Mkuu
EMT Pep kaiharibu sana Bayern, sikutegemea wangefungwa kirahisi vile na R.Madrid, wamekua kama Arsenal bana!?
Waliosema "if it ain't broke, don't fix it" hawakukosea. Bayern was just fine with their style. Kabla ya Jupp Heynckes, Bayern walikuwa wanacheza style ya kumiliki mpira inayofana kama ile ya Barcelona. Style hiyo ilianzishwa na Louis van Gaal ambaye anadaiwa kuwa atakuwa manager wa Man Utd. The style was so beautiful lakini hawakushinda chochote.
Alipoingia Jupp Heynckes akaongezea style ya gegenpressing. Kwa hiyo wakawa wanacheza both gegenpressing na tiki-taka styles kulingana na style ya timu pinzani. Pep alipokuja, akaja na style ya Barcelona au niseme ya Spain na kuua gegenpressing.
I think style ya Barca ya tiki-taka itakufa soon. Kama umeangalia mechi za Barcelona, Arsenal na Bayern hivi karibuni, timu pinzani zimegundua a tactical approach ambayo inaweza ku-dominate tiki-taka style. Real Madrid did exactly that against Bayern.
I think the future style itakuwa "gegenpressing". Tiki-taka style ya Barcelona na labda Arsenal ina-press teams as much as high up the pitch. Lakini ukikutana na timu ambazo ni ultra-organised and ultra-committed lazima utapigwa bao nyingi au unaishia kupiga pasi ambazo hazikusogezi mahali. Umeona goli walizopigwa Arsenal na top teams msimu huu?
Gegenpressing style ina-focus zaidi kwenye organisation na commitment ya ku-defend na kushambulia kwa wakati mmoja tena kwa haraka. Jürgen Klopp anakwambia in gegenpressing style, the ball is played very "fast and accurately". Diego Simeone nae naona kama ameifanya A. Madrid kuachana na tiki-taka.
Ukitaka kuona jinsi gegenpressing inavyochezwa, cheki movements kwenye goli la kwanza la Dortmund dhidi ya Malaga kwenye robo fainali ya champions league (second league) mwaka jana. Gegenpressing inahitaji kila mchezaji acheze tirelessly hata kama timu yake haina mpira. So, wachezaji kama Mata na Silva will struggle b'se they are effective only when their teams have the ball.
Ukiwasoma wachangiaji wengi hapa jukwaani na kitaa wanapenda zaidi style ya tiki-taka. They think is attractive and sexy. Ndiyo maana some were lost in translation, Hazard aliposema kuwa Chelsea hawachezi tiki-taka style. Walidhani alikuwa anaikosoa Chelsea kwa kutocheza tiki-taka.
I am not saying that Chelsea play gegenpressing football because they can't. Hawana wachezaji who are faster and accurate enough to do that. Chelsea don't have devastating finishing players.
Barcelona imewafanya watu wengi kuamini kuwa tiki-taka is the best style of playing football. Inawezekana lakini timu nyingine zimeshajua jinsi ya kukabiliana na tiki-taka.