Umeona Xhaka anachofanya huko alafu board inaleta upuuziHii michezaji inayosajiliwa inatoka wapi aisee, scouts wanaona nini kwao, mbona kama ni upuuzi mwingine unaletwa
Umeona Xhaka anachofanya huko alafu board inaleta upuuziHii michezaji inayosajiliwa inatoka wapi aisee, scouts wanaona nini kwao, mbona kama ni upuuzi mwingine unaletwa
Msimu ujao bado kazi ipo aisee, maumivu yako pale paleUmeona Xhaka anachofanya huko alafu board inaleta upuuzi
Kwenye kuuza wapo sharp sana kuliko kununuaMsimu ujao bado kazi ipo aisee, maumivu yako pale pale
Board wangefanya nini kama club imekataa kuuza?Umeona Xhaka anachofanya huko alafu board inaleta upuuzi
Mkuu Xhaka alishakubali kuja Chelsea sema Chelsea wamezingua wakapeleka offer ya pound 8m? Hivi kweli Quality ya Xhaka na namna soko la Sasa lilivyochange unamnunua kwa pound 8m? Hivyo Sunderland wameona ni dharau ndio maana wakakataa kuumuza mchezaji waoBoard wangefanya nini kama club imekataa kuuza?
Tuishi kwenye realistic nafasi tuliyomaliza msimu uliopita si ya kushwawishi wachezaji proven otherwise uanze kumwaga paund 100mil na mshahara 300k per week kununua upendo
Naunga mkono kuanza project upya kwa wachezaji walio tayari kuchezea timu bila kujali ukubwa wa majina phase II ndio tunaweza kushwawishi wachezaji elite class
Huu ni uuzwaji wa lazima lakini ni mchunguKwa upande wako unaonaje ni sawa kuumuza?
Hata Mimi nimeona kama wewe ila tungempata Xhaka tungetisha sanaHuu ni uuzwaji wa lazima lakini ni mchungu
Ni wa lazima kwa sababu Chelsea lazima iuze wachezaji wenye bei sokoni ili isikumbwe na shoka la FFP na pia iweze kufuata masharti ya UEFA kwenye A-list waliyopewa tangu msimu uliopita kwa miaka minne. mMasharti ya UEFA inasema ili Chelsea isajili wachezaji wa A-list ni lazima iuze wachezaji.
Ni lazima pia kwa sababu Chelsea msimu ujao haina mechi nyingi za kucheza. Kama Santos alifanikiwa kucheza mechi 13 tu msimu uliopita je msimu ujao bila UEFA anaweza asicheze kabis ana ndio maana mchezaji mwenye alilazimisha kuuzwa.
Sio nzuri na ni uuzwaji mchungu kwa sababu Santo ni kiungo bora sana aina ya Casemiro. Ni mzuri kwa ukabaji, anasoma mchezo vizuri na anaweza pia kufanya mashambulizi. Ni mzuri sana kwenye mfumo uliopangika kama wa Xabi Alonso ila sasa Alonso inaelekea atawatumia zaidi Caicedo na Enzo Fernandez kuliko Santos.
Kumbuka pia tuna Valentin Barco na Reece James anaweza pia kutumika sana kwenye DM ili kumpunguzia mzigo wa majeruhi na kwa ujio wa Marco Palestra na Giovani Quenda na uwepo wa Malo Gusto unaweza kuwa ni mkakati wa kutompa majukumu mengi James kwenye RWB ambayo Alonso anaweza kuutumia sana
Kwa hiyo ni halali kusema kuwa Chelsea ina viungo wafuatao hata asiponunuliwa mwingine
RB/RWB
- Moises Caicedo
- Enzo Fernadez
- Valentin Barco
- Dario Esugo
- Reece James
- Reece James
- Marco Palestra
- Giovani Quenda
- Malo Gusto
- Josh Asheampong
Tumeuza mchezaji mzuri sanaKwa upande wako unaonaje ni sawa kuumuza?
Paund Mil 8 inatosha sana kwa Xhaka. Keshaisha huyo ukimleta darajani anakuja kuleta uzoefu tu.Mkuu Xhaka alishakubali kuja Chelsea sema Chelsea wamezingua wakapeleka offer ya pound 8m? Hivi kweli Quality ya Xhaka na namna soko la Sasa lilivyochange unamnunua kwa pound 8m? Hivyo Sunderland wameona ni dharau ndio maana wakakataa kuumuza mchezaji wao
Binafsi nilitaka ni Bora tungemuuza Lavia ambaye ni injury prone but ni kwamba offer ilikuja nzuri ya kumuuza Santos na Santos ameona hatopata nafasi ya kucheza zaidi kwasababu msimu utaoanza hatupo kwenye michuano mingi na nafasi yake anacheza CaicedoTumeuza mchezaji mzuri sana
Hivi mkuu ulikuwa unafuatilia ligi ya Uingereza au ulikuwa unacheki mechi za Chelsea pekee? Ungekuwa umefatilia ligi ya Uingereza usingeongea hivyo msimu uliopita kati ya top 5 ya midfielders waliofanya vizuri jina la Xhaka litakuwepoPaund Mil 8 inatosha sana kwa Xhaka. Keshaisha huyo ukimleta darajani anakuja kuleta uzoefu tu.
Shida yetu lkubwa sio kipaHv zile tetesi za kumsajili huyu kipa wa France zimeishia Wapi 😂
Ah bila kipa anayejitambua, aisee bado sioni tukitoboaShida yetu lkubwa sio kipa
Hata zile nafasi muhimu kuzijaza ni kazi
Hao watatu kwa sasa ndio muhimu sana na ndio tutawategemea kusajiliwa
- Kiungo deep-playing midfielder mbadala wa Xhaka anayefit mfumo wa Alonso
- Beki wa kusaidiana na Colwill (Maxence Lacroix wa Palace)
- Wing back wa kushoto (Pep Chavaria wa Ray Callecano)
Sanchez atatendelea na kupewa ushindani wa karibu na Mike Penders
Ukurasa wa Kipa tumefunga siku nyingi, kama tetesi zipo ni za waandsihi wa habari mabloga na influenza ili kunenepesha akaunti zao
Maboss wetu huwa ni wagumu kutoa pesa kwa wachezaji wenye umri mkubwaHv zile tetesi za kumsajili huyu kipa wa France zimeishia Wapi 😂
Umesahau pia left wingerShida yetu lkubwa sio kipa
Hata zile nafasi muhimu kuzijaza ni kazi
Hao watatu kwa sasa ndio muhimu sana na ndio tutawategemea kusajiliwa
- Kiungo deep-playing midfielder mbadala wa Xhaka anayefit mfumo wa Alonso
- Beki wa kusaidiana na Colwill (Maxence Lacroix wa Palace)
- Wing back wa kushoto (Pep Chavaria wa Ray Callecano)
Sanchez atatendelea na kupewa ushindani wa karibu na Mike Penders
Ukurasa wa Kipa tumefunga siku nyingi, kama tetesi zipo ni za waandsihi wa habari mabloga na influenza ili kunenepesha akaunti zao
Kitakachoifanya Chelsea isiweke kipaumbele kwa Kipa ni uwezo wa kiuchumi kwanza dhidi ya vipaumbele vingine muhimu kama nilivyoeleza hapo juu.Ah bila kipa anayejitambua, aisee bado sioni tukitoboa
LW ni opportunity buy kwa sababu kuna wachezaji wengi wanaweza kucheza hiyo nafasi tena vizuri sanaUmesahau pia left winger
Kweli ofa walotoa nyumbu ni nzuri ukizingatia alikua anakaa tu benchBinafsi nilitaka ni Bora tungemuuza Lavia ambaye ni injury prone but ni kwamba offer ilikuja nzuri ya kumuuza Santos na Santos ameona hatopata nafasi ya kucheza zaidi kwasababu msimu utaoanza hatupo kwenye michuano mingi na nafasi yake anacheza Caicedo