lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,691
- 25,901
Itakuwa live kama mechi zote za pre-season. Closed-door matches ni zile za nyumbaniHivi game ya kesho itakuwa live au ni closed indoors??
Itakuwa live kama mechi zote za pre-season. Closed-door matches ni zile za nyumbaniHivi game ya kesho itakuwa live au ni closed indoors??
Hapo sawa nafikiri atabadilisha kikosi hakitacheza kama cha Jana.Ninapenda Essugo auzwe ni mchezaji ambaye hajui kupiga pass hili Enzo Maresca amewahi kulisema anapoteza pasi ovyo ovyoItakuwa live kama mechi zote za pre-season. Closed-door matches ni zile za nyumbani
Hii nimeipenda. Sanchez abaki namba moja wala asibadilishwe. Namkubali sana maana huwa kuna vikosa vidogo vidogo huwa anafanya na vinazaa magoli kwetu.Kipa hatutamnunua, hata mimi binasfi siungi mkono. Diogo Costa akija ana miaka mingi ya kuwa starter na moja kwa moja atamzuilia njia Mike Penders. Mimi naamini msimu huu huu Penders atamweka benchi Sanchez. Mike Penders ni kipa mzuri sana zaidi ya Diogo Costa akizoea ligi.
Xabi Alonso amekiri kuwa msimu ujao ana imani na Robert Sanchez, Mike Penders and Teddy Sharman-Lowe.
View attachment 3645401View attachment 3645406
Una takwimu za msimu uliopita za makosa ya makipa yaliyosababisha magoliHii nimeipenda. Sanchez abaki namba moja wala asibadilishwe. Namkubali sana maana huwa kuna vikosa vidogo vidogo huwa anafanya na vinazaa magoli kwetu.
Ambayo sisi Arsenal tukafaidika kwa kupata goli, ukiwatoa Sanchez na Donnarumma?Una takwimu za msimu uliopita za makosa ya makipa yaliyosababisha magoli
Arsenal inajulikana jinsi wanavyofunga magoli, kumbana kipa, kuwakumbatia mabeki wasimove na kumbuka siku zote sio jumapili mbwa nyie! EboHii nimeipenda. Sanchez abaki namba moja wala asibadilishwe. Namkubali sana maana huwa kuna vikosa vidogo vidogo huwa anafanya na vinazaa magoli kwetu.
Kwetu sisi Sanchez hatuna haja hata ya kumgusa. Sisi tunakuwa karibu tu tunategea krosi ikipigwa yeye akijaribu kuidaka anaiachia au inampita, sisi tunamalizia tu kiulaini.Arsenal inajulikana jinsi wanavyofunga magoli, kumbana kipa, kuwakumbatia mabeki wasimove na kumbuka siku zote sio jumapili mbwa nyie! Ebo
Ombi langu msimu ujao ni moja tu, Arsenal asirudie kuchukua ubingwa hata kwa gharama ya Man Utd kushuka daraja.Kwetu sisi Sanchez hatuna haja hata ya kumgusa. Sisi tunakuwa karibu tu tunategea krosi ikipigwa yeye akijaribu kuidaka anaiachia au inampita, sisi tunamalizia tu kiulaini.
Mbona unamaombi ya kikatili hivyo aisee? Hata mimi huwa siwaombei mshuke daraja. Nataka mshike nafasi ya 17 huku mkiponea kushushwa daraja kwa GD ya 1.Ombi langu msimu ujao ni moja tu, Arsenal asirudie kuchukua ubingwa hata kwa gharama ya Man Utd kushuka daraja.
Shida tunayopata mtaani huku ni siri yetuMbona unamaombi ya kikatili hivyo aisee? Hata mimi huwa siwaombei mshuke daraja. Nataka mshike nafasi ya 17 huku mkiponea kushushwa daraja kwa GD ya 1.
Ila mngefanikiwa kumchukua Vini, UCL ilikuwa 67% ya kwenu. Ila kwa safu yenu ile kama mnaendelea kutegemea mipira ya kona kupata magoli basi safari bado ndefu sanaMbona unamaombi ya kikatili hivyo aisee? Hata mimi huwa siwaombei mshuke daraja. Nataka mshike nafasi ya 17 huku mkiponea kushushwa daraja kwa GD ya 1.
Sisi mbona wastaarabu sana kwenye suala la kujigamba na ubingwa ? Wangeshinda Manyumbu mpaka leo hii wangekuwa wanatusumbua. Ila sisi tulisherekea siku 2-3 paaap....tukaendelea na shughuli zingine za kujenga taifa.Shida tunayopata mtaani huku ni siri yetu
Vini hakuwa na nia yoyote ya kuja London. Alituomba tu tumsaidie kupata donge nono kutoka Madrid, na si mnatujua sisi tulivyo mabwana huruma? Tukamsaidia kwa kujidai tunamfukuzia ila sisi tuliwataka Tzolis ambaye tulimpata, na Rogers ambaye hawa Chelkenge walitunyang'anya tonge mdomoni. Wahuni sana hawa Chelkenge.Ila mngefanikiwa kumchukua Vini, UCL ilikuwa 67% ya kwenu. Ila kwa safu yenu ile kama mnaendelea kutegemea mipira ya kona kupata magoli basi safari bado ndefu sana
Kumbe hii mechi ilipwangwa kwa dharura ili hawa watoto wapate chance ya kucheza?Hii mechi tunafungwa
Hii timu ya Johor Darul Ta'zim ndio mabingwa wa Malaysia Super League na sisi tunaenda kuwawekewa watoto wasio na uzoefu kiwanjani hadi kwenye benchi.
Sijui kocha kwa nini amemuondoa Mike Penders, hii mechi ndio ilikuwa size yake
View attachment 3647023
Mike Penders ni first team akigombaniana na Sanchez ndio maana hayupo kabisaHii mechi tunafungwa
Hii timu ya Johor Darul Ta'zim ndio mabingwa wa Malaysia Super League na sisi tunaenda kuwawekewa watoto wasio na uzoefu kiwanjani hadi kwenye benchi.
Sijui kocha kwa nini amemuondoa Mike Penders, hii mechi ndio ilikuwa size yake
View attachment 3647023
50/50 for me. Dario Esugo anasumbuliwa na confidence ya kutocheza continuously tangu aje na ukumbuke Chelsea ni jinamizi kubwa kwa hawa watoto. Auzwe Strasbourg na kumfanyia monitoring huko.Essugo hatufai kabisa sio level ya hata ya kukaa benchi unachezaje ligi kubwa kama EPL alafu ujui kupiga pass binafsi nilitegemea ataimprove alishawahi kuambiwa na Enzo Maresca kwa kweli anakera mno huyu jamaa ni kuuzwa kabisa
Mamadou Sarr na Aaron Anselmino majeruhi, kunani zaidi kwa hawa vijana?Hii mechi tunafungwa
Hii timu ya Johor Darul Ta'zim ndio mabingwa wa Malaysia Super League na sisi tunaenda kuwawekewa watoto wasio na uzoefu kiwanjani hadi kwenye benchi.
Sijui kocha kwa nini amemuondoa Mike Penders, hii mechi ndio ilikuwa size yake
View attachment 3647023