Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

wakuu game ya chelsea inaonyeshwa chanel gani naona chanel 10 na TBC wote ni wanazi wa MANU
 
Tumeshinda 1-0 ila tumecheza vibaya, tumekuwa tukipoteza pass kirahisi na kwenye defense umakini haukuwepo, tukicheza hivi Liverpool wanatufunga in the end of the week
 
Nicolas-Anelka-Apoel-Nicosia-Chelsea-Champion_2367253.jpg

 

Ab-T
Mkuu kwanini hii thread yetu isibadilishwe heading yake kwa kuondoa hiyo "2008-2009". Hii itasaidia kutoonekana imepitwa na wakati na pia kuepuka kufungua threads kila msimu mpya. Ni mawazo yangu tu chief wangu.
 
Tumeshinda 1-0 ila tumecheza vibaya, tumekuwa tukipoteza pass kirahisi na kwenye defense umakini haukuwepo, tukicheza hivi Liverpool wanatufunga in the end of the week
daaaah kaka mswalie mtume.mbona ntahama mtaa tukifungwa
 
Ab-T
Mkuu kwanini hii thread yetu isibadilishwe heading yake kwa kuondoa hiyo "2008-2009". Hii itasaidia kutoonekana imepitwa na wakati na pia kuepuka kufungua threads kila msimu mpya. Ni mawazo yangu tu chief wangu.

Shukran mkuu. Consider it done.
 
Actually game ni kama masaa mawili matatu yajayo. Gemu ya kukata na mundu.

Naona wazee wa kubebwa, Man U, watakuwa pembeni wakila mvinyo taratibu huku wakiombea ngoma iwe droo.

Nways, mimi naweka pesa yangu kwa mcheza kwao hutuzwa. Sijui wewe.
 
Actually game ni kama masaa mawili matatu yajayo. Gemu ya kukata na mundu.

Naona wazee wa kubebwa, Man U, watakuwa pembeni wakila mvinyo taratibu huku wakiombea ngoma iwe droo.

Nways, mimi naweka pesa yangu kwa mcheza kwao hutuzwa. Sijui wewe.
Mimi moyo unajaribu kukubaliana nawe lakini napingana nao nahisi matokeo yatakuwa ni sare 2-2 ama 3-3 tutegemee mechi itakuwa na karamu ya magoli.
 
Mimi moyo unajaribu kukubaliana nawe lakini napingana nao nahisi matokeo yatakuwa ni sare 2-2 ama 3-3 tutegemee mechi itakuwa na karamu ya magoli.
Nini litamzuia Drogba kufunga goli la ushindi?
 
Nini litamzuia Drogba kufunga goli la ushindi?

Carragher na Reina, Kwa vile Cech hayupo golini Essien na Ballack na Anelka itabidi wasaidie zaidi ulinzi kwa hio Drogba atakua peke yake mbele akisaidiwa na Anelka only kwenye counter attack. Hii itarahisisha kazi ya Carra na Skertel.
 
nani atamzuia the unstopable TORRES, ila naamini tutashinda LIVERPOOL
 
Hivi Mascherano amepona? Maana KOP walikuwa wanajivuna sana Mash na Alonso, sasa hivi naona midfield imekuwa "kubwa" sana kwa Liva.
 
KAPONA ila lukas anatuyeyusha ngoja tumuone aquilani akipona atakuaje
 
KAPONA ila lukas anatuyeyusha ngoja tumuone aquilani akipona atakuaje

Aquilani hata akirudi uwanjani itakuwa kwa muda mfupi kabla hajarejea tena kwenye chumba cha matibabu. Wapenzi wa KOP ombeeni Ballack awe hajapona na Mikel. Duh ila Chelsea ipo kamili naona kwa gemu hii. Liverpool itabidi mjiandae kuandika kipigo cha tatu cha msimu huu.
 
Wapi leo Masanilo,Peasant,Kigogo n.k karibu tuchangamshe kijiwe chetu hapa home.Mida ndo inakaria.
 
Looks like Bosingwa isn't fit, hayupo hata kwenye bench.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom