safi sana CHELSEA FC.
tumewafunza kuongea sasa..ongeeni hadi mchoke:
LIVERPOOL FC 0 - 2 CHELSEA FC[INSIDE ANFIELD]
tumewafunza kuongea sasa..ongeeni hadi mchoke:
LIVERPOOL FC 0 - 2 CHELSEA FC[INSIDE ANFIELD]
Kama hakuna time wasting sababu dk zinaongezwa then kwanini Cole alipewa kadi ya njano kwa kupoteza muda? Kwanini hazard alimfumua teke ball boy, siku chelshit walipocheza na Swansea?
Its obvious kwamba ni ngumu kupenya watu 11 waliojazana kwenye eneo la kipa. Na moja ya kipimo cha timu inayoshambulia vizuri ni magoli...you have the answer on this...ni aibu unaongelea kufunga wakati Skrel anawazidi magoli washambuliaji wenu!