Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuna kitu wewe uko offpoint. Kusudi kuu la kumsajili Jordan Henderson sio kuja kucheza kama Enzo au Caicedo. Yedye ni kama mlezi wa dressing room. Balance ya Midfield haitatokana na usajili wa Jordan.
Chelsea ina Enzo na Caicedo kama viungo wa kwanza. Pia Chelsea ianendelea na Mazungumzo ya kumsajili Alex Scott wa Bornemouth au Adam Wharton wa Palace. Msiwe wagumu wa kuelewa jamani. Hata Danny Welbeck hakusajiliwa kuja kuanza kucheza, wanaweza wakacheza mechi kadhaa kutokea bechi ila ksuusdu kubwa ni kuja kuwaambukiza wachezaji wadogo uzoefu dressing room na kuwatia moyo ili kucheza kwa hamasa kila mechi.
Na ww pia hujaelewa point yangu, kwa nini mnamlalamikia mjomba Tosin auzwe wakati hata yy anaweza pia kuwa mlezi wa dressing room.
 
Wala hiyo sio hoja yangu, swala la kuja ni 50/50

ila hoja zako ni za kitoto
50/50 wapi we jamaa, kuja ni 0/50 acha kujipa matumaini ambayo hayapo. Aache kwenda kwenye timu za maana aende Arsenal?!
 
Na ww pia hujaelewa point yangu, kwa nini mnamlalamikia mjomba Tosin auzwe wakati hata yy anaweza pia kuwa mlezi wa dressing room.
Makombe Aliyoshinda Jordan Henderson
  • Ligi Kuu ya England (Premier League): 2019–20
  • UEFA Champions League: 2018–19
  • FA Cup: 2021–22
  • EFL/League Cup: 2011–12, 2021–22
  • UEFA Super Cup: 2019
  • FIFA Club World Cup: 2019
  • FA Community Shield: 2022
Tuzo za Heshima
  • FWA Mchezaji Bora wa Mwaka: 2019–20
  • Mchezaji Bora wa England wa Mwaka: 2019
  • Mchezaji Bora wa England U21 wa Mwaka: 2012
Huyo Tosin kashinda kitu gani cha kuwahamasisha wenzake?

Nyongeza

Makombe Aliyoshinda Danny Welbeck

Manchester United

Haya tuambie tenma huyo Tosin anatamba na nini Dressing room kwa hao watoto?
  • Premier League: 2012–13
  • Football League Cup: 2008–09, 2009–10
  • FA Community Shield: 2011, 2013
  • UEFA Champions League: 2007–08
  • FIFA Club World Cup: 2008
Arsenal
  • FA Cup: 2014–15, 2016–17
  • FA Community Shield: 2017
 
50/50 wapi we jamaa, kuja ni 0/50 acha kujipa matumaini ambayo hayapo. Aache kwenda kwenye timu za maana aende Arsenal?!
Kwahiyo atakuja Chelsea ambayo inacheza jumatatu hadi jumatatu?

Nitajite timu gani nyingine anahusishwa nayo

Mimi nakupa ushahidi ni Arsenal
Screenshot_20260801-141522.png
 
50/50 wapi we jamaa, kuja ni 0/50 acha kujipa matumaini ambayo hayapo. Aache kwenda kwenye timu za maana aende Arsenal?!
The financial gap between Real Madrid and Vinicius Junior remains wide, with both sides set to meet next week to try and settle it. Arsenal, aware of the deadlock, are said to have been working quietly behind the scenes for months. 🇧🇷👀 [@David_Ornstein]
 
Bora tumekuja sasa kuongea lugha moja?, Henderson ana historia gani inayombeba?

Tungemsajili Xaka ningeelewa ila sio hiyo takataka.
Shida yako hufuatilii mpira Kwanza Jordan Henderson kashinda Mataji makubwa 7 na Liverpool ikiwa yeye ni nahodha wao kwa muda huo wote na yeye akiwa regular starter kama ifuatavyo:

✅Ligi kuu ya EPL mwaka 2019/2020

✅UEFA champions league 2018/2019

✅FIFA cup world cup 2019

✅UEFA Super Cup 2019

✅FA cup 2021/2022

✅Carabao cup 2011/2012

✅Community shield 2022

MAFANIKIO BINAFSI

✅ Mchezaji Bora wa Msimu wa Liverpool 2019/2020
✅ Amechaguliwa PFA Team of the year 2019/2020
✅ Ametwaa tuzo ya Writers football Association footballer of the year 2019/2020.

Notes that: Umeona utofauti wa Henderson na Tosin hapo kama una swali lingine uniulize
 
Kwahiyo atakuja Chelsea ambayo inacheza jumatatu hadi jumatatu?

Nitajite timu gani nyingine anahusishwa nayo

Mimi nakupa ushahidi ni Arsenal View attachment 3641685
Bora aje acheze jmos by jmos kwa mabingwa wa dunia, kuliko kwenda kwenye katimu hakana hata kombe moja la ulaya, ni dharau kwake bora aende hata Nottingham Forest huko.

Hizo screen shot, aliyeandika mbona ni binadamu kama ww. Hata wewe unaweza kuandika hivyo.
 
Shida yako hufuatilii mpira Kwanza Jordan Henderson kashinda Mataji makubwa 7 na Liverpool ikiwa yeye ni nahodha wao kwa muda huo wote na yeye akiwa regular starter kama ifuatavyo:

✅Ligi kuu ya EPL mwaka 2019/2020

✅UEFA champions league 2018/2019

✅FIFA cup world cup 2019

✅UEFA Super Cup 2019

✅FA cup 2021/2022

✅Carabao cup 2011/2012

✅Community shield 2022

MAFANIKIO BINAFSI

✅ Mchezaji Bora wa Msimu wa Liverpool 2019/2020
✅ Amechaguliwa PFA Team of the year 2019/2020
✅ Ametwaa tuzo ya Writers football Association footballer of the year 2019/2020.

Notes that: Umeona utofauti wa Henderson na Tosin hapo kama una swali lingine uniulize
Hata Uncle Tosin angekua kwenye hizo timu zilizobeba hayo makombe nae angeambiwa amezisaidia kubeba ubingwa, tofauti ya Tosin na Henderson ni mmoja amekua kwnye timu zilizobeba ubingwa na mwingine hajabahatika kua kwnye timu zilizobeba ubingwa.

Bahati hiyo pia anayo Yamal, yule mtoto ashukuru tu mungu yupo Barcelona na Spain ambayo imezungukwa na vipaji.

Kama hujaelewa hutokaa ukaelewa.
 
Bora aje acheze jmos by jmos kwa mabingwa wa dunia, kuliko kwenda kwenye katimu hakana hata kombe moja la ulaya, ni dharau kwake bora aende hata Nottingham Forest huko.

Hizo screen shot, aliyeandika mbona ni binadamu kama ww. Hata wewe unaweza kuandika hivyo.
Kweli wewe akili huna , Vini aje kugombea nafasi ya 10?


🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal are preparing a potential €100 million offer for Vinícius Jr.

The proposal would include a four-year contract worth €25 million net per season, while Arsenal are also willing to give Vini 100% of his image rights, compared to the current 50% he shares with Real Madrid.

[@latigoserrano]
 
Hata Uncle Tosin angekua kwenye hizo timu zilizobeba hayo makombe nae angeambiwa amezisaidia kubeba ubingwa, tofauti ya Tosin na Henderson ni mmoja amekua kwnye timu zilizobeba ubingwa na mwingine hajabahatika kua kwnye timu zilizobeba ubingwa.

Bahati hiyo pia anayo Yamal, yule mtoto ashukuru tu mungu yupo Barcelona na Spain ambayo imezungukwa na vipaji.

Kama hujaelewa hutokaa ukaelewa.
Ni sahihi ulichosema lkn tofauti ya Tosin na Henderson ni kwamba Henderson alikuwa ni regular starter wa Liverpool na Tosin ni bench warmer
 
Alonso anaweza asile X mass ,

Maana atachezea vipigo sana tu
 
Ni sahihi ulichosema lkn tofauti ya Tosin na Henderson ni kwamba Henderson alikuwa ni regular starter wa Liverpool na Tosin ni bench warmer
Alikua regular starter sawa, ndio mana nimegusia👆 kitu BAHATI, sijasema uwezo. Sijui umenielewa?? Henderson kwenye prime yake kwenye vikosi vya sasa liva, chelsea au Arsenal anamuweka nani bench?

Tosin amenyimwa uwezo na bahati, Henderson kanyimwa uwezo kapewa bahati.
 
Alikua regular starter sawa, ndio mana nimegusia👆 kitu BAHATI, sijasema uwezo. Sijui umenielewa?? Henderson kwenye prime yake kwenye vikosi vya sasa liva, chelsea au Arsenal anamuweka nani bench?

Tosin amenyimwa uwezo na bahati, Henderson kanyimwa uwezo kapewa bahati.
Sawa mkuu tumpokee ameshakuwa familia yetu
 
Nikusikilize wewe lembu uliyopo kishimundu au journalist tier 1?

David Ornstein,Sami Mokbel n.k wote wanasema Arsenal wapo tayari kulipa chochote

Kwanza usichojua Vini analipwa 485k per week ,wala sio pesa kubwa ,

Arsenal tushawahi kuwalipa Auba ,Sanchez na Ozil 350k kila mmoja huku hatushiriki UCL

Sasa hivi Saka anavuta 300-350k per week ,

Tuna mfanyakaz hewa Jesus 285k per week ,

Kai havertz 280-300k per week

Vini anachosumbuana na Madrid sio Salary ,ni Image rights

Mbappe anapata 80% ya image rights,Vini 50% hicho kitu ndio wanavutana pia anatakiwa apewe loyalty bonus zake €80m

Perez ameweka mkataba mezan ambao Vini kaukataa zaidi ya mara 10 ,na Perez kasema hauboreshi ni asaini au auzwe

Arsenal wamemuahidi mshahara kama anaolipwa madrid pia image rights zake atabeba 100% na ndivyo ilivyo kwa England.

Arsenal imeingiza revenue ya kufuru msimu Jana ,ni REKODI View attachment 3641194

Swala la Vini Jr tunasubiri tu Madrid kama wataendelea kukaza ,maana mtego uliopo Perez hataki kumpoteza Bure ,kabakiza msimu mmoja .

Wakala wa Vini Jr,Rock Nation anawasimamia pia G Martinelli ,

CEO wa Rock Nation Jayz ni mtu wa Arsenal hao ndio wamewatonya Arsenal ,

KSE ,ARTETA NA BERTA wote wamekubaliana kama Vini anapatikana aletwe atalipwa chochote View attachment 3641195View attachment 3641196View attachment 3641197View attachment 3641198
Fake news

1785705600749.png
1785705618064.png
 
Chelsea wametangaza usajili wa Valentine Barco kutoka klabu yake dada ya Strasbourg ya Ufaransa.
Barco anaweza kucheza kama LB, LWB, LM nk
Karibu san Barco kwenye familia ya "The Blues".

1785731995185.png
 
Alikua regular starter sawa, ndio mana nimegusia👆 kitu BAHATI, sijasema uwezo. Sijui umenielewa?? Henderson kwenye prime yake kwenye vikosi vya sasa liva, chelsea au Arsenal anamuweka nani bench?

Tosin amenyimwa uwezo na bahati, Henderson kanyimwa uwezo kapewa bahati.
Angekuwa Hana uwezo asingeshinda tuzo ya mchezaji Bora wa Msimu wa Liverpool
 
Angekuwa Hana uwezo asingeshinda tuzo ya mchezaji Bora wa Msimu wa Liverpool
Kuna watu humu wabishi na mbaya zaidi wanabishia mchezaji ambaye hata hawakuwa wakimfuatilia.
Henderson kawa Kapteni wa Liverpool
Kashinda tuzo mbalimbali
Katika sehemu yote ya career yake amekuwa first starter wa midfield kwenye timu imara ya Liverpool 2011-2023
1785738045926.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom