Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

huyu dogo Tomas Kalas aisee nimemkubali sana sikuteemea kama angeweza ku-defence kiac hiki,,bado tunavipaji sana the bluez, ndo nimetoka kuiangalia tena kwa mara nyingine full match namna tulivyowapiga liver


utawasikia wanasema Chelsea Fc hakuna vipaji.

Thomas Kalas #33.
Nathan Ake #27.

walikuwa kwenye list ya jana.

:smile-big:
 
Raheem Stearling among of the specialists in diving in their triple "SSS"

SPECIALIST IN DIVING.
 
magoli yote yalianzia kati kati ya uwanja. makosa yao Gerrard akateleza tukachukua mpira toka 'kati' hadi golini mbona walishindwa kuzuia?
Kumbe wazembe sana hawa..
Goli la pili tumewavuta wakavutika kwenye goli letu; Dan Sturredge akapiga shuti tukaokoa mbele kwa Willian, Willian kwa Torres ..na Torres kwa Willian hatimaye gooooool;

LFC the past tense.
CFC the present tense.
na maana nasema makocha wengine wanajidhalilisha tu hakuna kitu,,,unapoiponda tactic ya mwenzio wakti yako imefeli cjui hata mwenyewe unajionaje, Walikuwa wanataka wafunge kirahic wakati cc tumekuja kuchukua point tatu muhimu
 
anajidhalilisha tu, watu wote wako nyuma mbele hakuna watu unaruhu vipi kufungwa magoli mawili? Inamaana hauna wachezaji maana wamekosa mbinu za kufunga na kuzuia pia wameshindwa


Pumba kabisa Huyu BR.
 
Hapahitajiki ujuzi wowote wala akili yoyote kukusanya watu 11 na kuwaweka ndani ya 18..
CLASSLESS TEAM!!
View attachment 154389


teh tehtehteh teh teh teh teh teh kama hapahitajiki ujuzi, mbona nyie mlishindwa?


Hiyo moja, mbili, hao watu 18 wote wakiwa upande wetu...magoli alifunga brendan rodgers na mourinho!??? Get the hell outta here man..unajiaibisha!!!!

Kasomesome basi hata wachambuzi wa mpira wanaongeleaje game ya jana kabla hujaja kupost vipicha vyenu vya mfa maji...gademu!
 
10325741_546740692113287_6971139472536195785_n.jpg

huyo ndo special one

huyu jamaaa makocha wengi wanamchukia kwa sababu moja tu yeye hakuwahi kucheza mpira katika maisha yake na amekuwa na mafanikio mazuri.
 
Nimezungumzia kujaza watu 11 ndani ya 18...Bytheway, ni nani na alitumia kipaji gani na ni kwenye mechi gani kutoka na mpira ndani ya boksi na kwenda kufunga?

LFC ordinary...with ball poss 75% kwa 25%..with chelshit refuse to play football and play handball...

tumezoea kucheza na timu za aina hiyo:

FYI: tafuta data kwenye hizi mechi:
Bayern Munich vs Chelsea FC - UCL final.2012
Barcelona CF vs Chelsea FC - ucl semi-final.2012


mechi zote ambazo tunakuwa chini kwa ball possesion..ogopa sana.
sisi ushindi uko ndani ya DNA.
Hatuchezi kuposses mpira; ONE CHANCE ONE GOAL.
 
Amewahi kucheza mpira mkuu wangu MEANDU.
Ingawa hakuchezi kiwango cha kuwa 'world class' lakini kuucheza mpira kaucheza sana tu.

MOURINHO IS A GENIUS.
huyu jamaaa makocha wengi wanamchukia kwa sababu moja tu yeye hakuwahi kucheza mpira katika maisha yake na amekuwa na mafanikio mazuri.
 
This is chelsea, the only epl side still in the ucl and only top side no other epl top side could win this season (home and away)! Whether we win the league or not, no one can take that away from us!!! Blue is the colour, football is the game [[chelseafc]]
 
chelsea fc kwa miaka 10 iliyopita imekuwa na mifumo mikuu 2.

4-3-3.(jana)
4-2-3-1(kama tunataka kucheza attacking football)

hakuna siri katika formation; siri ya mafanikio ya CHELSEA FC ni ile 'special spirit'. we like to WIN..WINNING IS THE ONLY OPTION.


OUR AIM IS NOT TO POSSES THE BALL ..BUT TO SCORE GOALS.🙂
na ana formula adimu na tofauti kabisa
 
Mkuu Huyu OSOKONOI anataka kuamsha MORI. Yani analeta PUMBA KABISA HAPA ZA BR.?'



teh tehtehteh teh teh teh teh teh kama hapahitajiki ujuzi, mbona nyie mlishindwa?


Hiyo moja, mbili, hao watu 18 wote wakiwa upande wetu...magoli alifunga brendan rodgers na mourinho!??? Get the hell outta here man..unajiaibisha!!!!

Kasomesome basi hata wachambuzi wa mpira wanaongeleaje game ya jana kabla hujaja kupost vipicha vyenu vya mfa maji...gademu!
 
and VICTORY IS OUR AIM..
This is chelsea, the only epl side still in the ucl and only top side no other epl top side could win this season (home and away)! Whether we win the league or not, no one can take that away from us!!! Blue is the colour, football is the game [[chelseafc]]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom