Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Gemu mpaka dakika hii haijanivutia kabisa. Dk ya 38 bila bila. Namuana Baba Vieira naye yupo, pembeni yupo na 'kakitu kake' duh..walah pesa inavuta vitu vizuri wajameni.
 
Gemu mpaka dakika hii haijanivutia kabisa. Dk ya 38 bila bila. Namuana Baba Vieira naye yupo, pembeni yupo na 'kakitu kake' duh..walah pesa inavuta vitu vizuri wajameni.

Acha Ukware mazee....umetoa mimacho kwa kakitu ka mwenzio?
 
game iko tight sana. Liverpool wanakaba zaidi kuliko kushambulia. Ukiangalia fullbacks zao haziendi mbele leo! Tunahitaji some magical passes to open them up or shoot from distance.
 
Technically speaking gemu lipo chini ya viwango vya TBS. Timu zote mbili mashambulizi karibu yote yanakatikakatika tu. Na kila timu inadefend na watu 8 au 9 sasa sijui ndio ruby au?
 
Nafikiri pia tuna upper hand kwenye set pieces kama tutapata nyingi.
 
Nahisi kipindi cha pili hawa wetu tu....ngoja tuone kama Joe atachukua nafasi ya Deco! na maagizo ya Carlo
 
Ukikutana na kakitu kama hako mitaa ya kati lazima uteme neno!

Hapana kiongozi, nitafumba macho kuomba dua ya shukran kwa uumbaji maridhawa.

BTW, game vipi naona imedoda ni vurugumechi tu hamna ufundi wowote. Dalili ya goli siioni.
 
Kipindi cha kwanza sijakiona lakini natarajia vijana wa KOP watazinduka dk hizi 45 za mwisho
 
Game ya leo nilitemea magoli mengi lakini hamna kitu
 
Hapana kiongozi, nitafumba macho kuomba dua ya shukran kwa uumbaji maridhawa.

BTW, game vipi naona imedoda ni vurugumechi tu hamna ufundi wowote. Dalili ya goli siioni.

Hahahahahh

Mechi hii iko very tactical ukiweka ulufundi mnaweza jikuta mnaenda kuanza kati chuma ndani!
 
Kipindi cha kwanza sijakiona lakini natarajia vijana wa KOP watazinduka dk hizi 45 za mwisho

Torres anacheza kama lone straika, anakabwa na watu wanane sasa sijui huo mpira ataupitisha wapi mpaka utinge nyavuni!

Kila timu inakaba kinyama, kila mchezaji ni beki ...Asavali Chelsea inakipiga na straika wawili.
 
Hahahahahh

Mechi hii iko very tactical ukiweka ulufundi mnaweza jikuta mnaenda kuanza kati chuma ndani!

Tatizo linachangiwa kwa kiasi kikubwa na uoga wa Benitez wa kuchezesha straika mmoja. Chelsea naona ndio likely kufunga ktk mechi hii kuliko KOP.
 
anachonishanga benitez mechi kama hii benayoun ndio huwa anasumbua sana sema benitez anaona bora amueke bench.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom