The Anfield
JF-Expert Member
- Dec 15, 2025
- 280
- 353
Cole palmer nae ni wazi kabisa alistahili yellow cards mbili, ya kwanza refa aliepotezea ni alivyomtegeshea mguu Kwa nyuma Kwa maksudi dogo Lewis miles skelly...Eti Chelsea ni mweupe Arsenal alisaidiwa na refa Gabriel alitakiwa kula umeme, Konsa kacheza rafu tano bila hata kupewa yellow card ikiwemo ile ya kumbeba Joao Pedro ndio iliyopelekea kupata goal lao la pili.Chelsea unaichukulia hivyo ikiwa bado haujacheza nae subiri ucheze nae ndio utakutana na balaa.
So Tupunguze mihemko, tuwe waungwana michezoni tuheshimu wapinzani ili na wewe kesho ukiwafunga wakuheshimu na kukupongeza Kwa moyo mkunjufu.