa mkopa LFC, sasa atavaa 18.
Thibaut Courtois atachukua namba ya Moses, yaani atakuwa anavaa # 13.
Kweli kabisa..mechi za Arsenal na Man utd tunamweka Drogba hahahahahahahahaha
Mkuu kunguru mjanja hiyo feelings za kuupdate fasta naielewa ila bado hujui nimemjibu huyo jamaa kwenye situation gani,na nimemjibu yeye na si members wengineMkuu Viol, itakuwa wewe huelewi tunapoweka updates au unapopata kitu na kukiweka haraka sana ni kutaka ku-share vitu na familia yetu (#teamChelsea family).
Sasa wewe unapokuja na kusema si uzalendo au ni kiherehere unakuwa umeongea bila hata kufikiria maana hakuna mtu anataka sifa hapa bali ni kupeana habari kuhusu timu yetu.
Mkuu kunguru mjanja hiyo feelings za kuudate fasta naielewa ila bado hujui nimemjibu huyo jamaa kwenye situation gani,na nimemjibu yeye na si members wengine
Mfano wewe unapopata kitu au taarifa nzuri hata mbaya na kuwajulisha familia yako nyumbani, je hicho ni kiherehere au ?