Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

wazee wanaoneka kuchoka sana hata kabla ligi haijachachamaa.........hii ni hatari.....Blaack pamoja na kuwa hana pumzi......ni vizuri akawa anachezeshwa hasa kipindi cha kwanza.......huwa anaipiga ile namba 8 vizuri sana.......dah poleni sana Chelsea
 
Chelsea wameonyesha udhaifu wao kwenye set pieces, magoli yote mawili ni free headers, kwa kweli Chelsea wamecheza vizuri ila siku ilikuwa sio yao, Ligi mwaka huu itakuwa ngumu sana.
 
Pole sana Kigogo,ndo ukubwa huo

yaani nilitamani kipasue TV bosingwa anacheza upuou tupu ndo kasababisha magoli yote ma 2.lampard naye sijui kakesha pub jana yaani kufungwa magoli ya kona ni poor marking ya mabeki...ndo maana abromovic anafukuzaga makocha
 
yaani nilitamani kipasue TV bosingwa anacheza upuou tupu ndo kasababisha magoli yote ma 2.lampard naye sijui kakesha pub jana yaani kufungwa magoli ya kona ni poor marking ya mabeki...ndo maana abromovic anafukuzaga makocha

Ancelloti siku zake zitaanza kuhesabika muda si mrefu
 
Na Mrusi asivyokuwa na simile, wakifungwa mechi nyingine tu Ancelloti bye!
 
Frank-Lampard-Chelsea-Premier-League_2373624.jpg



Drogba afunga bao la pekee la Chelsea

Didier-Drogba-Chelsea-Premier-League-PA_2373625.jpg



Didier-Drogba-Chelsea-Premier-League-2_2373626.jpg

 
Poleni sana Drogba alifunga goli kali sana,nakumbuka hawa Aston Villa walichangia kuondoa kibarua cha Mourinho,
 
Poleni sana Drogba alifunga goli kali sana,nakumbuka hawa Aston Villa walichangia kuondoa kibarua cha Mourinho,

So unadhani nae carlo ataondoka kwa kipigo cha juzi au ndio unatuombea njaa maadui zako mtani wetu???
 
...tehe hee...Ancelotti naye keshasoma alama za nyakati...
mtu akishaanza kuomba maji ujue roho inakaribia kuacha mwili!!! 😀
So unadhani nae carlo ataondoka kwa kipigo cha juzi au ndio unatuombea njaa maadui zako mtani wetu???

...huenda hukunisoma awali mkuu. Carlo Ancelotti keshazisoma alama za nyakati, fikiria Peter Kenyon alivyotendwa... Mbaya zaidi key players wenu (Drogba, Kalou na Essien) January haoooo Africa Cup of Nations...

Hii ni mtake msitake itakuwa. 1st EPL Manager kufungashiwa virago/ kutimuliwa nilidhani atakuwa Rednapp mwezi huu wa October, lakini upepo umemgeukia Ancelotti sasa, no wonder mwenyewe tayari keshasema anatamani kuifundisha Roma...😀
 
...huenda hukunisoma awali mkuu. Carlo Ancelotti keshazisoma alama za nyakati, fikiria Peter Kenyon alivyotendwa... Mbaya zaidi key players wenu (Drogba, Kalou na Essien) January haoooo Africa Cup of Nations...

Hii ni mtake msitake itakuwa. 1st EPL Manager kufungashiwa virago/ kutimuliwa nilidhani atakuwa Rednapp mwezi huu wa October, lakini upepo umemgeukia Ancelotti sasa, no wonder mwenyewe tayari keshasema anatamani kuifundisha Roma...😀

Why not the fat Spanish Waiter of Loserfool?
 
Chelsea 4 Atletico Madrid 0

Kalou 2

Lampard 1

na own goal from Flo Molouda delivery!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom