Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1785511936927.png
 
Jamie Gittens na Mudryk
Sasa hatuna haja ya kwenda sokoni kusak winga wa kushoto
1785512499822.png
 
🚨 Kesi imefungwa!
Mashitaka yote dhidi ya Chelsea yamefungwa na Premier League pamoja na FA.
💰 Faini jumla: TSh £20.75m.
✅ Marufuku ya usajili wa academy kwa miezi 9.
❌ Hakuna marufuku rasmi ya dirisha la usajili — isipokuwa kama klabu itavunja sheria katika madirisha mawili yajayo.
❌ Hakuna kupunguziwa pointi.

Mudryk karudi
Mashitaka 74 yamefungwa
Chelsea tunabeba FA na EPL msimu ujao
 
Kwani Thiago Silva tulimsajili kwa umri wa miaka mingapi?
Sasa brother unamfananisha Silva na hiyo takataka, ungesema "kwani Tosin tulimsajili akiwa na umri gani" ningekuelewa

Halafu Henderson ni mbovu tokea kijana, sasa sahivi mzee sijui atakua hali gani?

Tutapigwa mpk tuchakae.
 
Sasa brother unamfananisha Silva na hiyo takataka, ungesema "kwani Tosin tulimsajili akiwa na umri gani" ningekuelewa

Halafu Henderson ni mbovu tokea kijana, sasa sahivi mzee sijui atakua hali gani?

Tutapigwa mpk tuchakae.
Henderson hajaja ili awe competitor wa nafasi elewa Hilo Kwanza ndio maana akasajiliwa kama free agent Chelsea kwenye middle ina Caicedo, Enzo, Lavia, Essugo na Wanamtaka Alex Scott wa Bournemouth ujio wa Henderson ni kuajili ya kuleta utulivu ndani ya team, Uzoefu, nidhamu, kuinua Hali ya upambanani na win mentality ndani ya team na sio jambo geni kwa Alonso kufanya ameshafanya hivyo akiwa Bayer Leverkusen na ikampa matokeo akiwa na wakongwe kama Grimaldo, Xhaka na Patrick Schick na ikawork out alivyoenda Real Madrid hakukifanya hicho kitu madhara yake kukawa na mgawanyo kukatokea Team Vini na Team Mbappe so amejifunza kutokana na makosa.
 
Tuliwaachia Roja mkashangilia sana

Bosi mtoto Josh alisema watatoa 100+ kwa mchezaji ambaye anaipeleka timu next level

Sasa Roja sio mchezaji wa kariba hiyo, ni mchezaji ambaye akija kwa timu hata akikosekana hauwazi, ni mchezaji anaweza pigwa bench na Eze

Wachezaji wa 100+ ni kama Rice ,asipkuwepo ,mnaangalia mechi pengo lake mnaliona

Sasa nyie mmenda kutoa 117

Sasa tunapambana kuleta Vin ,Madrid wakifungua milango tunalipa £160m

🚨💣 BREAKING: ARSENAL HAVE REACHED AN AGREEMENT WITH VINICIUS JR ON PERSONAL TERMS. @HandofArsenal

Ushauri wangu jengeni timu acheni porojo ,isije fika December mnahamia mancity ya tapeli Paresca
HOlcugdXAAAOLRK.jpg
HOe2fqRWwAAUCXN.jpg
HOfKPeuXQAAsADr.jpg
 
Tuliwaachia Roja mkashangilia sana

Bosi mtoto Josh alisema watatoa 100+ kwa mchezaji ambaye anaipeleka timu next level

Sasa Roja sio mchezaji wa kariba hiyo, ni mchezaji ambaye akija kwa timu hata akikosekana hauwazi, ni mchezaji anaweza pigwa bench na Eze

Wachezaji wa 100+ ni kama Rice ,asipkuwepo ,mnaangalia mechi pengo lake mnaliona

Sasa nyie mmenda kutoa 117

Sasa tunapambana kuleta Vin ,Madrid wakifungua milango tunalipa £160m

🚨💣 BREAKING: ARSENAL HAVE REACHED AN AGREEMENT WITH VINICIUS JR ON PERSONAL TERMS. @HandofArsenal

Ushauri wangu jengeni timu acheni porojo ,isije fika December mnahamia mancity ya tapeli Paresca View attachment 3641191View attachment 3641192View attachment 3641193
Ndg wacha kujidanganya b ure mwishoni ukapata presure, Vinicious Juniour hawezi kwenda Arsenal. Arsenal sio size yake. Hakuna soko EPL linaweza kumhandle Vini. Akishindwana na Real MAdrid ataenda Barcelona.
 
Ndg wacha kujidanganya b ure mwishoni ukapata presure, Vinicious Juniour hawezi kwenda Arsenal. Arsenal sio size yake. Hakuna soko EPL linaweza kumhandle Vini. Akishindwana na Real MAdrid ataenda Barcelona.
Nikusikilize wewe lembu uliyopo kishimundu au journalist tier 1?

David Ornstein,Sami Mokbel n.k wote wanasema Arsenal wapo tayari kulipa chochote

Kwanza usichojua Vini analipwa 485k per week ,wala sio pesa kubwa ,

Arsenal tushawahi kuwalipa Auba ,Sanchez na Ozil 350k kila mmoja huku hatushiriki UCL

Sasa hivi Saka anavuta 300-350k per week ,

Tuna mfanyakaz hewa Jesus 285k per week ,

Kai havertz 280-300k per week

Vini anachosumbuana na Madrid sio Salary ,ni Image rights

Mbappe anapata 80% ya image rights,Vini 50% hicho kitu ndio wanavutana pia anatakiwa apewe loyalty bonus zake €80m

Perez ameweka mkataba mezan ambao Vini kaukataa zaidi ya mara 10 ,na Perez kasema hauboreshi ni asaini au auzwe

Arsenal wamemuahidi mshahara kama anaolipwa madrid pia image rights zake atabeba 100% na ndivyo ilivyo kwa England.

Arsenal imeingiza revenue ya kufuru msimu Jana ,ni REKODI
HOf9mYGXsAEhndg.jpg


Swala la Vini Jr tunasubiri tu Madrid kama wataendelea kukaza ,maana mtego uliopo Perez hataki kumpoteza Bure ,kabakiza msimu mmoja .

Wakala wa Vini Jr,Rock Nation anawasimamia pia G Martinelli ,

CEO wa Rock Nation Jayz ni mtu wa Arsenal hao ndio wamewatonya Arsenal ,

KSE ,ARTETA NA BERTA wote wamekubaliana kama Vini anapatikana aletwe atalipwa chochote
HOlRBYZXUAAqY8v.jpg
HOkW4uXW4AATfyN.jpg
HOdp1SAXUAEOLrI.jpg
HOdp1R4XsAAeXLp.jpg
 
Wazee wafanyeni usajili wa kueleweka ,sio ifike December mshahamia kwa Mancity ya tapeli Enjo Mareka
HOmXIWbW4AAC3-A.jpg
 
Wazee wafanyeni usajili wa kueleweka ,sio ifike December mshahamia kwa Mancity ya tapeli Enjo Mareka
View attachment 3641199
Mimi sizungumziii transfer fee hata bilioni moja mnaweza kulipa kwa sababu mmesha fall in luv ile mbaya na Vini.

Ninachozungumza ni hii, Vinicious hawezi kukubali kuja Arsenal, atadowngrade profile yake na mapato yake nje na mshahara.

Mastaa wakishafikia level ile ya Vini wanawaza usiku na mchahan watatokaje huko walipo ili waende Real MAdrid au Barcelona? Hizo timu zimeshikilia masoko ya matangazo ya dunia ambayo ndi inawainuwaga wachezaji mastaa kimapato zaidi hata ya mishahara yao.

Sababu zitakazomfanya Vini akatae kwenda Arsenal:

1️⃣ Thamani yake ya kibiashara, mikataba ya udhamini, na nguvu yake ya kimataifa ya BRAND ingeshuka sana kama angeondoka RealMadrid kwenda kwenye soko dogo la Arsenal ecosystem.

2️⃣ Nafasi zake za Ballon d’Or zinategemea sana kushindana — na kushinda — Ligi ya Mabingwa, kitu ambacho Arsenal haiwezi kuhakikishiwa.

3️⃣ Bonasi zake za uchezaji, bonasi za makombe, na mapato ya haki za picha ni makubwa zaidi Madrid kuliko chochote Arsenal inaweza kutoa. 50% ya image righst akiwa Real Madrid ni kubwa kuliko 100% image rights akiwa Arsenal.

4️⃣ Real Madrid kamwe hawatauza mchezaji wa hadhi ya juu kama Vinícius kwa klabu nje ya mduara wao wa ‘elite’, sembuse timu ya Premier League ambayo haijafikia ukubwa wao wa kimataifa.

NOTE: Kamikitokea Vini na Real MAdrid watashindwana, kuna uwezekano Vini na kambi yake wakajiuza kwa Barcelona ili wawakomoe Real Madrid na bado atamaitain advatage yake kimapato
 
Mimi sizungumziii transfer fee hata bilioni moja mnaweza kulipa kwa sababu mmesha fall in luv ile mbaya na Vini.

Ninachozungumza ni hii, Vinicious hawezi kukubali kuja Arsenal, atadowngrade profile yake na mapato yake nje na mshahara.

Mastaa wakishafikia level ile ya Vini wanawaza usiku na mchahan watatokaje huko walipo ili waende Real MAdrid au Barcelona? Hizo timu zimeshikilia masoko ya matangazo ya dunia ambayo ndi inawainuwaga wachezaji mastaa kimapato zaidi hata ya mishahara yao.

Sababu zitakazomfanya Vini akatae kwenda Arsenal:

1️⃣ Thamani yake ya kibiashara, mikataba ya udhamini, na nguvu yake ya kimataifa ya BRAND ingeshuka sana kama angeondoka RealMadrid kwenda kwenye soko dogo la Arsenal ecosystem.

2️⃣ Nafasi zake za Ballon d’Or zinategemea sana kushindana — na kushinda — Ligi ya Mabingwa, kitu ambacho Arsenal haiwezi kuhakikishiwa.

3️⃣ Bonasi zake za uchezaji, bonasi za makombe, na mapato ya haki za picha ni makubwa zaidi Madrid kuliko chochote Arsenal inaweza kutoa. 50% ya image righst akiwa Real Madrid ni kubwa kuliko 100% image rights akiwa Arsenal.

4️⃣ Real Madrid kamwe hawatauza mchezaji wa hadhi ya juu kama Vinícius kwa klabu nje ya mduara wao wa ‘elite’, sembuse timu ya Premier League ambayo haijafikia ukubwa wao wa kimataifa.

NOTE: Kamikitokea Vini na Real MAdrid watashindwana, kuna uwezekano Vini na kambi yake wakajiuza kwa Barcelona ili wawakomoe Real Madrid na bado atamaitain advatage yake kimapato
Yaani wewe akili huna ,Mimi nakupa fact na taarifa za Timu yake yaani mawakala wake wameshawekewa ofa ya Arsenal kibiashara ndani na nje ya uwanja

Wewe unasema hawezi kuja 🤣

Tena ulivyo huna akili unaenda kumuuliza chatgp 🤣🤣


Vini Jr kwa Madrid sasa hathaminiki ,mkubwa pale ni mbappe

Vini Jr kuja EPL kwanza ataifanya ligi izidi kuwa na mvuto

Endorsement anazopata Madrid atazipata Arsenal

Yote hayo yamesha kuwa calculated ndio maana taarifa zinasema Ashaongea na Arsenal .

Kinachosubiriwa kama Madrid wataongeza ofa yake au lah

Image rights atakayopata Arsenal ni 100% inakwenda kwake , wakati madrid wanampa 50%

Makampuni yale yale yanayomdhamin sasa ndio hayo hayo yataendelea kumdhamini Arsenal

Most of 90% ya mashabiki wa Chelsea wamewaka sana huko mitandaon kusikia Arsenal inamtaka Vini Jr .

Hofu yenu ni ipi?


Kinachowauma ni kuingizwa Chaka mkatoa 117 kwa mchezaji wa kawaida Rogers,halafu mnaona watu wanataka kuwekeza pesa kama hiyo kwa Vini Jr 🤣


Aliondoka CR7,Ozil, n.k ,itakuwa Vini Jr
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom