Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mpo nyumbani
Dakika ya 66 mnasawazisha 2-2

Mnashindwa kutafuta ushindi kwa takribani dakika 24 baada ya kusawazisha
Kocha anaamua kuiamini washambuliaji wake, lakin huoni wanachofanya
Zitapita siku tatu kuna kenge fan mmoja atakuja na ngonjera zile zile. Hapo ndipo utagundua hawa watu hawapo sawa kichwani
 
@Hziyech anakwambia Chelsea ni timu bora sana.

Me nlishasema EPL mpk sasa nje ya arsenal ambae ni bingwa, basi united anafatia

Timu sio usajili tu
 
@Hziyech anakwambia Chelsea ni timu bora sana.

Me nlishasema EPL mpk sasa nje ya arsenal ambae ni bingwa, basi united anafatia

Timu sio usajili tu
Mara ya mwisho United kumaliza ligi juu ya City ilikuwa msimu wa 2012/13, miaka 13 iliyopita. Leo mnaongea kuhusu kumaliza juu ya City wakati nafasi ya top 4 bado ni mission yenu.
City iko kwenye level nyingine, nyinyi kwa sasa mnapigania tu nafasi ya kukaa mezani na wakubwa.
@Hziyech anakwambia Chelsea ni timu bora sana.

Me nlishasema EPL mpk sasa nje ya arsenal ambae ni bingwa, basi united anafatia

Timu sio usajili tu
@Hziyech anakwambia Chelsea ni timu bora sana.

Me nlishasema EPL mpk sasa nje ya arsenal ambae ni bingwa, basi united anafatia

Timu sio usajili tu
Mara ya mwisho United kumaliza ligi juu ya City ilikuwa msimu wa 2012/13, miaka 13 iliyopita. Leo mnaongea kuhusu kumaliza juu ya City wakati nafasi ya top 4 bado ni mission yenu.
City iko kwenye level nyingine, nyinyi kwa sasa mnapigania tu nafasi ya kukaa mezani na wakubwa.
 
Maswali ya kindergarten haya unafikiri kutengeneza timu ni kama kupanga cone.
Timu imemaliza nafasi ya 10 msimu uliopita unategemea sajili zisizozidi 3 kwenye first eleven zifanye kuwa title contender
Timu zote kubwa duniani zingekuwa na mentality uliyonayo kuhusu makocha na ukocha, basi kusingekuwa na makocha wanaofukuzwa either mwanzo wa msimu, katika au chini ya msimu mmoja
 
Mwalimu anajaza beki kibao
Hakuna mwalimu hapo
Kuna jmaa huwa anasema Alonso ni takataka ssa nakubaliana nae hana mbinu kila game anakalili mfumo wake wa beki 3 umefeli tayari kwa nn hataka kubalika beki zake zote Leo hawana akili hata mmoja
Barco anafanya nn nje mbona anakuwa mbishi hakika Chelsea tunapitia wakati mgumu sana nilizani huyu takuwa na akili kumbe ni TAKATAKA tu kzi ipo
Jinsi Xabi Alonso anavyomng'ang'ania Malo Gusto na Jorrel Hato inatia shaka sana
Chavarria ni mzuri kwenye kutract na kukaba wakati Hato sio
Neto anakuwa mzuri akicheza kama RWB na sio Malo Gusto.
Malo Gusto hafai kwenye nafasi yeyote, an amakosa mengi sana inayogharimu timu.
Jana hakukuwa na sababu yeyote ya kumuweka nje Lacroix na kumuanzisha Halo kwenye nafasi yake.
Hawa makosha saa nyingine wanakunywa chanmg'aa kabla ya kupanga kikosi
 
Jii ya Xabi Alonso kumng'ang'ania Malo Gusto na Jorrel Hato inatia shaka sana
Chavarria ni mzuri kwenye kutract na kukaba wakati Hato sio
Neto anakuwa mzuri akicheza kama RWB na sio Malo Gusto.
Malo Gusto hafai kwenye nafasi yeyote, an amakosa mengi sana inayogharimu timu.
Jana hakukuwa na sababu yeyote ya kumuweka nje Lacroix na kumuanzisha Halo kwenye nafasi yake.
Hawa makosha saa nyingine wanakunywa chanmg'aa kabla ya kupanga kikosi
Afadhali gusto kaumia tena aumie kma miez 6
 
Kwa hio ndio mna best attacker's Epl nzima ?
Mnachekesha sana kama sio kuhuzunisha !

Hamna beki wala kiungo, mnarukaruka tu. ......
Martinzez Dibu ndo kaisha hivi ama ? Mtu akipiga tu imo .....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom