Mkuu
agosti 8 mara nyingi hufurahi sn pale napokuona unasimamia hoja na itikadi za msingi za chelsea fc! Chelsea fc ni timu ambayo tuko na SPECIAL SPIRIT ambayo hii inabeba maana zote za namna ya kuielezea chelsea fc!
Viol ni ndugu yetu ktk hii familia ya chelsea lkn tunapaswa kumuweka sawa ili aweze kwenda sanjari na kanuni na itikadi na spirit ya timu yetu!
Napenda niseme kitu kimoja kidogo!
Kumlinganisha D Costa na Sanchez wa Arsenal ni upuuzi! Costa ni mashine ingine hiyo!! Mwaka jana Ozil alitua kwa jirani zetu na ikawa kelele nyingi na mimi hapa nilikua nawambia majirani zetu kua Ozil hamna kitu! Mpk pale yalipowakuta wakakubali na kumuona galasa! Ni kawaida ya jirani zetu wakipata kifaa basi inakua ndio gumzo na mwisho wa siku wanakua kimya!
Ukitaka kujua shughuli ya SIMBA MZEE au Drogba waulize mabeki hawa hapa watakuambia vzr!
Skertl wa Liverpool
Agger
Vidic
Rio Fedinand
Poyor
Raphael Marquez
Na mabeki wa kati wa arsenal wa wakati huo!
Chelsea tuko na kocha mwenye special spirit
Timu yenye special spirit
Mashabiki wenye special spirit
Na mmiliki wenye special spirit
Dematteo alitwaa CL Cup kwa special spirit
Msimu huu jirani zetu na timu zote za top ,10 watakoma!
#ktbffh