Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Umeona Xhaka anachofanya huko alafu board inaleta upuuzi
Board wangefanya nini kama club imekataa kuuza?

Tuishi kwenye realistic nafasi tuliyomaliza msimu uliopita si ya kushwawishi wachezaji proven otherwise uanze kumwaga paund 100mil na mshahara 300k per week kununua upendo

Naunga mkono kuanza project upya kwa wachezaji walio tayari kuchezea timu bila kujali ukubwa wa majina phase II ndio tunaweza kushwawishi wachezaji elite class
 
Board wangefanya nini kama club imekataa kuuza?

Tuishi kwenye realistic nafasi tuliyomaliza msimu uliopita si ya kushwawishi wachezaji proven otherwise uanze kumwaga paund 100mil na mshahara 300k per week kununua upendo

Naunga mkono kuanza project upya kwa wachezaji walio tayari kuchezea timu bila kujali ukubwa wa majina phase II ndio tunaweza kushwawishi wachezaji elite class
Mkuu Xhaka alishakubali kuja Chelsea sema Chelsea wamezingua wakapeleka offer ya pound 8m? Hivi kweli Quality ya Xhaka na namna soko la Sasa lilivyochange unamnunua kwa pound 8m? Hivyo Sunderland wameona ni dharau ndio maana wakakataa kuumuza mchezaji wao
 
Kwa upande wako unaonaje ni sawa kuumuza?
Huu ni uuzwaji wa lazima lakini ni mchungu
Ni wa lazima kwa sababu Chelsea lazima iuze wachezaji wenye bei sokoni ili isikumbwe na shoka la FFP na pia iweze kufuata masharti ya UEFA kwenye A-list waliyopewa tangu msimu uliopita kwa miaka minne. mMasharti ya UEFA inasema ili Chelsea isajili wachezaji wa A-list ni lazima iuze wachezaji.
Ni lazima pia kwa sababu Chelsea msimu ujao haina mechi nyingi za kucheza. Kama Santos alifanikiwa kucheza mechi 13 tu msimu uliopita je msimu ujao bila UEFA anaweza asicheze kabis ana ndio maana mchezaji mwenye alilazimisha kuuzwa.
Sio nzuri na ni uuzwaji mchungu kwa sababu Santo ni kiungo bora sana aina ya Casemiro. Ni mzuri kwa ukabaji, anasoma mchezo vizuri na anaweza pia kufanya mashambulizi. Ni mzuri sana kwenye mfumo uliopangika kama wa Xabi Alonso ila sasa Alonso inaelekea atawatumia zaidi Caicedo na Enzo Fernandez kuliko Santos.

Kumbuka pia tuna Valentin Barco na Reece James anaweza pia kutumika sana kwenye DM ili kumpunguzia mzigo wa majeruhi na kwa ujio wa Marco Palestra na Giovani Quenda na uwepo wa Malo Gusto unaweza kuwa ni mkakati wa kutompa majukumu mengi James kwenye RWB ambayo Alonso anaweza kuutumia sana
Kwa hiyo ni halali kusema kuwa Chelsea ina viungo wafuatao hata asiponunuliwa mwingine
  1. Moises Caicedo
  2. Enzo Fernadez
  3. Valentin Barco
  4. Dario Esugo
  5. Reece James
RB/RWB
  1. Reece James
  2. Marco Palestra
  3. Giovani Quenda
  4. Malo Gusto
  5. Josh Asheampong
 
Xabi Alonso ametua darajani leo na ametutaka tuisuport timu kama tunataka mafanikio

Ametumia zaidi kauli mbiu ya Anfield: "You'll Never Walk Alone" (YNWA) VS Kauli mbiu ya Stamford Bridge: "Pride of London"

Sasa kuna tofauti kubwa sana. Stamford Bridge tumekuwa tukibeba majivuno kama sehemu ya utambulisho wetu. Lakini Xabi Alonso anatutaka tuweke ego pembeni na tuiunge mkono timu kikamilifu.

Hilo ni changamoto kubwa kwa fanbase ya Chelsea yenye majivuno kupita kiasi, hasa pale matokeo yanapokwenda kinyume na matarajio yetu.

Kwa vyovyote vile tutakuwepo na Alonso na Mungu atusaidie! 🙏💙

1783611955105.png
 
Huu ni uuzwaji wa lazima lakini ni mchungu
Ni wa lazima kwa sababu Chelsea lazima iuze wachezaji wenye bei sokoni ili isikumbwe na shoka la FFP na pia iweze kufuata masharti ya UEFA kwenye A-list waliyopewa tangu msimu uliopita kwa miaka minne. mMasharti ya UEFA inasema ili Chelsea isajili wachezaji wa A-list ni lazima iuze wachezaji.
Ni lazima pia kwa sababu Chelsea msimu ujao haina mechi nyingi za kucheza. Kama Santos alifanikiwa kucheza mechi 13 tu msimu uliopita je msimu ujao bila UEFA anaweza asicheze kabis ana ndio maana mchezaji mwenye alilazimisha kuuzwa.
Sio nzuri na ni uuzwaji mchungu kwa sababu Santo ni kiungo bora sana aina ya Casemiro. Ni mzuri kwa ukabaji, anasoma mchezo vizuri na anaweza pia kufanya mashambulizi. Ni mzuri sana kwenye mfumo uliopangika kama wa Xabi Alonso ila sasa Alonso inaelekea atawatumia zaidi Caicedo na Enzo Fernandez kuliko Santos.

Kumbuka pia tuna Valentin Barco na Reece James anaweza pia kutumika sana kwenye DM ili kumpunguzia mzigo wa majeruhi na kwa ujio wa Marco Palestra na Giovani Quenda na uwepo wa Malo Gusto unaweza kuwa ni mkakati wa kutompa majukumu mengi James kwenye RWB ambayo Alonso anaweza kuutumia sana
Kwa hiyo ni halali kusema kuwa Chelsea ina viungo wafuatao hata asiponunuliwa mwingine
  1. Moises Caicedo
  2. Enzo Fernadez
  3. Valentin Barco
  4. Dario Esugo
  5. Reece James
RB/RWB
  1. Reece James
  2. Marco Palestra
  3. Giovani Quenda
  4. Malo Gusto
  5. Josh Asheampong
Hata Mimi nimeona kama wewe ila tungempata Xhaka tungetisha sana
 
Mkuu Xhaka alishakubali kuja Chelsea sema Chelsea wamezingua wakapeleka offer ya pound 8m? Hivi kweli Quality ya Xhaka na namna soko la Sasa lilivyochange unamnunua kwa pound 8m? Hivyo Sunderland wameona ni dharau ndio maana wakakataa kuumuza mchezaji wao
Paund Mil 8 inatosha sana kwa Xhaka. Keshaisha huyo ukimleta darajani anakuja kuleta uzoefu tu.
 
Paund Mil 8 inatosha sana kwa Xhaka. Keshaisha huyo ukimleta darajani anakuja kuleta uzoefu tu.
Hivi mkuu ulikuwa unafuatilia ligi ya Uingereza au ulikuwa unacheki mechi za Chelsea pekee? Ungekuwa umefatilia ligi ya Uingereza usingeongea hivyo msimu uliopita kati ya top 5 ya midfielders waliofanya vizuri jina la Xhaka litakuwepo
 
Hv zile tetesi za kumsajili huyu kipa wa France zimeishia Wapi 😂
Shida yetu lkubwa sio kipa
Hata zile nafasi muhimu kuzijaza ni kazi
  1. Kiungo deep-playing midfielder mbadala wa Xhaka anayefit mfumo wa Alonso
  2. Beki wa kusaidiana na Colwill (Maxence Lacroix wa Palace)
  3. Wing back wa kushoto (Pep Chavaria wa Ray Callecano)
Hao watatu kwa sasa ndio muhimu sana na ndio tutawategemea kusajiliwa

Sanchez atatendelea na kupewa ushindani wa karibu na Mike Penders
Ukurasa wa Kipa tumefunga siku nyingi, kama tetesi zipo ni za waandsihi wa habari mabloga na influenza ili kunenepesha akaunti zao
 
Shida yetu lkubwa sio kipa
Hata zile nafasi muhimu kuzijaza ni kazi
  1. Kiungo deep-playing midfielder mbadala wa Xhaka anayefit mfumo wa Alonso
  2. Beki wa kusaidiana na Colwill (Maxence Lacroix wa Palace)
  3. Wing back wa kushoto (Pep Chavaria wa Ray Callecano)
Hao watatu kwa sasa ndio muhimu sana na ndio tutawategemea kusajiliwa

Sanchez atatendelea na kupewa ushindani wa karibu na Mike Penders
Ukurasa wa Kipa tumefunga siku nyingi, kama tetesi zipo ni za waandsihi wa habari mabloga na influenza ili kunenepesha akaunti zao
Ah bila kipa anayejitambua, aisee bado sioni tukitoboa
 
Shida yetu lkubwa sio kipa
Hata zile nafasi muhimu kuzijaza ni kazi
  1. Kiungo deep-playing midfielder mbadala wa Xhaka anayefit mfumo wa Alonso
  2. Beki wa kusaidiana na Colwill (Maxence Lacroix wa Palace)
  3. Wing back wa kushoto (Pep Chavaria wa Ray Callecano)
Hao watatu kwa sasa ndio muhimu sana na ndio tutawategemea kusajiliwa

Sanchez atatendelea na kupewa ushindani wa karibu na Mike Penders
Ukurasa wa Kipa tumefunga siku nyingi, kama tetesi zipo ni za waandsihi wa habari mabloga na influenza ili kunenepesha akaunti zao
Umesahau pia left winger
 
Ah bila kipa anayejitambua, aisee bado sioni tukitoboa
Kitakachoifanya Chelsea isiweke kipaumbele kwa Kipa ni uwezo wa kiuchumi kwanza dhidi ya vipaumbele vingine muhimu kama nilivyoeleza hapo juu.

Lakini pia kuna Mikme Penders ambaye hata asipokuwa tayari msimu huu, msimu ujao lazima atakwua tayari na tukusajili kipa mzuri tunatengeneza Chaos kubwa labda tumpate kipa mzuri kwa bei rahisi ili tukitaka kumuuza iwe rahisi
 
Umesahau pia left winger
LW ni opportunity buy kwa sababu kuna wachezaji wengi wanaweza kucheza hiyo nafasi tena vizuri sana
1) Giovani Quenda yeye ni RW au RWB lakini pia anaweza kucheza LW au LWB
2) Gittens - huyu dogo anaonekan mwaka jana alikuwa ni victim wa mifumo. Huu mfumo wa Alonso watu wengi wanabashiri anaweza kucheza kwa kiwango kikubwa zaidi
3) Kama Alonso atatumia backline ya 3, Barco na Chavaria watacheza LWB
4) Hata hivyo soko bado liko wazi na tunaweza letewa supprise. Msimu huu owneres an SDs wakishirikiana an Alon so wameamua kucheza clsoed door kwenye usajili. KMuna tetesi kuwa Chelsea wanamfukuzia Crysencio Summerville wa Westham
 
Binafsi nilitaka ni Bora tungemuuza Lavia ambaye ni injury prone but ni kwamba offer ilikuja nzuri ya kumuuza Santos na Santos ameona hatopata nafasi ya kucheza zaidi kwasababu msimu utaoanza hatupo kwenye michuano mingi na nafasi yake anacheza Caicedo
Kweli ofa walotoa nyumbu ni nzuri ukizingatia alikua anakaa tu bench
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom