lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,694
- 25,910
Kuna uwezekano Enzo Fernandez akasepa, Man City na Real Madrid watahitaji kiungo baada ya kumkosa Rodri hivyo Chelsea itamhitaji mbadala wa Enzo ambaye ni kati ya Adam Wharton na Alex Scott.Baada ya huyu nafasi ya uchezaji ungependa tufanye usajili
Pia CB mbadala wa Badiashile ila haya yote itategemea mauzo. Bei ya Enzo inaweza kutupa wachezaji wawili wazuri yaani Kiungo na CB
Wachezaji walioko sokoni ni Disasi, Badiashile, Gusto, Neto, Delap, Jackson, na Tosin. Kuna uwezekano Enzo, Gusto, Neto, na Jackson wakatuletea casha hao wengine mkopo wa kulipwa baadaye