Bibie una unaupiga mwingi mpaka unamwagikaPalmer converts with a clinical side-footed effort! Chelsea 2-2 Leeds United (Cole Palmer)
View attachment 3667431
View attachment 3667432
Uyu mjomba alijifungia ndani siku nzima analiaEti Chelsea ni mweupe Arsenal alisaidiwa na refa Gabriel alitakiwa kula umeme, Konsa kacheza rafu tano bila hata kupewa yellow card ikiwemo ile ya kumbeba Joao Pedro ndio iliyopelekea kupata goal lao la pili.Chelsea unaichukulia hivyo ikiwa bado haujacheza nae subiri ucheze nae ndio utakutana na balaa.
Hata mke wa ndoa hurubuniwa aka kutongozwa na akatoa....teh teh teh.Ni kweli wamiliki wametuyumbisha lakini tusisahau Enzo Maresca nae amechangia kutufikisha hapa tulipo yaani wewe ni Kocha wa Chelsea tena una mkataba na team wa miaka mi3 kama sikosei alafu unaingia makubaliano na Man City bila kutoa taarifa kwa club yako ambayo unamkataba nayo tayari hapo committed yako kwa hiyo club haipo tena from no where unawaambia club yako sihitaji kuendelea katikati ya msimu ikiwa club haijajipanga wewe kama mshabiki unaona hii imekaa sawa? Ukiwa kama sehemu ya management unafanyaje
Atabisha.acha UJINGA kupost mkicheza na VIBONDE kenge wewe,hebu post goli la kwanza la Arsenal😂zilipigwa pasi kuanzia kwa kipa na mpira ukaguswa na wachezaji wote 11 mpaka goli linaingia bila nyie takataka kugusa
We mgogo acha ushamba, sasa kuna uspesho gani hapo mpk kelele zote hizinisaidie kumuwekea hapa halafu afananishe na hizo papatupapatu anazojaza humu,ziligongwa pasi wachezaji wote 11 waligusa mpira mpaka goli linaingia
uspesho ni kwamba uligongwa baada ya kupigwa pasi zoteWe mgogo acha ushamba, sasa kuna uspesho gani hapo mpk kelele zote hizi
Kipindi Cha kwanza wamekalia goli 2 sijui watakuja vipi kipindi Cha pili wazee wa papatupapatumnacheza na Hull City,mkiwachukulia poa watawagonga maana mnachocheza ni papatupapatu tu