Mkuuu kama utakuwa na Link itapendeza maaana hzi zote zinazinguaLive football TV streaming HD, Kuna websites pia unaweza kuwatch kama Fewanews, Cricfy TV
Mkuuu kama utakuwa na Link itapendeza maaana hzi zote zinazinguaLive football TV streaming HD, Kuna websites pia unaweza kuwatch kama Fewanews, Cricfy TV
Link Sina kijana wapi panashidaMkuuu kama utakuwa na Link itapendeza maaana hzi zote zinazingua
Link ya browser, hii nimeitumia muda mrefu hawaifungii. App n yingi na website nyingi huwa zinafuatiliwa na kushushwa chini kwa sababu zinakiuka protocols za leseni ya kurusha hizo burudani. Hii lin k inaonyesha karibia kila mechi ila ni muda mfupi kabla ya mechi kuanza. Kwa hiyo ukifungua sasa hivi utakuta kimya as if hakuna hata kitu kinachoendelea:Mkuuu kama utakuwa na Link itapendeza maaana hzi zote zinazingua
www.score808live.tv
Joao Pedro anacheza kama namba 10 au Center foward nyuma ya strikerDouble Striker
David Ornstein aliwapa mahopes za uongo Arsenal fans wakaingia mkenge 😭🔥Vinícius Junior hakuwahi kutaka kuhamia Arsenal; jamaa alitumia jina la Arsenal tu kupata dili lake Madrid, na Real Madrid wakasalimu amri kwa mahitaji yake 😂💀Wala sijakuhakikishia anakuja ,ila hoja zako za kitoto sana
Eti mara ata downgrade ,mara Arsenal hawawezi kumlipa
Hivi mnavuta marijuana?View attachment 3641510
Baada ya huyu nafasi ya uchezaji ungependa tufanye usajiliHere we go
Pep Chavarria to Chelsea
Milioni 21 imechukua takriban miezi miwili ya negotiation
View attachment 3644840
Huyo jamaa ni mlevi, yaani aliamini kuwa Vin ataenda kwenye hako katimu kao ka ragby.David Ornstein mahopes za uongo Arsenal fans wakaingia mkenge 😭🔥Vinícius Junior hakuwahi kutaka kuhamia Arsenal; jamaa alitumia jina la Arsenal tu kupata dili lake Madrid, na Real Madrid wakasalimu amri kwa mahitaji yake 😂💀
View attachment 3644843
Kuna uwezekano Enzo Fernandez akasepa, Man City na Real Madrid watahitaji kiungo baada ya kumkosa Rodri hivyo Chelsea itamhitaji mbadala wa Enzo ambaye ni kati ya Adam Wharton na Alex Scott.Baada ya huyu nafasi ya uchezaji ungependa tufanye usajili
Sema na tumeuza wangapi ili angalau tukujue bado akili yako ina performTayari mmeshasajili wachezaji 11 kubababake
Siyo mmemuuza Santos pekeeSema na tumeuza wangapi ili angalau tukujue bado akili yako ina perform
Kwani Kuna shido by Bambo voiceTayari mmeshasajili wachezaji 11 kubababake
Mimi binafsi natamani Enzo auzwe kwa Pound mil 150m kwenye hiyo tupate ya kununua Kipa ambaye ni Diogo Costa na Alex Scott badala ya beki nafasi ya Colwil inaweza kuchezwa na Hato, upande wa Maxence Lacroix anaweza kucheza Fofana.Kuna uwezekano Enzo Fernandez akasepa, Man City na Real Madrid watahitaji kiungo baada ya kumkosa Rodri hivyo Chelsea itamhitaji mbadala wa Enzo ambaye ni kati ya Adam Wharton na Alex Scott.
Pia CB mbadala wa Badiashile ila haya yote itategemea mauzo. Bei ya Enzo inaweza kutupa wachezaji wawili wazuri yaani Kiungo na CB
Wachezaji walioko sokoni ni Disasi, Badiashile, Gusto, Neto, Delap, Jackson, na Tosin. Kuna uwezekano Enzo, Gusto, Neto, na Jackson wakatuletea casha hao wengine mkopo wa kulipwa baadaye
Kabla ujaongea hivyo ukireason kwanini msimu ulioisha hatukufanya vizuri badala ya kulaumu usajiliHii timu ni laana !
Mmeshasajili wachezaji 11, ligi ikianza mmnabanduliwa kama kawaida, mnaishia nafasi ya 17
Kipa hatutamnunua, hata mimi binasfi siungi mkono. Diogo Costa akija ana miaka mingi ya kuwa starter na moja kwa moja atamzuilia njia Mike Penders. Mimi naamini msimu huu huu Penders atamweka benchi Sanchez. Mike Penders ni kipa mzuri sana zaidi ya Diogo Costa akizoea ligi.Mimi binafsi natamani Enzo auzwe kwa Pound mil 150m kwenye hiyo tupate ya kununua Kipa ambaye ni Diogo Costa na Alex Scott badala ya beki nafasi ya Colwil inaweza kuchezwa na Hato, upande wa Maxence Lacroix anaweza kucheza Fofana.