Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Vipi aliyewafunga goli la mapema, unamzungumziaje? Kawakataa then kawafunga
HRjWh50aIAAYKyj.jpg
 
Anafikiri boli linachezwa kwa mapambio. Anadai Arsenal world class ni wawili tu halafu Chelsea wana world class hadi bench.
Jamaa anafurahisha sana post zake.
Kwahiyo mmeamua kutengeneza kikao chenu cha mchono kunijadili mwanaume wa shoka kilichotuangusha ni kiungo na defence ila angekuwa Mzee mzima Caicedo mngetoa miruzi
 
mbona huulizi aliyewakimbia halafu akawafunga na akashangilia
Yule hawezi kutuuma kwasababu sisi ndio tumemuuza kwasababu ya kutokuwa na mwendelezo mzuri wa performance lakini Morgan Rogers kawakataa pamoja na kubeba ubingwa kwasababu ya mabingwa wa dunia
 
Sijui kwa nini jana tuliwahurumia vile.
Tulitakiwa tuwapige mkono au zaidi mpaka Rogers ajute kwa nini amekubali kushawishwa kwa mihela ya Tajiri Miluzi badala ya kujiunga na wababe wa ligi.
 
Kwahiyo mmeamua kutengeneza kikao chenu cha mchono kunijadili mwanaume wa shoka kilichotuangusha ni kiungo na defence ila angekuwa Mzee mzima Caicedo mngetoa miruzi
Nitajie game ambayo Caicedo alikuwepo na akaonekana mbele rice

IMG-20260903-WA0009.jpg
 
Nitajie game ambayo Caicedo alikuwepo na akaonekana mbele rice

View attachment 3665132
Team yenu ilibebwa Gabriel alitakiwa ale red card kwa kuhatarisha afya ya Kipa wetu kwa ule mguu aliyomkita Martinez ukiachana na hapo Refa alikuwa atoi kadi za njano Konsa kacheza rafu tano ikiwemo kumbeba Joao Pedro na zote hajapata yellow card
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom