Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mudryck mkimbiza upepo , end product zero ! Wacha aje amchangamshe Gittens ule upande......starboy Garna si mlimfukuza
 
Tengenezeni timu aisee ,isije fika December mnahamia mancity
Screenshot_20260801-141522.png
 
Tengenezeni timu jaman. ,mambo yakuhamia mancity safari hii hayapo

Pep kashakimbia hii ligi anasema ameishiwa energy

Sasa nyie endeleeni na upumbavu
HOolAvWXQAAG4Xv.jpg
 
Upande wa midfield tuna Shida kidogo Lavia pamoja na Essugo hawana sifa ya kucontrol game na ndio maana Spurs wakatawala mchezo but upande wa beki na kule mbele tuko vizuri ila kama Uongozi wataendelea kumkumbatia Tosin atatugharimu mechi nyingi sana inabidi amuuze Hana sifa hata ya kukaa benchi. Alonso aliliona hili kwenye middle ndio maana akawa anamuhitaji Xhaka Uongozi wakaleta usela mavi
 
Upande wa midfield tuna Shida kidogo Lavia pamoja na Essugo hawana sifa ya kucontrol game na ndio maana Spurs wakatawala mchezo but upande wa beki na kule mbele tuko vizuri ila kama Uongozi wataendelea kumkumbatia Tosin atatugharimu mechi nyingi sana inabidi amuuze Hana sifa hata ya kukaa benchi. Alonso aliliona hili kwenye middle ndio maana akawa anamuhitaji Xhaka Uongozi wakaleta usela mavi
Nakubali xhaka angetusaidia ila mimi sioni ni wapi uongozi ulizingua miaka 34 fair price haitakiwi kuzidi £15

Cha maana mm nilichoona kama red flag ni pressing intensity kama bado ipo chini tukiwa hatuna mpira bado hatupendi kuwa aggressive (sijui ni game approach/fitness match)
Mengine yanahitaji uvumilivu maana kuna kundi kubwa la wachezaji wa kusafishwa hao kina Tosin,Delap wamecheza sababu ni preseason ila sio caliber ya wachezaji wa Chelsea
Tusubiri tuone maingizo mapya kama yataimprove team au lah
 
Nakubali xhaka angetusaidia ila mimi sioni ni wapi uongozi ulizingua miaka 34 fair price haitakiwi kuzidi £15

Cha maana mm nilichoona kama red flag ni pressing intensity kama bado ipo chini tukiwa hatuna mpira bado hatupendi kuwa aggressive (sijui ni game approach/fitness match)
Mengine yanahitaji uvumilivu maana kuna kundi kubwa la wachezaji wa kusafishwa hao kina Tosin,Delap wamecheza sababu ni preseason ila sio caliber ya wachezaji wa Chelsea
Tusubiri tuone maingizo mapya kama yataimprove team au lah
Umemaliza kila kitu mwamba
 
Upande wa midfield tuna Shida kidogo Lavia pamoja na Essugo hawana sifa ya kucontrol game na ndio maana Spurs wakatawala mchezo but upande wa beki na kule mbele tuko vizuri ila kama Uongozi wataendelea kumkumbatia Tosin atatugharimu mechi nyingi sana inabidi amuuze Hana sifa hata ya kukaa benchi. Alonso aliliona hili kwenye middle ndio maana akawa anamuhitaji Xhaka Uongozi wakaleta usela mavi
Tosin si ndio wazee wenyewe mnaowataka? auzwe tena?
 
🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! 𝐂𝐇𝐄𝐋𝐒𝐄𝐀 𝐀𝐆𝐑𝐄𝐄 𝐃𝐄𝐀𝐋 𝐓𝐎 𝐒𝐈𝐆𝐍 𝐎𝐁𝐔𝐑𝐔 𝐎𝐃𝐈𝐍𝐃𝐀 𝐀𝐒 𝐀 𝐅𝐑𝐄𝐄 𝐀𝐆𝐄𝐍𝐓 🔵💣

Exclusive story from Thursday, confirmed: Oburu will sign two year contract until 𝐉𝐔𝐍𝐄 𝟐𝟎𝟐𝟖 as new Chelsea player 🫱🏻‍🫲🏼

Contract terminated at Brentford and medical at Chlelsea to follow; formal steps scheduled for former Arsenal captain.

𝐑𝐚𝐭𝐞 𝐭𝐡𝐢𝐬 𝐬𝐢𝐠𝐧𝐢𝐧𝐠 𝐟𝐫𝐨𝐦 𝟏 𝐭𝐨 𝟏𝟎! 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
FB_IMG_1785596863733.jpg
 
Yaani wewe akili huna ,Mimi nakupa fact na taarifa za Timu yake yaani mawakala wake wameshawekewa ofa ya Arsenal kibiashara ndani na nje ya uwanja

Wewe unasema hawezi kuja 🤣

Tena ulivyo huna akili unaenda kumuuliza chatgp 🤣🤣


Vini Jr kwa Madrid sasa hathaminiki ,mkubwa pale ni mbappe

Vini Jr kuja EPL kwanza ataifanya ligi izidi kuwa na mvuto

Endorsement anazopata Madrid atazipata Arsenal

Yote hayo yamesha kuwa calculated ndio maana taarifa zinasema Ashaongea na Arsenal .

Kinachosubiriwa kama Madrid wataongeza ofa yake au lah

Image rights atakayopata Arsenal ni 100% inakwenda kwake , wakati madrid wanampa 50%

Makampuni yale yale yanayomdhamin sasa ndio hayo hayo yataendelea kumdhamini Arsenal

Most of 90% ya mashabiki wa Chelsea wamewaka sana huko mitandaon kusikia Arsenal inamtaka Vini Jr .

Hofu yenu ni ipi?


Kinachowauma ni kuingizwa Chaka mkatoa 117 kwa mchezaji wa kawaida Rogers,halafu mnaona watu wanataka kuwekeza pesa kama hiyo kwa Vini Jr 🤣


Aliondoka CR7,Ozil, n.k ,itakuwa Vini Jr
Naamini hujasoma na kama umesoam unakengeza
Tusubiri tuone kama Vini atakuja Arsenal kujidowngrade
Acha matusi kwa sababu hayo matusi hayatasimama badala ya ukweli
 
Naamini hujasoma na kama umesoam unakengeza
Tusubiri tuone kama Vini atakuja Arsenal kujidowngrade
Acha matusi kwa sababu hayo matusi hayatasimama badala ya ukweli
Wala sijakuhakikishia anakuja ,ila hoja zako za kitoto sana

Eti mara ata downgrade ,mara Arsenal hawawezi kumlipa

Hivi mnavuta marijuana?
Screenshot_20260801-141522.png
 
Huyu jamaa ni PIPA, hata pipa likipulizwa na upepo linajiviringisha. Goli la pili yeye kakaa tu baada ya kushindwa kufanya clearance ya long ball ya kipa wa Spurs, haendi hata kucounter defend, kasimama tu kama nguzo ya umeme ya Tanesco.

1785603744645.png
 
Huyu jamaa ni PIPA, hata pipa likipulizwa na upepo linajiviringisha. Goli la pili yeye kakaa tu baada ya kushindwa kufanya clearance ya long ball ya kipa wa Spurs, haendi hata kucounter defend, kasimama tu kama nguzo ya umeme ya Tanesco.

View attachment 3641521
Huyu jamaa huwa anakera ile mbaya ni Kawaida yake huwa hajiangaishi kufuata mpira ukimpita umempita ni mzito na anakabia macho anacheza as if ni Mzee wa miaka 45 huko
 
Bora tumekuja sasa kuongea lugha moja?, Henderson ana historia gani inayombeba?

Tungemsajili Xaka ningeelewa ila sio hiyo takataka.
Kuna kitu wewe uko offpoint. Kusudi kuu la kumsajili Jordan Henderson sio kuja kucheza kama Enzo au Caicedo. Yedye ni kama mlezi wa dressing room. Balance ya Midfield haitatokana na usajili wa Jordan.
Chelsea ina Enzo na Caicedo kama viungo wa kwanza. Pia Chelsea ianendelea na Mazungumzo ya kumsajili Alex Scott wa Bornemouth au Adam Wharton wa Palace. Msiwe wagumu wa kuelewa jamani. Hata Danny Welbeck hakusajiliwa kuja kuanza kucheza, wanaweza wakacheza mechi kadhaa kutokea bechi ila ksuusdu kubwa ni kuja kuwaambukiza wachezaji wadogo uzoefu dressing room na kuwatia moyo ili kucheza kwa hamasa kila mechi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom