Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

na ana formula adimu na tofauti kabisa

ni kweli kabisa amewaambia kuwa hata ucheze mpira mzuri kiasi gani usipofunga, kuchukua kombe au kushinda mashabiki daima hawana furaha. Ukicheza mpira wa ovyo ukachukua kombe watu wanasahau mpira wa ovyo wanafurahia kombe.
 
10251930_10203750678392071_5204084020240104720_n.jpg



10320379_10202040785166695_7401032215892606581_n.jpg



10271512_1027329580640591_5234772486847640893_n.jpg



10153657_632852710137170_4666667024180659117_n.jpg
 
Mkuu Huyu OSOKONOI anataka kuamsha MORI. Yani analeta PUMBA KABISA HAPA ZA BR.?'


Nilikuambia mkuu Ntuzu usiwahurumie hawa lfc leo ni siku ya kuwacheka na kuwaudhi tu..maana ukiwachekea wao hawana shukrani hata kidogo..
kuwachapa tu..:smile-big:
 
10259731_870566872969795_364891419335519877_n.jpg


khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
ni kweli kabisa amewaambia kuwa hata ucheze mpira mzuri kiasi gani usipofunga, kuchukua kombe au kushinda mashabiki daima hawana furaha. Ukicheza mpira wa ovyo ukachukua kombe watu wanasahau mpira wa ovyo wanafurahia kombe.


hakuna mpira wa ovyo ukichukua kombe.

mpira ni makombe..mpira wa ovyo???

Mwandiko mzuri na Majibu sahihi kipi muhimu kwako?
 
Nilikuambia mkuu Ntuzu usiwahurumie hawa lfc leo ni siku ya kuwacheka na kuwaudhi tu..maana ukiwachekea wao hawana shukrani hata kidogo..
kuwachapa tu..:smile-big:


Mkuu nimekubali! Ngoja sasa waone moto!

Maana Kumbe wamezoea moto Hawa MBURUKENGE LOSERFOOL.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom