Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Baada ya huyu nafasi ya uchezaji ungependa tufanye usajili
Kuna uwezekano Enzo Fernandez akasepa, Man City na Real Madrid watahitaji kiungo baada ya kumkosa Rodri hivyo Chelsea itamhitaji mbadala wa Enzo ambaye ni kati ya Adam Wharton na Alex Scott.
Pia CB mbadala wa Badiashile ila haya yote itategemea mauzo. Bei ya Enzo inaweza kutupa wachezaji wawili wazuri yaani Kiungo na CB
Wachezaji walioko sokoni ni Disasi, Badiashile, Gusto, Neto, Delap, Jackson, na Tosin. Kuna uwezekano Enzo, Gusto, Neto, na Jackson wakatuletea casha hao wengine mkopo wa kulipwa baadaye
 
Hii timu ni laana !
Mmeshasajili wachezaji 11, ligi ikianza mmnabanduliwa kama kawaida, mnaishia nafasi ya 17
 
Kuna uwezekano Enzo Fernandez akasepa, Man City na Real Madrid watahitaji kiungo baada ya kumkosa Rodri hivyo Chelsea itamhitaji mbadala wa Enzo ambaye ni kati ya Adam Wharton na Alex Scott.
Pia CB mbadala wa Badiashile ila haya yote itategemea mauzo. Bei ya Enzo inaweza kutupa wachezaji wawili wazuri yaani Kiungo na CB
Wachezaji walioko sokoni ni Disasi, Badiashile, Gusto, Neto, Delap, Jackson, na Tosin. Kuna uwezekano Enzo, Gusto, Neto, na Jackson wakatuletea casha hao wengine mkopo wa kulipwa baadaye
Mimi binafsi natamani Enzo auzwe kwa Pound mil 150m kwenye hiyo tupate ya kununua Kipa ambaye ni Diogo Costa na Alex Scott badala ya beki nafasi ya Colwil inaweza kuchezwa na Hato, upande wa Maxence Lacroix anaweza kucheza Fofana.
 
Zijue Sheria 6 Mpya za EPL Msimu wa 2026/27

1️⃣ Timu zitapoteza throw‑in au kutoa kona kwa wapinzani ikiwa zitachelewesha kuanza upya zaidi ya sekunde tano baada ya refa kuanza kuhesabu kwa ishara.
2️⃣ Mchezaji anayetolewa nje kwa sababu ya kujeruhiwa lazima atoke ndani ya sekunde 10, nje na hapo hataruhusiwa kuingia kabla ya dakika moja kamili ya mchezo kuanza.
3️⃣ Mchezaji anayehitaji matibabu uwanjani lazima abaki nje ya uwanja kwa angalau sekunde 60 baada ya mchezo kuendelea.
4️⃣ VAR imepewa mamlaka ya kupitia na kubatilisha makosa ya wazi yanayohusu kadi ya pili ya njano.
5️⃣ Kuvuta nywele kwa makusudi kunasababisha kadi ya njano moja kwa moja, au kadi nyekundu ikiwa nguvu kubwa imetumika.
6️⃣ VAR itaingilia mara moja kurekebisha adhabu yoyote iliyotolewa kwa mchezaji asiye sahihi.
 
Mimi binafsi natamani Enzo auzwe kwa Pound mil 150m kwenye hiyo tupate ya kununua Kipa ambaye ni Diogo Costa na Alex Scott badala ya beki nafasi ya Colwil inaweza kuchezwa na Hato, upande wa Maxence Lacroix anaweza kucheza Fofana.
Kipa hatutamnunua, hata mimi binasfi siungi mkono. Diogo Costa akija ana miaka mingi ya kuwa starter na moja kwa moja atamzuilia njia Mike Penders. Mimi naamini msimu huu huu Penders atamweka benchi Sanchez. Mike Penders ni kipa mzuri sana zaidi ya Diogo Costa akizoea ligi.
Xabi Alonso amekiri kuwa msimu ujao ana imani na Robert Sanchez, Mike Penders and Teddy Sharman-Lowe.

1786115270325.png
1786115595527.png
 
Makombe Aliyoshinda Jordan Henderson
  • Ligi Kuu ya England (Premier League): 2019–20
  • UEFA Champions League: 2018–19
  • FA Cup: 2021–22
  • EFL/League Cup: 2011–12, 2021–22
  • UEFA Super Cup: 2019
  • FIFA Club World Cup: 2019
  • FA Community Shield: 2022
Tuzo za Heshima
  • FWA Mchezaji Bora wa Mwaka: 2019–20
  • Mchezaji Bora wa England wa Mwaka: 2019
  • Mchezaji Bora wa England U21 wa Mwaka: 2012
Huyo Tosin kashinda kitu gani cha kuwahamasisha wenzake?

Nyongeza

Makombe Aliyoshinda Danny Welbeck

Manchester United

Haya tuambie tenma huyo Tosin anatamba na nini Dressing room kwa hao watoto?
  • Premier League: 2012–13
  • Football League Cup: 2008–09, 2009–10
  • FA Community Shield: 2011, 2013
  • UEFA Champions League: 2007–08
  • FIFA Club World Cup: 2008
Arsenal
  • FA Cup: 2014–15, 2016–17
  • FA Community Shield: 2017
Ila huyu tapeli wa kuitwa Tosin 😂 jamaa hana presha kabisa amerelax tuu ili mradi mwisho wa wiki pesa yake inaingia, nahis akiondolewa Chelsea itabidi astaafu mana hakuna timu inayojitambua itategemea uwezo wake.
 
Kipa hatutamnunua, hata mimi binasfi siungi mkono. Diogo Costa akija ana miaka mingi ya kuwa starter na moja kwa moja atamzuilia njia Mike Penders. Mimi naamini msimu huu huu Penders atamweka benchi Sanchez. Mike Penders ni kipa mzuri sana zaidi ya Diogo Costa akizoea ligi.
Xabi Alonso amekiri kuwa msimu ujao ana imani na Robert Sanchez, Mike Penders and Teddy Sharman-Lowe.

View attachment 3645401View attachment 3645406
Kwa maana hiyo nguvu kubwa zitawekezwa kwa kusajili midfielder, Mike sijawahi kumuona ndio maana siwezi kumjudge
 
Kwa maana hiyo nguvu kubwa zitawekezwa kwa kusajili midfielder, Mike sijawahi kumuona ndio maana siwezi kumjudge
Nafasi zilziobakiwa ni mbili na zitategemea wachezaji watakaouzwa
Enzo Asipouzwa, hatutasajili kiungo (Kiungo ambao Alonso anawataka ni kati ya Alex Scott na Adam Wahrton)
Tosin asipouzwa sidhani kama tutasajili CB. Hata kama akienda kwa mkopo, nafasi yake itabidi izibwe.
Kulikuwa pia na tetesi kuwa Chelsea inaweza kumsajili kipa veteran wa hapo hapo Uingereza (Rumours, sidhani kama zina ukweli wowote) ili aje kuwa kipa wa tatu na ikitokea hivyo Teddy Sharman-Lowe ataenda mkopo au atauzwa.
 
Chelsea vs AC Milan: Bado dakika 10

Chelsea lineup: Sanchez; Palestra, Acheampong, Fofana, Hato; Lavia, Caicedo (c); Palmer, Joao Pedro, Neto; Welbeck
Chelsea substitutes: Sharman-Lowe, Penders, Subuloye, Tosin, Anselmino, Sarr, Essugo, Nicoll-Jazuli, Watson, Walsh, Quenda, Mudryk, Estevao, Gittens, Satpayev, Jackson, Delap

1786189698693.png
 
Chelsea vs AC Milan: Bado dakika 10

Chelsea lineup: Sanchez; Palestra, Acheampong, Fofana, Hato; Lavia, Caicedo (c); Palmer, Joao Pedro, Neto; Welbeck
Chelsea substitutes: Sharman-Lowe, Penders, Subuloye, Tosin, Anselmino, Sarr, Essugo, Nicoll-Jazuli, Watson, Walsh, Quenda, Mudryk, Estevao, Gittens, Satpayev, Jackson, Delap

View attachment 3646301
Huyu Joao akaage number 9 tu Welbeck awe anatokea sub
 
Timu ya ushindani inaanza kuonekana.
Fofana anaogopa kuwekwa benchi, naona kashtuka!
Josh ukiondoa error zake za utoto ni beki mzuri sana.
Leo Lavia kacheza dakika 90 kwa mara ya kwanza tangu asajiliwe na kacheza vizuri
Neto kacheza vizuri lakini Quenda kacheza vizuri kwenye dakaik 30 zaidi ya 60 za Neto.
Caicedo ni kawaida yake kucheza vizuri, leo amekuwa kila sehemu.
Welback anakuwa mzuri akitokea benchi tena kwa dakika chache. Alonos amuulize kocha wa Brighton jinsi ya kumtumia.
Sanchez uzoefu unambeba.
Kwa usajili wa Palestra tumelamba karata ya dume na Gusto ashinikize tu kuuzwa nmaana hana lake kwenye RB/RWB.
Enzo Fernández, Reece James, Maxence Lacroix, Levi Colwill, Pep Chavarría hawakuwepo tusisahau hilo!
Tusisahaua kesho pia tuna mechi dhidi ya Johor Darul Tar'zim
Na tusisahau kuwa hizi ni mechi za kirafiki tu, ligi haijaanza bado!
 
Timu ya ushindani inaanza kuonekana.
Fofana anaogopa kuwekwa benchi, naona kashtuka!
Josh ukiondoa error zake za utoto ni beki mzuri sana.
Leo Lavia kacheza dakika 90 kwa mara ya kwanza tangu asajiliwe na kacheza vizuri
Neto kacheza vizuri lakini Quenda kacheza vizuri kwenye dakaik 30 zaidi ya 60 za Neto.
Caicedo ni kawaida yake kucheza vizuri, leo amekuwa kila sehemu.
Welback anakuwa mzuri akitokea benchi tena kwa dakika chache. Alonos amuulize kocha wa Brighton jinsi ya kumtumia.
Sanchez uzoefu unambeba.
Kwa usajili wa Palestra tumelamba karata ya dume na Gusto ashinikize tu kuuzwa nmaana hana lake kwenye RB/RWB.
Enzo Fernández, Reece James, Maxence Lacroix, Levi Colwill, Pep Chavarría hawakuwepo tusisahau hilo!
Tusisahaua kesho pia tuna mechi dhidi ya Johor Darul Tar'zim
Na tusisahau kuwa hizi ni mechi za kirafiki tu, ligi haijaanza bado!
Hivi game ya kesho itakuwa live au ni closed indoors??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom