Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kenge wenyewe inabidi mji-commit, tuwapige chuma ngapi leo?
IMG-20260905-WA0008.jpg
 
font silii ya chelsii walichopata cha kufanana ni kadi za njano tu
sasa hivi wao ndio wanatumia set pieces kupata magoli
tukianza sisi mtasikia hadi mamaake molinyo analalamika
Msimu huu wamefunga magoli mangapi ya set pieces?
Hilo goli ya kwanza waliloruhusu Arsenal msimu huu limefungwa na back 4 ?
 
anyway mchezaji hatari wa cheisii ni pedro neto tu
kila akishika mpira unajua kuna jambo anataka kufanya ila hao mnaowapigia kelele mnawajaza ujinga tu
mmemuona tsoliz haimbwi kwa presha so anafanya huku hakuna matarajio makubwa kwake tofauti na hao mia mia
bruno g angekuwa chelsea angeanza vizuri tu ila arsenal kakaa benchi vizuri tuna timu imeshinda
 
anyway mchezaji hatari wa cheisii ni pedro neto tu
kila akishika mpira unajua kuna jambo anataka kufanya ila hao mnaowapigia kelele mnawajaza ujinga tu
mmemuona tsoliz haimbwi kwa presha so anafanya huku hakuna matarajio makubwa kwake tofauti na hao mia mia
bruno g angekuwa chelsea angeanza vizuri tu ila arsenal kakaa benchi vizuri tuna timu imeshinda
Vipi aliyewafunga goli la mapema, unamzungumziaje? Kawakataa then kawafunga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom