Hivi yule dogo katoka sporting risbon anacheza upande upiJamie Gittens na Mudryk
Sasa hatuna haja ya kwenda sokoni kusak winga wa kushoto
View attachment 3640977
Giovani Quenda anacheza kuliaHivi yule dogo katoka sporting risbon anacheza upande upi
Sawa naona upande wa kulia na kushoto pametimiaGiovani Quenda anacheza kulia
Winga wa kulia au wing backHivi yule dogo katoka sporting risbon anacheza upande upi
Kwa kweli nimefurahi sana hii habari hapo bado middle tu
Nilimfatilia alipokuwa CP dogo mzuri sanaWinga wa kulia au wing back
Sasa brother unamfananisha Silva na hiyo takataka, ungesema "kwani Tosin tulimsajili akiwa na umri gani" ningekuelewaKwani Thiago Silva tulimsajili kwa umri wa miaka mingapi?
Henderson hajaja ili awe competitor wa nafasi elewa Hilo Kwanza ndio maana akasajiliwa kama free agent Chelsea kwenye middle ina Caicedo, Enzo, Lavia, Essugo na Wanamtaka Alex Scott wa Bournemouth ujio wa Henderson ni kuajili ya kuleta utulivu ndani ya team, Uzoefu, nidhamu, kuinua Hali ya upambanani na win mentality ndani ya team na sio jambo geni kwa Alonso kufanya ameshafanya hivyo akiwa Bayer Leverkusen na ikampa matokeo akiwa na wakongwe kama Grimaldo, Xhaka na Patrick Schick na ikawork out alivyoenda Real Madrid hakukifanya hicho kitu madhara yake kukawa na mgawanyo kukatokea Team Vini na Team Mbappe so amejifunza kutokana na makosa.Sasa brother unamfananisha Silva na hiyo takataka, ungesema "kwani Tosin tulimsajili akiwa na umri gani" ningekuelewa
Halafu Henderson ni mbovu tokea kijana, sasa sahivi mzee sijui atakua hali gani?
Tutapigwa mpk tuchakae.
Ndg wacha kujidanganya b ure mwishoni ukapata presure, Vinicious Juniour hawezi kwenda Arsenal. Arsenal sio size yake. Hakuna soko EPL linaweza kumhandle Vini. Akishindwana na Real MAdrid ataenda Barcelona.Tuliwaachia Roja mkashangilia sana
Bosi mtoto Josh alisema watatoa 100+ kwa mchezaji ambaye anaipeleka timu next level
Sasa Roja sio mchezaji wa kariba hiyo, ni mchezaji ambaye akija kwa timu hata akikosekana hauwazi, ni mchezaji anaweza pigwa bench na Eze
Wachezaji wa 100+ ni kama Rice ,asipkuwepo ,mnaangalia mechi pengo lake mnaliona
Sasa nyie mmenda kutoa 117
Sasa tunapambana kuleta Vin ,Madrid wakifungua milango tunalipa £160m
🚨💣 BREAKING: ARSENAL HAVE REACHED AN AGREEMENT WITH VINICIUS JR ON PERSONAL TERMS. @HandofArsenal
Ushauri wangu jengeni timu acheni porojo ,isije fika December mnahamia mancity ya tapeli Paresca View attachment 3641191View attachment 3641192View attachment 3641193
Nikusikilize wewe lembu uliyopo kishimundu au journalist tier 1?Ndg wacha kujidanganya b ure mwishoni ukapata presure, Vinicious Juniour hawezi kwenda Arsenal. Arsenal sio size yake. Hakuna soko EPL linaweza kumhandle Vini. Akishindwana na Real MAdrid ataenda Barcelona.
Mimi sizungumziii transfer fee hata bilioni moja mnaweza kulipa kwa sababu mmesha fall in luv ile mbaya na Vini.Wazee wafanyeni usajili wa kueleweka ,sio ifike December mshahamia kwa Mancity ya tapeli Enjo Mareka
View attachment 3641199
Yaani wewe akili huna ,Mimi nakupa fact na taarifa za Timu yake yaani mawakala wake wameshawekewa ofa ya Arsenal kibiashara ndani na nje ya uwanjaMimi sizungumziii transfer fee hata bilioni moja mnaweza kulipa kwa sababu mmesha fall in luv ile mbaya na Vini.
Ninachozungumza ni hii, Vinicious hawezi kukubali kuja Arsenal, atadowngrade profile yake na mapato yake nje na mshahara.
Mastaa wakishafikia level ile ya Vini wanawaza usiku na mchahan watatokaje huko walipo ili waende Real MAdrid au Barcelona? Hizo timu zimeshikilia masoko ya matangazo ya dunia ambayo ndi inawainuwaga wachezaji mastaa kimapato zaidi hata ya mishahara yao.
Sababu zitakazomfanya Vini akatae kwenda Arsenal:
1️⃣ Thamani yake ya kibiashara, mikataba ya udhamini, na nguvu yake ya kimataifa ya BRAND ingeshuka sana kama angeondoka RealMadrid kwenda kwenye soko dogo la Arsenal ecosystem.
2️⃣ Nafasi zake za Ballon d’Or zinategemea sana kushindana — na kushinda — Ligi ya Mabingwa, kitu ambacho Arsenal haiwezi kuhakikishiwa.
3️⃣ Bonasi zake za uchezaji, bonasi za makombe, na mapato ya haki za picha ni makubwa zaidi Madrid kuliko chochote Arsenal inaweza kutoa. 50% ya image righst akiwa Real Madrid ni kubwa kuliko 100% image rights akiwa Arsenal.
4️⃣ Real Madrid kamwe hawatauza mchezaji wa hadhi ya juu kama Vinícius kwa klabu nje ya mduara wao wa ‘elite’, sembuse timu ya Premier League ambayo haijafikia ukubwa wao wa kimataifa.
NOTE: Kamikitokea Vini na Real MAdrid watashindwana, kuna uwezekano Vini na kambi yake wakajiuza kwa Barcelona ili wawakomoe Real Madrid na bado atamaitain advatage yake kimapato
Hadi wewe 😂Nimefurahi sana Mudryk kurudi.