Inashangaza sana pale unapocheza soccer la karne ya 12 halafu unamlaumu anayecheza soccer la karne ya 17.
just "Mind Games" unahitaji akili nzuri kumuelewa Jose Mourinho.
Inashangaza sana pale unapocheza soccer la karne ya 12 halafu unamlaumu anayecheza soccer la karne ya 17.
Jamani, Barcelona, adhabu yao ya kutosajili imesimamishwa!!!!!
watasajili kama kawaida this summer..
Kama namuona vile DAVID LUIZ pale Camp Nou..
hofu kwako..wauzieni Kolo Toure..Barca hawana mabeki..:smile-big:
Anaondoka huyo LUIZ..mwenyewa atakuwa na ndoto ya kucheza kikosi kimoja na LIONEL MESSI..
Skirtl anatakiwa barc
Barca wanamta DAVID LUIZ..Walibid kwa AGGER last summer, Liverpool wakaipiga chini offer ile..
So, sahiv watakuja kwa nguvu zote kwa Bwana LUIZ!!!
Kweli Mosdef; asante kwa kutambua kwamba David Luiz is 10x better than Kolo Toure.:smile:
Dah!!!
kwahyo ulitaka nikwambie babu kolo ni bora zaidi ya Luiz????
C'mon Man!!!!
Maana kuna siku huwa unabisha chochote..ha aha haha..
sisi tunamtumia David Luiz kama 'kiungo mkabaji'..
Mkuu :der:
hapo kwenye rangi nyekundu..tutasubiri hadi hiyo 'IF' itokee..lakini bila 'IF' mtalia sana.
just "Mind Games" unahitaji akili nzuri kumuelewa Jose Mourinho.
Mkuu unaielewa mind games!? Hivi kitendo cha Mourinho kulalamika baada ya kupata sare na westham kutokana na Westham kupaki basi kisha Mourinho kusema kuwa kitendo hicho cha westham kupaki basi ulikuwa ni Mchezo wa karne ya 17 ilikuwa ni Mind game!?
hahahahahah!!!
Man, David Luiz ni bonge la mchezaji aisee, ndo maana napenda aende kwa mafundi wenzake Barca kuleee!!!
Chelsea to win a game vs Liverpool it means a favor to Pelegrin which Mourinho will never do a favor to him and everyone knows.
Mind games..WE know our coach better than you do!:smile:
Chelsea to win a game vs Liverpool it means a favor to Pelegrin which Mourinho will never do a favor to him and everyone knows.
Hivi kumbe Barca ni mafundi kuliko LFC?
Maana kama umesema ni beki mzuri; nilitegema useme kwamba LFC itamsajili maana DAVID LUIZ ni bora kuliko KOLO TOURE kama ulivyosema mwenyewe mkuu Mosdef.
Hii imekaaje?
Liverpool haina haja na David Luiz..Me naongelea team ambayo imeonyesha nia ya kumtaka huyo Luiz..Barca wanamhitaj Luiz..so hata kama Bayern, Madrid, dortmund na zingnezo zingekuwa znamuhitaji, ningezitaja hapa!!!
Barca ina mafund wengi saaana kuliko #LFC , na Barca pia ina Mafundi wengi mno kuliko Chelshit..mfano mdogo tu, ni kuwa mchezaj wako muhimu saaaana Hazard, hawezi kupata namba yoyote Barcelona kule..
Barca wana tatizo la Centre-backs TU!!!
Liverpool haina haja na David Luiz..Me naongelea team ambayo imeonyesha nia ya kumtaka huyo Luiz..Barca wanamhitaj Luiz..so hata kama Bayern, Madrid, dortmund na zingnezo zingekuwa znamuhitaji, ningezitaja hapa!!!
Barca ina mafund wengi saaana kuliko #LFC , na Barca pia ina Mafundi wengi mno kuliko Chelshit..mfano mdogo tu, ni kuwa mchezaj wako muhimu saaaana Hazard, hawezi kupata namba yoyote Barcelona kule..
Barca wana tatizo la Centre-backs TU!!!