Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Before
33807.jpg
 
Arsenal alifanya mazoezi how to win a game while chelsea walifanya mazoezi ya rugby 🏉 jinsi ya kutuzuia. Hasa magoli ya kona
Hadi hapo nilishaona hii game kenge ameshakufa. Ndio maana nilitaka mfe kuanzia chuma 3

Sasa kenge inabidi wafanye mazoezi mengine ya kushinda games zao waachane na mazoez ya rugby wakati huo arsenal yeye anaendeleza pale alipoishia jinsi ya kushinda game zake

Kama haujaiona tofauti hapo, hautakuja kujua mpira hadi unaingia kaburini
 
Arsenal alifanya mazoezi how to win a game while chelsea walifanya mazoezi ya rugby 🏉 jinsi ya kutuzuia. Hasa magoli ya kona
Hadi hapo nilishaona hii game kenge ameshakufa. Ndio maana nilitaka mfe kuanzia chuma 3

Sasa kenge inabidi wafanye mazoezi mengine ya kushinda games zao waachane na mazoez ya rugby wakati huo arsenal yeye anaendeleza pale alipoishia jinsi ya kushinda game zake

Kama haujaiona tofauti hapo, hautakuja kujua mpira hadi unaingia kaburini
Mazoezi ya how to win EUFA bado hamjapata tutorial
 
Team yenu ilibebwa Gabriel alitakiwa ale red card kwa kuhatarisha afya ya Kipa wetu kwa ule mguu aliyomkita Martinez ukiachana na hapo Refa alikuwa atoi kadi za njano Konsa kacheza rafu tano ikiwemo kumbeba Joao Pedro na zote hajapata yellow card
Mimi nilikuwa najiuliza "huyu refa mbona anawabania sana kadi wachezaji wa Chelkenge? Au mpaka wanunue?"

Kumbe na wewe ulikuwa unaona faulo za Arsenal? Kuikweli mimi nilikuwa naona sisi tunacheza fair kabisa ila nyie mlikuwa mnacheza rafu.
 
Na msimu huu hatutaki kufunga kwa kona wala penalty. Tukizipata tunajikosesha makusudi. Lengo ni kila mtu achapwe kwa open play.

Nadhani Castr alisema msimu huu Arteta anafikiria kuwaachia wachezaji waonyeshe mbwembwe zao zaidi ili gemu linoge haswa kwenye maeneo ya box la mpinzani.

Tumejionea kwenye goli la pili jinsi Kai na Odegaard wamefanya mambo ya Arsenal ya enzi za akina Henry na Fabregas.
 
Na msimu huu hatutaki kufunga kwa kona wala penalty. Tukizipata tunajikosesha makusudi. Lengo ni kila mtu achapwe kwa open play.

Nadhani Castr alisema msimu huu Arteta anafikiria kuwaachia wachezaji waonyeshe mbwembwe zao zaidi ili gemu linoge haswa kwenye maeneo ya box la mpinzani.

Tumejionea kwenye goli la pili jinsi Kai na Odegaard wamefanya mambo ya Arsenal ya enzi za akina Henry na Fabregas.
Kuna moja zilipigwa one two kweye boksi ngozi akaikamata Zubimendi akawa anajaribu kugeuka kuna beki akaingilia show
 
Kuna moja zilipigwa one two kweye boksi ngozi akaikamata Zubimendi akawa anajaribu kugeuka kuna beki akaingilia show
Ile move ingekubali, kuanzia mechi ijayo timu zingeanza kuweka wachezaji 11 wote ndani ya box lao.
 
Aseee kweli nyie arse8 yaaani page hiii imegeuka yenu kila tukichungulia hamtoki mnashabikia mpira kitoto sana yaaani kushinda kna kwamba Leo ndio kushinda au ndio mnafurahi kumfunga BINGWA WA DUNIA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom