mwenemti
JF-Expert Member
- Feb 15, 2014
- 309
- 59
jitihada haizidi uwezo mlistahili kufungwa.
sawa kwasababu leo kulikuwa hakuna matokeo ya sale so tumekubali kufungwa na timu bora kabisa ulaya.....!?
jitihada haizidi uwezo mlistahili kufungwa.
Hizo formation zake zikikubali, basi ndo misukule yake ndo inaanza kumwita "master tactician"
Ni Mimi mwenyewe Mkuu!
Nimekubali Mkuu!
Mkuu ulikua wapi leo? Sijakuona mitaa ya live updates na nilikuita sana bila mafanikio.
sawa kwasababu leo kulikuwa hakuna matokeo ya sale so tumekubali kufungwa na timu bora kabisa ulaya.....!?
Wakuu mi nimekubali Hali iliyotokea Darajani! Kuna mengi naweza sema Lkn ktk Goli mbili ukiacha lile la penati ni makosa ya wachezaji Wa timu Yangu!
ATM walistahili kushinda! Kipindi cha pili tumecheza hovyo kabisa!
Mkuu nilikuwepo nasoma tu comment zenu!
Timu yako haikafika Semi final ya Champions League kwa kuwa mnamapungufu kuliko Chelsea,
ATL ni wazuri ndio sababu wanaongoza ligi yao na pia wamefika Fainali,
we were not at our best ,ATLETICO walistahili ushindi,
KTBFFH..
Wakuu mi nimekubali Hali iliyotokea Darajani! Kuna mengi naweza sema Lkn ktk Goli mbili ukiacha lile la penati ni makosa ya wachezaji Wa timu Yangu!
ATM walistahili kushinda! Kipindi cha pili tumecheza hovyo kabisa!
Pole Mkuu, Kuna mtu akaniambia Ukivaa jezi kama za Sunderland tu, basi daraja linamong'onyoka lenyewe.
Khe Khe Khe Khe Khe
Aaaaaaaaaah! Aise mna maneno nyie!