Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Itakuwa live kama mechi zote za pre-season. Closed-door matches ni zile za nyumbani
Hapo sawa nafikiri atabadilisha kikosi hakitacheza kama cha Jana.Ninapenda Essugo auzwe ni mchezaji ambaye hajui kupiga pass hili Enzo Maresca amewahi kulisema anapoteza pasi ovyo ovyo
 
Alonso ni kocha mwenye jicho zuri sana nimegundua Hilo Josh achmpong sio mzuri ukimpanga RB ila akicheza Central Back ni mnyama hivyo hivyo kwa Hato anakupa ubora Zaidi kwenye beki wa kati kuliko kumchezesha LWB nimefurahi Alonso kuona Hilo. Nimewahi kusema hapo kabla Palestra ni mtu na nusu nafikiri mashabiki wenzangu mmeona shughuli yake.
 
Kipa hatutamnunua, hata mimi binasfi siungi mkono. Diogo Costa akija ana miaka mingi ya kuwa starter na moja kwa moja atamzuilia njia Mike Penders. Mimi naamini msimu huu huu Penders atamweka benchi Sanchez. Mike Penders ni kipa mzuri sana zaidi ya Diogo Costa akizoea ligi.
Xabi Alonso amekiri kuwa msimu ujao ana imani na Robert Sanchez, Mike Penders and Teddy Sharman-Lowe.

View attachment 3645401View attachment 3645406
Hii nimeipenda. Sanchez abaki namba moja wala asibadilishwe. Namkubali sana maana huwa kuna vikosa vidogo vidogo huwa anafanya na vinazaa magoli kwetu.
 
Hii nimeipenda. Sanchez abaki namba moja wala asibadilishwe. Namkubali sana maana huwa kuna vikosa vidogo vidogo huwa anafanya na vinazaa magoli kwetu.
Una takwimu za msimu uliopita za makosa ya makipa yaliyosababisha magoli
 
Hii nimeipenda. Sanchez abaki namba moja wala asibadilishwe. Namkubali sana maana huwa kuna vikosa vidogo vidogo huwa anafanya na vinazaa magoli kwetu.
Arsenal inajulikana jinsi wanavyofunga magoli, kumbana kipa, kuwakumbatia mabeki wasimove na kumbuka siku zote sio jumapili mbwa nyie! Ebo
 
Arsenal inajulikana jinsi wanavyofunga magoli, kumbana kipa, kuwakumbatia mabeki wasimove na kumbuka siku zote sio jumapili mbwa nyie! Ebo
Kwetu sisi Sanchez hatuna haja hata ya kumgusa. Sisi tunakuwa karibu tu tunategea krosi ikipigwa yeye akijaribu kuidaka anaiachia au inampita, sisi tunamalizia tu kiulaini.
 
Kwetu sisi Sanchez hatuna haja hata ya kumgusa. Sisi tunakuwa karibu tu tunategea krosi ikipigwa yeye akijaribu kuidaka anaiachia au inampita, sisi tunamalizia tu kiulaini.
Ombi langu msimu ujao ni moja tu, Arsenal asirudie kuchukua ubingwa hata kwa gharama ya Man Utd kushuka daraja.
 
Ombi langu msimu ujao ni moja tu, Arsenal asirudie kuchukua ubingwa hata kwa gharama ya Man Utd kushuka daraja.
Mbona unamaombi ya kikatili hivyo aisee? Hata mimi huwa siwaombei mshuke daraja. Nataka mshike nafasi ya 17 huku mkiponea kushushwa daraja kwa GD ya 1.
 
Mbona unamaombi ya kikatili hivyo aisee? Hata mimi huwa siwaombei mshuke daraja. Nataka mshike nafasi ya 17 huku mkiponea kushushwa daraja kwa GD ya 1.
Shida tunayopata mtaani huku ni siri yetu
 
Mbona unamaombi ya kikatili hivyo aisee? Hata mimi huwa siwaombei mshuke daraja. Nataka mshike nafasi ya 17 huku mkiponea kushushwa daraja kwa GD ya 1.
Ila mngefanikiwa kumchukua Vini, UCL ilikuwa 67% ya kwenu. Ila kwa safu yenu ile kama mnaendelea kutegemea mipira ya kona kupata magoli basi safari bado ndefu sana
 
Shida tunayopata mtaani huku ni siri yetu
Sisi mbona wastaarabu sana kwenye suala la kujigamba na ubingwa ? Wangeshinda Manyumbu mpaka leo hii wangekuwa wanatusumbua. Ila sisi tulisherekea siku 2-3 paaap....tukaendelea na shughuli zingine za kujenga taifa.
 
Ila mngefanikiwa kumchukua Vini, UCL ilikuwa 67% ya kwenu. Ila kwa safu yenu ile kama mnaendelea kutegemea mipira ya kona kupata magoli basi safari bado ndefu sana
Vini hakuwa na nia yoyote ya kuja London. Alituomba tu tumsaidie kupata donge nono kutoka Madrid, na si mnatujua sisi tulivyo mabwana huruma? Tukamsaidia kwa kujidai tunamfukuzia ila sisi tuliwataka Tzolis ambaye tulimpata, na Rogers ambaye hawa Chelkenge walitunyang'anya tonge mdomoni. Wahuni sana hawa Chelkenge.
 
Hii mechi tunafungwa
Hii timu ya Johor Darul Ta'zim ndio mabingwa wa Malaysia Super League na sisi tunaenda kuwawekewa watoto wasio na uzoefu kiwanjani hadi kwenye benchi.
Sijui kocha kwa nini amemuondoa Mike Penders, hii mechi ndio ilikuwa size yake
1786275486665.png
 
Hii mechi tunafungwa
Hii timu ya Johor Darul Ta'zim ndio mabingwa wa Malaysia Super League na sisi tunaenda kuwawekewa watoto wasio na uzoefu kiwanjani hadi kwenye benchi.
Sijui kocha kwa nini amemuondoa Mike Penders, hii mechi ndio ilikuwa size yake
View attachment 3647023
Kumbe hii mechi ilipwangwa kwa dharura ili hawa watoto wapate chance ya kucheza?
1786276926815.png
 
Hii mechi tunafungwa
Hii timu ya Johor Darul Ta'zim ndio mabingwa wa Malaysia Super League na sisi tunaenda kuwawekewa watoto wasio na uzoefu kiwanjani hadi kwenye benchi.
Sijui kocha kwa nini amemuondoa Mike Penders, hii mechi ndio ilikuwa size yake
View attachment 3647023
Mike Penders ni first team akigombaniana na Sanchez ndio maana hayupo kabisa
 
Essugo hatufai kabisa sio level ya hata ya kukaa benchi unachezaje ligi kubwa kama EPL alafu ujui kupiga pass binafsi nilitegemea ataimprove alishawahi kuambiwa na Enzo Maresca kwa kweli anakera mno huyu jamaa ni kuuzwa kabisa
 
Essugo hatufai kabisa sio level ya hata ya kukaa benchi unachezaje ligi kubwa kama EPL alafu ujui kupiga pass binafsi nilitegemea ataimprove alishawahi kuambiwa na Enzo Maresca kwa kweli anakera mno huyu jamaa ni kuuzwa kabisa
50/50 for me. Dario Esugo anasumbuliwa na confidence ya kutocheza continuously tangu aje na ukumbuke Chelsea ni jinamizi kubwa kwa hawa watoto. Auzwe Strasbourg na kumfanyia monitoring huko.
 
Hii mechi tunafungwa
Hii timu ya Johor Darul Ta'zim ndio mabingwa wa Malaysia Super League na sisi tunaenda kuwawekewa watoto wasio na uzoefu kiwanjani hadi kwenye benchi.
Sijui kocha kwa nini amemuondoa Mike Penders, hii mechi ndio ilikuwa size yake
View attachment 3647023
Mamadou Sarr na Aaron Anselmino majeruhi, kunani zaidi kwa hawa vijana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom