Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Its a bad day for the fans ila hata kama tungevuka tusingefika popote pale
 
That is exactly what happens if you don't play football! Morinyo inabidi abadilike,huu sio wakati wa kushinda mechi kimagumashi
 
Kauli tata za hazard: 'chelsea were not made to play football'

'i can do it all myself'

Ntuzu embu naomba uje uzichambue hizi kauli za hazrd baada ya mechi ya jana alikuwa akimaanisha nini hasa

Kila mmoja Yuko Huru kutoa maoni Na pia maudhui ya hiyo Habari hayajakaa sawa! Hiyo Habari imetiwa chumvi Na waandishi Wa Habari! Huwezi chukua sentesi moja ya Hazard then ukaja na Habari kwamba Hazard anaponda mpira Wa Jose!
 
Last edited by a moderator:
That is exactly what happens if you don't play football! Morinyo inabidi abadilike,huu sio wakati wa kushinda mechi kimagumashi

Alichemsha sana leo,timu inahitaji ushindi Oscar,Etoo,Ba wako nje then analazimisha kumchezesha Cesar winga hizi ndio mechi zilizokuwa zinamfaa Mata
 
Kila mmoja Yuko Huru kutoa maoni Na pia maudhui ya hiyo Habari hayajakaa sawa! Hiyo Habari imetiwa chumvi Na waandishi Wa Habari! Huwezi chukua sentesi moja ya Hazard then ukaja na Habari kwamba Hazard anaponda mpira Wa Jose!

Mwangaluka Nkoyi...

Cholo ni noma pale mngepaki meli ile ya Mv Kishtobe
 
Kauli tata za hazard: 'chelsea were not made to play football'

'i can do it all myself'

Ntuzu embu naomba uje uzichambue hizi kauli za hazrd baada ya mechi ya jana alikuwa akimaanisha nini hasa

Lost in translation. Wengine wanadai alichosema ni kuwa "Chelsea are not set up to play tiki-taka football..."

Hata hivyo ni yeye mwenyewe alisababisha goli la kwanza na la tatu kwa ku-switch off.
 
Hivi weye unashabikia timu gani? Maana huchemi isije ikawa ile timu ya vichochoroni khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Huwa sishabikii timu. Kushabikia timu inakufanya unakuwa blind.
 
Lost in translation. Wengine wanadai alichosema ni kuwa "Chelsea are not set up to play tiki-taka football..."

Hata hivyo ni yeye mwenyewe alisababisha goli la kwanza na la tatu kwa ku-switch off.

BeiN sport ilimquote "Chelsea are not made to play football, we're good on the counter, a little bit like Real agaist Bayern"

Pia Ed Aaron wa The Guardian, aliquote maneno mengine ya Hazard na aliyapost twitter "often, i'm asked to do it all by myself and its not easy"...maneno kama hayo yanaonesha kabisa kuwa Hazard hazifurahii tactics za kocha wake!
 
Naona Leo imekua sherehe! The best Team has Lost.


Watu weweeeeeeeeeee!
 
Naona Leo imekua sherehe! The best Team has Lost.


Watu weweeeeeeeeeee!

The best team? Ntuzu pls man!The beast team has been dismantled perfectly!

May 24 tunajiandaa kuona soka la kuvutia sio kama Chelsea ingeshinda ingekuwa inasubiri penati!
 
Last edited by a moderator:
BeiN sport ilimquote "Chelsea are not made to play football, we're good on the counter, a little bit like Real agaist Bayern"

Pia Ed Aaron wa The Guardian, aliquote maneno mengine ya Hazard na aliyapost twitter "often, i'm asked to do it all by myself and its not easy"...maneno kama hayo yanaonesha kabisa kuwa Hazard hazifurahii tactics za kocha wake!

Mmeanza na uongo wenu! Juzi amekuja Anfield kawafunga mkakosa la kusema na kuanza kulala kua kapaki basi na WAKATI ni kosa la kocha wenu kuwambia Loserfool kushambulia na WAKATI wangecheza kwa kulinda goli Lao na umakini ata DROO wangepata! Mbinu Zake Jose zikifanikiwa mnakosa la kusema!


ATM walijiandaa vzr tu na walihakikisha Hazard na Willian hawaleti mazara yoyote yale! Na pale Kati wakawa wanatibua tu! Ndio maana Hazard na William na Ramires na Torres washindwa kuonesha cheche!


Alafu Km Goli Zai ni makosa ya wachezaji Wa Chelsea kusahau watu! Goli la kwanza na tatu ni makosa ya wachezaji wenyewe!
 
The best team? Ntuzu pls man!The beast team has been dismantled perfectly!

May 24 tunajiandaa kuona soka la kuvutia sio kama Chelsea ingeshinda ingekuwa inasubiri penati!


Najua zote hizo ni chuki zenu zidi ya Jose na Chelsea!
 
Last edited by a moderator:
Mmeanza na uongo wenu! Juzi amekuja Anfield kawafunga mkakosa la kusema na kuanza kulala kua kapaki basi na WAKATI ni kosa la kocha wenu kuwambia Loserfool kushambulia na WAKATI wangecheza kwa kulinda goli Lao na umakini ata DROO wangepata! Mbinu Zake Jose zikifanikiwa mnakosa la kusema!


ATM walijiandaa vzr tu na walihakikisha Hazard na Willian hawaleti mazara yoyote yale! Na pale Kati wakawa wanatibua tu! Ndio maana Hazard na William na Ramires na Torres washindwa kuonesha cheche!


Alafu Km Goli Zai ni makosa ya wachezaji Wa Chelsea kusahau watu! Goli la kwanza na tatu ni makosa ya wachezaji wenyewe!

hizo quotes za Hazard nimeziquote kama zilivyo kutoka BeiN sport via Goal.com na kwenye Twitter A/C ya Ed Aarons wa The Guardian!

Asa uongo ukwapi hapo???

Ukweli ni kwamba aina ya mpira wa Mourinho ni kupaki basi na counter tu, mpira wa kufungua na kucheza kwa nafasi hauwezi..ndo maana alishindwa madrid, na ndo maana akapigwa bao 3 jana!!!!
 
Mmeanza na uongo wenu! Juzi amekuja Anfield kawafunga mkakosa la kusema na kuanza kulala kua kapaki basi na WAKATI ni kosa la kocha wenu kuwambia Loserfool kushambulia na WAKATI wangecheza kwa kulinda goli Lao na umakini ata DROO wangepata! Mbinu Zake Jose zikifanikiwa mnakosa la kusema!


ATM walijiandaa vzr tu na walihakikisha Hazard na Willian hawaleti mazara yoyote yale! Na pale Kati wakawa wanatibua tu! Ndio maana Hazard na William na Ramires na Torres washindwa kuonesha cheche!


Alafu Km Goli Zai ni makosa ya wachezaji Wa Chelsea kusahau watu! Goli la kwanza na tatu ni makosa ya wachezaji wenyewe!

kwanini wewe hukuwabana kina Arda, Diego, philipe luiz, Adrian na kina Tiago wasilete madhara kwako???

Hao ATM, akina Messi na Ronaldo huwa wanashindwa kufurukuta, sembuse kina Hazard hao???
 
Teh teh teh teh!!

#TheSemiFinalOne ImageUploadedByJamiiForums1398930993.581487.jpg
 
Wakuu mi nimekubali Hali iliyotokea Darajani! Kuna mengi naweza sema Lkn ktk Goli mbili ukiacha lile la penati ni makosa ya wachezaji Wa timu Yangu!


ATM walistahili kushinda! Kipindi cha pili tumecheza hovyo kabisa!

Sema ni makosa ya Hazard; mchezaji ambaye Maureen anataka kufanya awe kama beki..

Huwezi kulazimisha Ferrari ifanye kazi ya Fuso bana...ila kwa Maureen analazimisha hivyo...ndiyo maana akaona #JuanUnitedMata hafai!!
 
Lost in translation. Wengine wanadai alichosema ni kuwa "Chelsea are not set up to play tiki-taka football..."

Hata hivyo ni yeye mwenyewe alisababisha goli la kwanza na la tatu kwa ku-switch off.
ila mi nahisi alikuwa ana switch position kwa sababu mwanzo aliwekwa acheze kama namba kumi na yeye huwa mzuri akitokea pembeni either kushoto au kulia hasa kushoto .

pia unaizungumziaje kauli yake hiyo ya pili aliyosema `i cant do it all by myself` mi kwa ufahamu wangu mdogo nimeweza kuelewa kwamba hamna teamwork ya kutosha katika timu,timu ambayo kuna teamwork ya kutosha sidhani kama kuna mchezaji anaweza kusema kama hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom