Invisible
JF Admin
- Feb 26, 2006
- 16,286
- 8,447
:banplease:chelsick akivuka hatua hii mods nipige ban la 5monthl
Asante kunishtua!
:banplease:chelsick akivuka hatua hii mods nipige ban la 5monthl
Asante kunishtua!
Wameshakurudishia hiyo Pesa Yako?
katusahau..SALAH balaa jamani kwa kontroo zake hatari hatari..:smiling:
:banplease:
Asante kunishtua!
ha ha aha aha kwani wanarudishaga? jana mechi yenu imeniboa mwanzo mwisho bro...! bora ningelala zangu tu...! huyo mwenzio @agosti8 sina muda wa kubishana nae sana...! kazi zangu hapa ofisini zitasimama bila sababu ya msingi! mwambie ajifunze uanamichezo kama wewe...make naona kavimba utadhani timu ya baba ake ile ...wakati wazungu wale hata hawajui kuna sehemu inaitwa Ntuzu huku TZ.
:banplease:
Asante kunishtua!
Duh...! Mkuu Invisible,najua utampiga ban huyu jamaa ile kinazi tu...msamehe bure....! Haya mambo ya mpira haya...
ha ha aha aha kwani wanarudishaga? jana mechi yenu imeniboa mwanzo mwisho bro...! bora ningelala zangu tu...! huyo mwenzio @agosti8 sina muda wa kubishana nae sana...! kazi zangu hapa ofisini zitasimama bila sababu ya msingi! mwambie ajifunze uanamichezo kama wewe...make naona kavimba utadhani timu ya baba ake ile ...wakati wazungu wale hata hawajui kuna sehemu inaitwa Ntuzu huku TZ.
Hivi una akili kweli? tangu lini uliona pongezi za kulazimishana? acha kuzingua,kama mnacheza mpira mbovu msiambiwe? kazi gani nzuri mliyoifanya mpaka msifiwe? kupaki bus?
Duh...! Mkuu Invisible,najua utampiga ban huyu jamaa ile kinazi tu...msamehe bure....! Haya mambo ya mpira haya...
Mkuu Invisible naomba umpiga ban mkuu Magnificent kwa lugha yake ya 'matusi'.:smile-big:
Mkuu humuelewi tu ndugu. agosti 8
Wala Hana Hayo mawazo uyasemayo! Lkn nyie Ndio mnaezua habari za uongo juu Yake!
Mkuu,
Nikishapigwa Ban kwa mfano,wewe utanufaika vipi?
Mkuu Invisible naomba umpiga ban mkuu Magnificent kwa lugha yake ya 'matusi'.:smile-big:
asante Ntuzu; tumezoea 'fitna' zao.
Mkuu kikosi kizuri .. umewaza kama mie..
angalau jambo moja tu hapo kwenye kikosi hicho;
Willian na Oscar wacheze nusu nusu. Maana Oscar anatusaidia kupiga ile mipira ya faulo karibu na goli la adui..🙂
mtoto mzuri sana yule aisee,mi kama ni mchezaji nitakuwa naanguka makusudi ili anitibu tuyule mtoto anaitwa EVA CORNEILO
mtoto mzuri sana yule aisee,mi kama ni mchezaji nitakuwa naanguka makusudi ili anitibu tu
ffor the records wadau mark schwazer anakua the oldest player in the champions leaguie knockout stages....anameplace edwin van der sar......vilevile magoalkeeper watatu walicheza mechi moja