kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 7,820
- 20,807
Ukiona nguvu kubwa inatumika sana kumtetea kibabu Hendo kweli kuna shida hapo .....
Brentford š wamekubali kuvunja mkataba nae awe free ili aje kwenu ! Wanajua amna kitu hapo .....
Maji ya jioni, wacha aje astaafe hapo darajani !
Nakumbuka enzi za Roman, na Marina mchezaji akifikisha 30yrs hapewi tena mkataba mrefu ! Refer kina Terry, Didier, Essien , super Frankie n.k
#Leo hii welbz na Hendo over 35 wanalamba mkataba ?
Mnachekesha kama sio kuhuzunisha
Brentford š wamekubali kuvunja mkataba nae awe free ili aje kwenu ! Wanajua amna kitu hapo .....
Maji ya jioni, wacha aje astaafe hapo darajani !
Nakumbuka enzi za Roman, na Marina mchezaji akifikisha 30yrs hapewi tena mkataba mrefu ! Refer kina Terry, Didier, Essien , super Frankie n.k
#Leo hii welbz na Hendo over 35 wanalamba mkataba ?
Mnachekesha kama sio kuhuzunisha