Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

mzee wa PSG, MAN UTD, BARCELONA, ATM NAKADHALIKA..acha usumbufu..unaumia kuona CHELSEA THE IMPOSSIBLE inasonga mbele..:wave:
wewe rukaruka tu,kauli yako ilisema hujafungwa na man city msimu huu....mimi nikakwambia ushafungwa na city msimu huu...habari ya EPL au FA haikuwepo kwenye post yako,labda ubadili kauli. hata mimi najua mliwafungwa city mara mbili.

cc: agosti 8
 
really???? a team which is 1-3 down is better of than a team which is level on aggregate???ur blinded.

wakati alipokuwa mshabiki wa PSG.

hakuamini kwamba Chelsea inaweza kufanya the impossible kuwa possible..pole sana RRONDO
 
mzee wa PSG, MAN UTD, BARCELONA, ATM NAKADHALIKA..acha usumbufu..unaumia kuona CHELSEA THE IMPOSSIBLE inasonga mbele..:wave:

timu yoyote ikicheza na chelsea msimu huu nitakuwa hio timu....hii imesababishwa na midomo mirefu ya Ntuzu agosti 8 na special one...
 
Last edited by a moderator:
wewe rukaruka tu,kauli yako ilisema hujafungwa na man city msimu huu....mimi nikakwambia ushafungwa na city msimu huu...habari ya EPL au FA haikuwepo kwenye post yako,labda ubadili kauli. hata mimi najua mliwafungwa city mara mbili.

cc: agosti 8

Machinjio ya Etihad na uchu Wa Safu za washambuliaji Wa city kwa EPL niliyavuruga mie!

Na kuvunja kabisa record yao ya kutokufungwa Etihad kwa EPL!
 
Last edited by a moderator:
mzee wa PSG, MAN UTD, BARCELONA, ATM NAKADHALIKA..acha usumbufu..unaumia kuona CHELSEA THE IMPOSSIBLE inasonga mbele..:wave:


Yani Ktk Siku Umempa makavu huyo jamaa ni Leo!

Yeye Siku zote ni Wa Huko na si Kwetu!
 


wakati alipokuwa mshabiki wa PSG.

hakuamini kwamba Chelsea inaweza kufanya the impossible kuwa possible..pole sana RRONDO

Alikuja kutengua Hiyo kauli Yake kwa kutoa hongera! Lkn ni kawaida ya mwanadamu kusahau! Ameshasahau tena!

Teh Teh Teh Teh

Ndivyo ilivyo ukikosa muwakilishi Ktk mashindano unabaki Kua unadandia dandia timu tu!
 
yaani hii game ilivyokwisha nilikuwa nawaza kauli watakazotoa Ntuzu @agosti8 na special one!!!!!



Mkuu Nafikiri hapa ulipoandika hivi nilkupatia majibu kwamba sisi hatuongei tena kwa muda ule juu ya PSG kwasababu km kuongea tuliongea sn kabla ya game! Na Wewe ukatoa hongera Hilo likawa limekwisha!

Sasaivi joto la game ya ATM na Liverpool linazidi kupanda kila Siku na ndio Maana ata sisi tunaongea!

Wewe Siku zote hauko upande wetu! Kwahiyo kuhamia upinzani au kwa ATM ni kawaida tu Hiyo!

Na Utakuja hapa tena na hongera zako! Sisi hatuongei hovyo tunasema ukweli! Chelsea kitu ingine bhana!
 
Last edited by a moderator:
really???? a team which is 1-3 down is better of than a team which is level on aggregate???ur blinded.



Who were blinded here?

Teh Teh Teh Teh Teh

Hatuongei hapa kwa kubahatisha!

When you talk about Chelsea, you're talking about the team with SPECIAL SPIRIT!
 
Who were blinded here?

Teh Teh Teh Teh Teh

Hatuongei hapa kwa kubahatisha!

When you talk about Chelsea, you're talking about the team with SPECIAL SPIRIT!

you aint gonna win nothing this season!!!
 
Nzi ni nzi tu; huelewi kabisa rafiki yangu; playing style ndo huamia playing positions za mchezaji; au huelewi hilo pia? panga timu yako ya ARSENAL niambie Walcott kwenye mfumo wa 4-3-3 anakuwa kiungo au mshambuliaji?

Duh! Kwa heri! Pamoja na darasa, bado kichwa ngumu.

Ila nitake radhi...mimi siwezi kushabikia goons...mimi ni #ManUnited20
 
Baba Kelvin Karibu sn Ktk thread ya the blues

Kule kwenu wakali nyie!

Teh Teh Teh

Yote haya ni mambo ya mipira! Raha sn!

ATM nafasi yake ni finyu Mkuu!

Tuna kila wingi Wa sababu kusema hivyo!

Hahahaha asante sana ntuzu hata hapa mbona nimeona raia wanagawa faka za kutosha ila isihofu ndo mambo ya mpra hayo!!!
 
Last edited by a moderator:
"I am not from the bottle. I am a special one."


Maneno ya Jose Mourinho alipokuja Chelsea mwaka 2004.

 
Mishahara ya baadhi ya wachezaji wa CHELSEA FC msimu huu:

1. Eden Hazard = paundi 185,000 kwa wiki.🙂
2. Fernando Torres = paundi 175,000 kwa wiki.😕
3. John Terry = paundi 175,000 kwa wiki.🙂
4. Frank Lampard =paundi 125,000 kwa wiki.🙂
5. Demba Ba = paundi 65,000 kwa wiki.
6. Samuel Eto'o = paundi 70,000 kwa wiki.
7. Oscar Emboaba = paundi 67,000 kwa wiki.:shock:


 
Stamford Bridge "the Bridge":

1. Matthew Harding stand = watu 10,884.
2. West Stand = watu 13,500.
3. East Stand = watu 19,014
4. Shed End = watu 6,831.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom