Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Match na Cardiff City itakua match yenu ya mwisho kwenye EPL msimu huu na mtachezea kwao, sihitaji kuelezea team zinazokuwa kwenye hatihati ya kushuka kwenye ligi huwa zinachezaje match ya mwisho hasa kama kubaki kwao kwenye EPL kutategemea hiyo match

ni kweli lakini bingwa hahitaji kutishwa na Cardiff City; tunaanza na Sunderland jumamosi mchana..tutaongea baada ya hapo.
Match to match analysis ndo mpango mzima kwa sasa.

viporo vya CITY vimeanza kuchacha..:smiling:
 
wivu unakusumbua jirani..unapenda tufungwe..wewe mtu gani bhana?

MATIC NA SALAH ni kwa ajili ya LIVERPOOL FC.

LUIZ "THE MONSTER" ni kwa ajil ya ATM.
anaecheza mechi moja na anaecheza mechi mbili ndani ya wiki moja anaechoka anajulikana hilo halina ubishi.
 
ni kweli lakini bingwa hahitaji kutishwa na Cardiff City; tunaanza na Sunderland jumamosi mchana..tutaongea baada ya hapo.
Match to match analysis ndo mpango mzima kwa sasa.

viporo vya CITY vimeanza kuchacha..:smiling:

Huko juu nimewaambia wenzako wasubiri at least match mbili za mwisho kujua hatma ya Ubingwa wa msimuu huu kutokana na hizi twists and turns tunazoziona kila uchao
 
Na Diego Costa yawezekana akaja Chelsea msimu ujao
Chelsea close to Diego deal at €42.5mil
Source Goal.com
 
wivu unakusumbua jirani..unapenda tufungwe..wewe mtu gani bhana?

MATIC NA SALAH ni kwa ajili ya LIVERPOOL FC.

LUIZ "THE MONSTER" ni kwa ajil ya ATM.


Nimekua nasema hapa kila Siku Matic, Salah na Ba wanachezeshwa kwa malengo maalum Lkn Watu hawaelewi!

Na pia tuko Na vikosi viwili vzr
 
Nimekua nasema hapa kila Siku Matic, Salah na Ba wanachezeshwa kwa malengo maalum Lkn Watu hawaelewi!

Na pia tuko Na vikosi viwili vzr


Cech

Azpilicueta Terry Cahill Ivanovic

Lampard MIkel

Shurrle Willian Salah

Eto'o

AU:

Cech

Cole Terry Cahill Azp.

 
AU:

Cech

Azp Terry Cahill Ivanovic

Matic David Luiz/Mikel.

Willian Oscar Salah

Eto'o/Ba
 
Jamani Wadau wenzangu wa chelsea hiv hichi kikombe cya baclays tutakinyakua kwelii?
 
UNRELATED: But please, some explain for me this joke

10277023_734386166620301_2325800459106466857_n.jpg
 
Mkuu yani kila unayempanga ni sawa na uliemuacha!


Teh Teh Teh yani Anfiel patachimbika Siku Hiyo!

Ntuzu hata wao wamejua hilo.
Ndo maana kule kwenye jukwaa lao wanaomba tufungwe na Sunderland;

hofu imetawala.
 
Mdau ulikuwa wapi wakati wa kilimo..sasa mavuno yanakaribia unakuja kuuliza ikiwa tutavuna au hatuvuni?

karibu kwenye jukwaa la mabingwa::smile-big:
Jamani Wadau wenzangu wa chelsea hiv hichi kikombe cya baclays tutakinyakua kwelii?
 
Ntuzu hata wao wamejua hilo.
Ndo maana kule kwenye jukwaa lao wanaomba tufungwe na Sunderland;

hofu imetawala.

Ni kweli Mkuu

Wanajua Hilo na wanakiri Kua sisi tuko Vzr kuliko wao!

Mkuu sunderland lazima afungwe tena nyingi tu Maana dawa ya hizi timu zinazoshuka daraja ni kuzinyonga tu ata km wabishi kufa!

Jose anafahamu Hali hailsi tusubiri tuone!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom