So you call that football?
nothing..ulipaswa kujua jambo hili mapema:
tumekuziba mdomo..piga nje ndani..kimyaaa.:smile-big:
nothing..ulipaswa kujua jambo hili mapema:
tumekuziba mdomo..piga nje ndani..kimyaaa.:smile-big:
Mkuu nimekubali! Ngoja sasa waone moto!
Maana Kumbe wamezoea moto Hawa MBURUKENGE LOSERFOOL.
ang'ate tena tuone:
SUAREZ atalala hoi..🙂
So you call that football?
kelele kama kocha wenu....nashangaa kuwasikia mabingwa mkisema ubingwa bye bye!!! wakati mmemchapa direct opponent!
So what do you call that? Basketball? Unachekesha wewe!
kelele kama kocha wenu....nashangaa kuwasikia mabingwa mkisema ubingwa bye bye!!! wakati mmemchapa direct opponent!
Umekuja na wewe Moyes?
So what do you call that? Basketball? Unachekesha wewe!
So you call that football?
chelsea fc kwa miaka 10 iliyopita imekuwa na mifumo mikuu 2.
4-3-3.(jana)
4-2-3-1(kama tunataka kucheza attacking football)
hakuna siri katika formation; siri ya mafanikio ya CHELSEA FC ni ile 'special spirit'. we like to WIN..WINNING IS THE ONLY OPTION.
OUR AIM IS NOT TO POSSES THE BALL ..BUT TO SCORE GOALS.🙂
what is osokonoi?:der:
Hakuna 'time wasting' kwa sababu ndo maana kuna 'additional minutes'. FIRST HALF: ziliongezwa dakika 3 tukacheza hadi 49. Mwishoni mwa gemu ziliongezwa 4 tukacheza hadi 95. mbona husemi hilo pia?
Mlishindwaje kupenya ukuta..kama kweli nyie mna washambuliaji wazuri?
Sasa tumepata mechi 17 za EPL bila kuruhusu hata goli moja.:smile-big:
Na mfumo wa 9-0-1 huwa mnautumia mkitaka kufanyeje?
Km kucheza ndani ya box ni makosa basi FA Waifungie Chelsea!
Alikuja na mlinganisho Wa wachezaji nikamwambia hiyo itabaki hapa jf Lkn sio uwanjani! Ameona mwenyewe!
Sasa anakuja na kejeri kwa Jose!
Hatukwenda ANFIELD KUMFURAHISHA OSOKONOI KWA KUCHEZEA MPIRA. Tumekwenda kuchukua point 3 na kushida!
BR ni Mdogo tu na ataendelea kujifunza mengi toka kwetu!