Nikusikilize wewe lembu uliyopo kishimundu au journalist tier 1?
David Ornstein,Sami Mokbel n.k wote wanasema Arsenal wapo tayari kulipa chochote
Kwanza usichojua Vini analipwa 485k per week ,wala sio pesa kubwa ,
Arsenal tushawahi kuwalipa Auba ,Sanchez na Ozil 350k kila mmoja huku hatushiriki UCL
Sasa hivi Saka anavuta 300-350k per week ,
Tuna mfanyakaz hewa Jesus 285k per week ,
Kai havertz 280-300k per week
Vini anachosumbuana na Madrid sio Salary ,ni Image rights
Mbappe anapata 80% ya image rights,Vini 50% hicho kitu ndio wanavutana pia anatakiwa apewe loyalty bonus zake €80m
Perez ameweka mkataba mezan ambao Vini kaukataa zaidi ya mara 10 ,na Perez kasema hauboreshi ni asaini au auzwe
Arsenal wamemuahidi mshahara kama anaolipwa madrid pia image rights zake atabeba 100% na ndivyo ilivyo kwa England.
Arsenal imeingiza revenue ya kufuru msimu Jana ,ni REKODI
View attachment 3641194
Swala la Vini Jr tunasubiri tu Madrid kama wataendelea kukaza ,maana mtego uliopo Perez hataki kumpoteza Bure ,kabakiza msimu mmoja .
Wakala wa Vini Jr,Rock Nation anawasimamia pia G Martinelli ,
CEO wa Rock Nation Jayz ni mtu wa Arsenal hao ndio wamewatonya Arsenal ,
KSE ,ARTETA NA BERTA wote wamekubaliana kama Vini anapatikana aletwe atalipwa chochote
View attachment 3641195View attachment 3641196View attachment 3641197View attachment 3641198