Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,616
- 77,845
Mimi hua nasema kimahesabu kushinda tournament ni rahisi kuliko ligi.Ujue ni ushabiki tu, lakini man u Bado tuko phase za mwanzo kabisa kujenga timu...but we have to compete regardless
Mfano kocha wenu anaweza akaamua kukomaa na UEFA na FA. Ligi kwakua ni ruti ndefu anaikaushia.
Ila akitaka akomae na ligi, UEFA, FA na Carabao atakosa kote na mtamlaumu kila siku