patatosha..jana walisema tutafungwa walisahau kwamba sisi ni wataalamu wa 4-3-3.
tukishambulia tunakuwa 4-2-3-1.
tukishambulia tunakuwa 4-2-3-1.
Wewe Leo umetuamkia! Lkn hapa utatosha tu!
Wewe Leo umetuamkia! Lkn hapa utatosha tu!
What if tukiwafunga siku hiyo utajisikiaje mkuu? Anfield is a special place to play football! hutaamini macho yako siku hiyo bw Ntuzu...!
#Redordead....#YNWA...!
What if tukiwafunga siku hiyo utajisikiaje mkuu? Anfield is a special place to play football! hutaamini macho yako siku hiyo bw Ntuzu...!
#Redordead....#YNWA...!
sasa kama wewe unajua danadana 5 ulicheza jana? Au wewe ndo yule Kolo Toure..bingwa wa kujifunga?
What if tukiwafunga siku hiyo utajisikiaje mkuu? Anfield is a special place to play football! hutaamini macho yako siku hiyo bw Ntuzu...!
#Redordead....#YNWA...!
ifike mahala huyu jamaa afundishe watu mpira wa kisasa! Nakwenda kuangalia mpira kwa pesa yangu niliyoitafuta kwa jasho! Halafu sienjoy football hata kidogo,hii siyo sawa! Huu mtindo wa soka la mwaka 47 uishe sasa.
Sikucheza jana.niliangalia mpira kupitial TV hapa Bongo! Mpira ulikiwa unachezwa Madrid,Spain! Vipi ndugu yangu,wewe ulicheza jana? nisije kuwa nabishana na Demba Ba hapa....!
Basi kwa mtazamo wangu mechi hiyo ijayo with CECH and TERRY out iwe hivi (mtazamo wangu);
Kipa: Schwarzer
Beki: Azpilicueta, Ivanovic, Cahill, A. Cole
Midfield: D. Luiz, Ramires
Forward: Willian, Schurrle, Hazard
Striker: Ba/Eto'o
Mkuu nenda Zanzibar!"Chenga twawala"
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Uzuri tuko wote hapa! Atakombia mwenyewe tu hapa!
Mentor kampa moja zima zima Nashangaa anakomaa tu!
Khe Khe Khe Khe
Sikucheza jana.niliangalia mpira kupitial TV hapa Bongo! Mpira ulikiwa unachezwa Madrid,Spain! Vipi ndugu yangu,wewe ulicheza jana? nisije kuwa nabishana na Demba Ba hapa....!
Basi kwa mtazamo wangu mechi hiyo ijayo with CECH and TERRY out iwe hivi (mtazamo wangu);
Kipa: Schwarzer
Beki: Azpilicueta, Ivanovic, Cahill, A. Cole
Midfield: D. Luiz, Ramires
Forward: Willian, Schurrle, Hazard
Striker: Ba/Eto'o
Mkuu :der:
hapo kwenye rangi nyekundu..tutasubiri hadi hiyo 'IF' itokee..lakini bila 'IF' mtalia sana.
boring...but its the result Mou wanted..
Na wasifikiri km tukifika Kwao tutacheza mpira km Wa jana kwa ATM
Matic na Salah watakuwepo!
Sijawahi kuona OSCAR akifunga goli kwa mpira uliokufa, zaidi anagongesha besela tu.....kazi mnayo,lazima mkimbizwe pale daraja bovu.Mkuu kikosi kizuri .. umewaza kama mie..
angalau jambo moja tu hapo kwenye kikosi hicho;
Willian na Oscar wacheze nusu nusu. Maana Oscar anatusaidia kupiga ile mipira ya faulo karibu na goli la adui..🙂
Huwa we unajifichaga punde hali ya hewa ikibadilikaga. Hahahaaa
Sijawahi kuona OSCAR akifunga goli kwa mpira uliokufa, zaidi anagongesha besela tu.....kazi mnayo,lazima mkimbizwe pale daraja bovu.