lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,683
- 25,897
Baada ya Cole Palmer kwenda majeruhi na kurudi akiwa na kiwango cha chini na baada ya Levi Colwill kwenda majeruhi ya ACL mwaka mzima, walibaki Moises Caicedo, Marc Cucurella na Enzo Fernandez wabebaji wa timu pekee. Na Sasa wawili hao wanaihama Chelsea na wote wamezibeba timu zao za Taifa hadi fainali za kombe la dunia na bado kuna watu watakuja hapa kuwaita takataka, uhuru wa mdomo mtamu sana.