Hii ndo final score au ni mtazamo wako tu? Je ni hujma za refa?
Siwezi kujua kwa nini timu moja inapata penati 3 kwenye mechi moja.
Timu nyingine CFC inakosa penati hata moja wakati watu wanaangushwa kwenye sanduku zaidi ya mara 3.
Siwezi kujua mkuu Sizinga, maana beki wa Norwich alipewa kadi ya njano kwa kumwangusha Hazard, ndani ya box lakini mbona hakutoa penati?
Kumbukeni mechi yetu vs Sunderland.
Kuna kitu.🙂