kwanini wewe hukuwabana kina Arda, Diego, philipe luiz, Adrian na kina Tiago wasilete madhara kwako???
Hao ATM, akina Messi na Ronaldo huwa wanashindwa kufurukuta, sembuse kina Hazard hao???
Lost in translation. Wengine wanadai alichosema ni kuwa "Chelsea are not set up to play tiki-taka football..."
Hata hivyo ni yeye mwenyewe alisababisha goli la kwanza na la tatu kwa ku-switch off.
nDIYO maana hakuna shabiki aliyelalamika! We took the deteat like men...not cry babies!
Come on! We all saw how Terry cried like a little puppy!!!
Alafu Km Goli Zai ni makosa ya wachezaji Wa Chelsea kusahau watu! Goli la kwanza na tatu ni makosa ya wachezaji wenyewe!
Asante BelindaJacob
KULIA OUT OF PASSION na KULIA KWA KULALAMIKA kuna tofauti kubwa!
Atleast umeamka na ku-face the reality!?!!..Pole sana bestitoAsante BelindaJacob ...i slept! kuamka ndo ilikuwa shida...i just wished it was a dream..anyway...
hahahah sawa mkuu mimi nilitaka nisikie maoni yako tu,na vipi hiyo kauli yake ya pili kusema kwambaKila mmoja Yuko Huru kutoa maoni Na pia maudhui ya hiyo Habari hayajakaa sawa! Hiyo Habari imetiwa chumvi Na waandishi Wa Habari! Huwezi chukua sentesi moja ya Hazard then ukaja na Habari kwamba Hazard anaponda mpira Wa Jose!
sure mkuu sasa hivi ndo naanza kuona kwamba mourinho hakuwa kocha sahihi wa madridthats why Brendan Rodgers anakwambia "it's not diffcult to coach 10 players in the 18 yard box" kwa misingi hiyo ana maanisha ni kazi ngumu mnooo kuwafundisha wachezaji 10 wacheze uwanja mzima.
leo ndo mmejua kwamba timu bora ulaya naamini mngepaka kikosi sahihi kidogo mngeweza kukurukuta tofauti na selection aliyofanya mourinho ya hovyo kabisa kujaz defensive players uwanjani na kuwaacha attack minded players kwenye benci akina shurle na oscarsawa kwasababu leo kulikuwa hakuna matokeo ya sale so tumekubali kufungwa na timu bora kabisa ulaya.....!?
kama mpira ungekuwa fair chelse haikustahili kushinda mechi ileKama ilivyostahili kufungwa Liverpool kwenye EPL.
Wewe si ulikuwa unamponda Mata kuwa hawezi kusaidia kukaba kama hao midfielders wa Chel$ki$ waliobaki?
Umeona jinsi Maureen asivyo mwalimu wa soka?!? Utalazimishaje offensive minded player kuwa defensive?
Mwalimu mzuri wa soka ni yule ambaye anajua kumake the most out of a player's talents.
hahahah sawa mkuu mimi nilitaka nisikie maoni yako tu,na vipi hiyo kauli yake ya pili kusema kwamba
i cant do it all by myself huoni kwamba hamna teamwork kwenye timu yenu?
Tuko na timu work sn! Lkn Km umefatila game ya Jana utagundua Chelsea walikua chini ya kiwango chao hasa Kipindi cha pili na hasa kiakili wachezaji hawakua saws na yote hayo ni kutokana na kuifikiria sn hiyo game! Walikosa kitu fulani na Ndio matokeo yakawa hivyo!
Na pia wachezaji hawajapona sawa sawa Km Terry Hazard na Etoo Ndio maana walikua wazito vile!
Anyway! ATM wako vzr na walistahili kushinda walikontroo game na wachezaji vzr kabisa kiasi kwamba mazara wao hawakupata sn!