TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 31,197
- 18,227
We are still trodding along hapajaharibika kitu. Naona mahasidi
wanashangilia kweli kana kwamba ni harusi.
Bado tupo!!!!
Poleni watani, mara nyingi cha kwanza hakisahauliki
We are still trodding along hapajaharibika kitu. Naona mahasidi
wanashangilia kweli kana kwamba ni harusi.
Bado tupo!!!!
Tumepigwa na tulizidiwa Czec red kadi ya kizushi na Cole kuumia Wigan 3 Chelsea 1. Wacha nikalewe tu sasa![/QUOTE]
Kamanda umeamka salama
Subiri TORRES naye anakuja karibuni dozi zimeanza
.......tumerudi kileleni sasa msahau ubingwa mtaendelea kupiga kelele wanabebwa
mkuu mwenzetu ulitazama chanel gani maana sie hatukuona hiyo gamedah kwa mpira kama ule wa jana, kwa kweli ubingwa pale darajani itakuwa ni ndoto kabisa, ilikuwa very poor performance tangu mwitaliano aingie pale darajani,
Tumepigwa na tulizidiwa Czec red kadi ya kizushi na Cole kuumia Wigan 3 Chelsea 1. Wacha nikalewe tu sasa![/QUOTE]
Kamanda umeamka salama
Subiri TORRES naye anakuja karibuni dozi zimeanza
Wee wee will bounce back subiria tu!
The red card was harsh and the 3rd goal was offside, however, it made no difference as down to 9 men we were in no position to score.
Tunajipanga upya!
Wigan would never have won that match had Cech not been sent off
Phil DOWD is a suck!
Poleni watani, mara nyingi cha kwanza hakisahauliki
Nilikambia mlipata bahati game zenu za mwanzo zilikuwa nyepesi tusubiri next week tuone
ha ha ha naona mkuu na picha umetunyima weekend hii.ndio mpira mkuu.We are still trodding along hapajaharibika kitu. Naona mahasidi
wanashangilia kweli kana kwamba ni harusi.
Bado tupo!!!!
AB nilisahau mpe pole INVISIBLE
...ha ha ha aaa, duuuh...huwapi nafasi hata ya kujipoza na maji? 😀
....jua habari zimefika.AB nilisahau mpe pole INVISIBLE