Ataflop......
Hii thamani itamtesa sana na hizi media za England. Yaani £117m sawa na € 137m ? Mnatania nyie
Huyu hamna hamna ni £75-85m !
Nyie ni kawaida yenu kupigwa ...
Magoal 10 Assist 6 last seasonView attachment 3632228wakuu tunaomba takwimu
Hela hutoi wewe hasira za nini? Mbona hamsemi kwa Enzo Fernandez na Caicedo kuwa tumepigwa?Ataflop......
Hii thamani itamtesa sana na hizi media za England. Yaani £117m sawa na € 137m ? Mnatania nyie
Huyu hamna hamna ni £75-85m !
Nyie ni kawaida yenu kupigwa ...
Tunauza kwa 45Garnacho mlitoa £40m sio ?
AS Roma wamemgeukia Summerville wa Westham na wamesha submit Euro milioni 45 kwa kiungo huyo wa kushoto wa Westham. Sidhani kama wataendelea na interest ya Garnacho.Tunauza kwa 45
Kuwa mshabiki sio kupinga kila kitu kwa team pinzani kwa hapa mwamba umeonesha uungwana wa Hali ya juu umeongea kimpira Zaidi hivyo ndivyo inavyopaswaHakumsikia kuwa sisi tunamipango ya kumsajili Rogers? Au mlisikia na bado mkaamua kutuzidi dau? Naona bado hamtaki kuacha tabia ya kuingilia dili zetu.
Hongereni lakini. Rogers ni mchezaji mzuri.
Sifikiri tutakosa team ya kuumuza, kitu ambacho binafsi nimeshangaa ni Chelsea kutoa pesa kubwa kwa Morgan wakati tuliambiwa tunabanwa na financial fair hii imekaaje tusaidieAS Roma wamemgeukia Summerville wa Westham na wamesha submit Euro milioni 45 kwa kiungo huyo wa kushoto wa Westham. Sidhani kama wataendelea na interest ya Garnacho.
View attachment 3632377
Mmemuona mchezaji wenu jana lakini?😂Secret Mission
Xabi Alonso alishiriki kwenye operesheni ya siri ya kuuteka usajili wa Morgan Rogers.
View attachment 3632506
Tulishauza uza wachezaji na ada mabali mbali kama Faini ya Man city kumuiba Maresca, ada ya Shakta Donesti kutumia kiwanja chetu kama mil 6 hiviSifikiri tutakosa team ya kuumuza, kitu ambacho binafsi nimeshangaa ni Chelsea kutoa pesa kubwa kwa Morgan wakati tuliambiwa tunabanwa na financial fair hii imekaaje tusaidie
Ana miaka 23 tu, uzoefu wa EPL lukuki, bado hajaingia kwenye PRIME. Unataka nini tena broMmemuona mchezaji wenu jana lakini?😂
Napenda mtu anayeacha ushabiki na kuwa muwazi namkweli kwenye mambo ya waziHakumsikia kuwa sisi tunamipango ya kumsajili Rogers? Au mlisikia na bado mkaamua kutuzidi dau? Naona bado hamtaki kuacha tabia ya kuingilia dili zetu.
Hongereni lakini. Rogers ni mchezaji mzuri.
Takwimu za Morgan Rogers msimu uliopita Magoal 14 assist 12 in all competitionsMmemuona mchezaji wenu jana lakini?😂