Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pamoja Mwana!


Mentor the legend..lete mapicha mwana..nazipata like nyingi unazonigongea..
tulisogeze jukwaa hili hadi 1000 pages within this week..tumwage hoja kwa hoja..

hawatupendi; but we have done it and we will do it again..CHELSEA FC THE IMPOSSIBLE.


 
Speaking on talkSPORT, Rodgers said:

"I have learnt a lot from Jose. He is a great man and we remain close, but we are two different people. I have never made a big push publicly about us winning the title." Maneno ya Brendan Rodgers:

NB: Jose Mourinho "the Special One"

1. Kocha wa kwanza kuifunga MAN CITY pale etihad msimu huu.
2. Kocha ambaye hajafungwa na timu zifuatazo msimu huu:

MAN CITY.
LIVERPOOL
MAN UTD.
ARSENAL
SPURS.
 
CHELSEA FC VS ATM 22-04-2014

WIKI IJAYO KAMA LEO TUTAKUWA JIJINI MADRID KUCHEZA NA ATM:

TUNAHITAJI KUCHUKUA CHAMPIONS LEAGUE MSIMU HUU.

KARIBUNI TUJADILI:
CC; Ntuzu, Mentor, Kalou, etc...

 
kila unaposogea mbele kwenye UCL ndiyo unakutana na wapinzani imara:

Sasa naanzisha mjadala wa ATM; kwanza nitazungumzia uimara wa timu ya ATM wapinzani wetu kwenye nusu fainali wiki ijayo: baadaye nitamwaga udhaifu wao hapa jamvini na jinsi ya chelsea kushinda na kuingia FAINALI mjini LISBON.


UIMARA WA ATLETICO MADRID:

ATM wanacheza 'formation' ya 4-4-2 timu pekee katika timu zilizoingia kwenye NUSU FAINALI ambayo inacheza 'formation' hii.
Zaidi ya kucheza '4-4-2' ; ATM wanacheza kile ambacho wataalam wa mpira wanaita "narrow 4-4-2."

ATM
ni mabingwa wa mambo yafuatayo:
1. wanajaa sana kati kati ya uwanja; ni vigumu kwa timu pinzani kupenya.
2. wanacheza nyuma ya mpira na wanapenda sana kutumia 'kaunta'
3. wanakaba 'man to man'
 
UIMARA WA ATLETICO MADRID: #2

watu wa kuchungwa sana kwenye mechi hiyo:

1. Arda Turan(yule mchezaji mwenye mzuzu) jamaa ni raia wa Uturuki; huyu bwana ndo wanamtegemea sana kuanzisha 'kaunta'; jamaa ni msumbufu sana huyu..mechi zote anazocheza zinakua ngumu. Mechi dhidi ya Barcelona CF beki wa kushoto wa Barca; hakuweza kupanda wala kupiga krosi za kutosha. Kwa nini? Kwa sababu huyu 'mzuzu' alikuwa anamsumbua sana beki wa Barca;

2. Gabi huyu jamaa anaaa jezi nambari 14. anacheza kiungo cha chini kwa ajili ya kukaba. huyu jamaa mara chache sana anavuka mstari wa kati.

3. Koke; huyu sasa ni mojawapo ya mastaa wanaochipukia kwa kasi huko HISPANIA. Koke huwa anacheza kushoto mwa uwanja. hata hivyo mara kwa mara utamkuta ndani ya boksi la maadui; mfano: kwenye mechi dhidi ya Barca; ambapo ATM walishinda yeye ndo aliyefunga goli pekee la mechi hiyo.

4. David Villa: huyo jamaa ni msumbufu na ni rahisi sana kumsahau uwanjani. Ni rahisi kumkaba Diego Costa #19 na kumsahau David Villa #9 jambo ambalo litaleta madhara makubwa sana kwetu CFC. Tutahitaji ukabaji ule tuliokaba vs Bayern Munich mwaka juzi; kukaba kwa mafungu.

 
UIMARA WA ATLETICO MADRID #3.

4-4-2 YA ATM:

4(mabeki): Juan Franc # 20, Miranda #23, Diego Godin #2, Filipe Luis #3.
4(viungo): Arda Turan #10, Gabi #14, Tiago #5, Koke #6.
2(washambuliaji): David Villa #9, Diego Costa #19.


 
UDHAIFU WA ATLETICO MADRID:

ATM wana udhaifu mkubwa sana kwenye mtego wa kuotea..mara nyingi washambuliaji wake huwa wanakamatwa kwa urahisi kwenye mtego wa kuokea.
 
UDHAIFU WA ATLETICO MADRID #2

Kwa sababu ATM huwana wanabana sana uwanja..na wanapenda kubaki nyuma.
 
CHELSEA FC WAFANYE NINI KUITOA ATM?

Kwa sababu ATM wanabana uwanja Chelsea watahitaji viungo wanaweza kubutua mpira pale kati.(David Luiz) anafaa sana kwa jukumu hili.

Pia katika mechi ya kwanza itafaa Ramires aanze kuliko Lampard na Mikel kwa sababu Ramires ni "box to box" midfielder. Ramires anakimbia sana kuelekea lango la maadau hivyo ATM watakosa uhuru wa kupiga 'makaunta' kwenye goli la Chelsea.
Faida za kumchezesha David Luiz pale kati ni kwamba yeye mwenyewe ni beki; Sasa beki anapocheza kwenye kiungo ni kwamba mnakuwa na mabeki zaidi kuliko wapinzani. Hiyo itasaidia sana kupunguza makali ya washambuliaji wawili wa ATM; Diego Costa na David Villa.

Mara kwa mara ifabidi Chelsea FC wacheze 4-3-3 kwa maana ya kwamba Willian itabidi awe anashuka kusaidia kina Luiz na Ramires kwa sababu ya majukumu ya ziada ambayo Luiz atakuwa nayo; kama nilivyosema.

Kule mbele itafaa aanze Demba Ba; kipindi cha pili tunaweza kumleta Torres kwa sababu amewahi kuwa hapa...lakini nadhani Oscar na Schurrle wataleta madhara makubwa sana kwa mabeki wa ATM. kwa nini? Kwa sababu Oscar na Schurrle hawapendi kukaa sana na mpira mguuni..wanapenda kupiga mashuti wakiwa nje ya 18 tu.

Nasubiri kwa hamu jumanne ijayo:
🙂
 
Mkuu agosti 8 nawafahamu Vzr ATM na Nimekua nawafatilia sn Ktk game zao!

Wamekua wasumbufu sn kwa misimu km miwili hivi kwenye CL na Spanish raliga

Wakati Jose akiwa Bado Yuko Madrid hii timu iliwahi kumsumbua hasa kwenye game za kombe la mfalme! Lkn Mara nyingi Jose Zile timu zinazomsumbua au kumuumiza kichwa huziandalia Mkakati madhubuti! Kwahiyo Ktk Hilo ATM wamekutana na jabali kubwa sn!

ATM walitufunga Ktk ufunguzi Wa CL last season hii ni chachu tuliyotiwa ya kuwafunga Ktk Hiyo Siku! Kwasababu huwezi kuifunga Chelsea Zaidi ya Mara moja! Hilo liko wazi tu!

Na pia tunaanzia ugenini Ktk Hili hii game ya tarehe 22 ndio muhimu sn kuwafunga hao ATM Ili tupunguze kz kwa mechi zitakazo fata Pamoja na presha pia! Kwani unakumbuka makosa yaliyojitokeza Ktk first leg ya PSG mjini Paris dhidi ya PSG yalituumiza sn na kutupa kz kubwa kuyaweka sawa! Kwahiyo sizani km Matokeo yaliyopatikana Paris yatajirudia Kwani Jose Amekua akihakikisha kurekebisha makosa kila yanapotokea!

Bado kikosi chetu kiko imara sn Zaidi ya ATM na kwa mfumo Wa 4-4-2 ni mzuri Lkn kwa mfumo tunaotumia sasaiv Chelsea 4-2-3-1 yani mkikutana na timu yeyote yenye mfumo wowote lazima ipate tabu! 4-2-3-1 hii kitu ngumu Mkuu kumesa!
 
Last edited by a moderator:
CHELSEA WAFANYE NINI KUITOA ATM #2?

pia Chelsea inaweza kucheza hivi:

4-2-3-1

4(mabeki): Luiz(kulia) au Azp; Terry na Cahill(kati); Ashley Cole(kushoto)
2(viungo wa chini): Ramires na John Obi Mikel;
3(nyuma ya mshambuliaji): Shurrle-Oscar-Willian.


1(lone striker) Demba Ba.
 
tumewahi kuwafunga 4-0 msimu wa 2009 kwenye UCL; hata wao wanajua.
Mkuu agosti 8 nawafahamu Vzr ATM na Nimekua nawafatilia sn Ktk game zao!

Wamekua wasumbufu sn kwa misimu km miwili hivi kwenye CL na Spanish raliga

Wakati Jose akiwa Bado Yuko Madrid hii timu iliwahi kumsumbua hasa kwenye game za kombe la mfalme! Lkn Mara nyingi Jose Zile timu zinazomsumbua au kumuumiza kichwa huziandalia Mkakati madhubuti! Kwahiyo Ktk Hilo ATM wamekutana na jabali kubwa sn!

ATM walitufunga Ktk ufunguzi Wa CL last season hii ni chachu tuliyotiwa ya kuwafunga Ktk Hiyo Siku! Kwasababu huwezi kuifunga Chelsea Zaidi ya Mara moja! Hilo liko wazi tu!

Na pia tunaanzia ugenini Ktk Hili hii game ya tarehe 22 ndio muhimu sn kuwafunga hao ATM Ili tupunguze kz kwa mechi zitakazo fata Pamoja na presha pia! Kwani unakumbuka makosa yaliyojitokeza Ktk first leg ya PSG mjini Paris dhidi ya PSG yalituumiza sn na kutupa kz kubwa kuyaweka sawa! Kwahiyo sizani km Matokeo yaliyopatikana Paris yatajirudia Kwani Jose Amekua akihakikisha kurekebisha makosa kila yanapotokea!

Bado kikosi chetu kiko imara sn Zaidi ya ATM na kwa mfumo Wa 4-4-2 ni mzuri Lkn kwa mfumo tunaotumia sasaiv Chelsea 4-2-3-1 yani mkikutana na timu yeyote yenye mfumo wowote lazima ipate tabu! 4-2-3-1 hii kitu ngumu Mkuu kumesa!
 
UDHAIFU WA ATLETICO MADRID #2

Kwa sababu ATM huwana wanabana sana uwanja..na wanapenda kubaki nyuma.


Mkuu ata ATM wacheze aina gani ya mchezo! Sisi ni timu ambayo tumekua tunacheza kwa umakini mkubwa Ktk kila idara! Kwahiyo Hawa ATM kuitoa Fc Barcelona kimewafanya walewe furaha na kujiamini Ingawa ata msimu uliopita walifika km sikosei robo au 16 bora nimesahau Kidogo hapo Lkn wanapaswa kufahamu Kua wanakutana na jabali la timu with jabali kocha!
 
mwaka 2009 tulicheza nao kwao pale Madrid tukatoka 2-2:
kikosi cha Chelsea Fc kilikuwa hivi:
4(mabeki) Juliano Balletti(kulia), Terry na Alex Costa (kati), A.Cole(kushoto)
3(viungo)Malouda, Lampard, Essien.
3(mbele) Kalou kushot, Drogba(kati); Joe Cole(kulia)

Mkuu agosti 8 nawafahamu Vzr ATM na Nimekua nawafatilia sn Ktk game zao!

Wamekua wasumbufu sn kwa misimu km miwili hivi kwenye CL na Spanish raliga

Wakati Jose akiwa Bado Yuko Madrid hii timu iliwahi kumsumbua hasa kwenye game za kombe la mfalme! Lkn Mara nyingi Jose Zile timu zinazomsumbua au kumuumiza kichwa huziandalia Mkakati madhubuti! Kwahiyo Ktk Hilo ATM wamekutana na jabali kubwa sn!

ATM walitufunga Ktk ufunguzi Wa CL last season hii ni chachu tuliyotiwa ya kuwafunga Ktk Hiyo Siku! Kwasababu huwezi kuifunga Chelsea Zaidi ya Mara moja! Hilo liko wazi tu!

Na pia tunaanzia ugenini Ktk Hili hii game ya tarehe 22 ndio muhimu sn kuwafunga hao ATM Ili tupunguze kz kwa mechi zitakazo fata Pamoja na presha pia! Kwani unakumbuka makosa yaliyojitokeza Ktk first leg ya PSG mjini Paris dhidi ya PSG yalituumiza sn na kutupa kz kubwa kuyaweka sawa! Kwahiyo sizani km Matokeo yaliyopatikana Paris yatajirudia Kwani Jose Amekua akihakikisha kurekebisha makosa kila yanapotokea!

Bado kikosi chetu kiko imara sn Zaidi ya ATM na kwa mfumo Wa 4-4-2 ni mzuri Lkn kwa mfumo tunaotumia sasaiv Chelsea 4-2-3-1 yani mkikutana na timu yeyote yenye mfumo wowote lazima ipate tabu! 4-2-3-1 hii kitu ngumu Mkuu kumesa!
 
mwaka 2009 tulicheza nao kwao pale Madrid tukatoka 2-2:
kikosi cha Chelsea Fc kilikuwa hivi:
4(mabeki) Juliano Balletti(kulia), Terry na Alex Costa (kati), A.Cole(kushoto)
3(viungo)Malouda, Lampard, Essien.
3(mbele) Kalou kushot, Drogba(kati); Joe Cole(kulia)


Mkuu naikumbuka uzuri hii game ndio Maana Mimi naipa uzito sn Hiyo first leg ya tarehe 22 tumalize kabisa biashara na Hawa ATM!

Na kwa upande Wa kikosi change Nafahamu Matic na Salah kisheria hawaruhusiwi kucheza na pia Ivanonic atakosa Hiyo game kutokana na Kua na Kadi za njano Lkn the rest ya wachezaji yani yoyote Yule atakaepangwa sawa tu! Maana tuko imara Zaidi ya imara!
 
Tukitoka draw kwao au bila kufungana itakuwa bonge la advantage
 
Tukitoka draw kwao au bila kufungana itakuwa bonge la advantage


afadhali tufungwe 2-1 huko HISPANIA kuliko 0-0. dawa yao ni kuwafunga kwao..

tukitoka 0-0 itakuwa kama mwaka 2009 nusu fainali vs Barcelona tukatolewa kwa 1-1 LONDON.

0-0 si matokeo mazuri unapocheza ugenini..narudia tena afadhali 2-1 kuliko 0-0. Natumaini umenipata mkuu Viol.
 
ni kweli 2009 tulikuwa na timu tatu kwenye NUSU FAINALI:

1. Chelsea FC
2. Man Utd.
3. Arsenal FC.

Mwaka huu: Chelsea FC peke yake. Kama mwaka 2012 tunapocheza peke yetu kwenye NUSU FAINALI tunakuwa kikazi zaidi..hakuna mawenge..vipi nyinyi LIVERPOOL?
Kumbuka kuwa ATM ya 2009 si ya msimu huu mkuu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom