Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Baada ya Cole Palmer kwenda majeruhi na kurudi akiwa na kiwango cha chini na baada ya Levi Colwill kwenda majeruhi ya ACL mwaka mzima, walibaki Moises Caicedo, Marc Cucurella na Enzo Fernandez wabebaji wa timu pekee. Na Sasa wawili hao wanaihama Chelsea na wote wamezibeba timu zao za Taifa hadi fainali za kombe la dunia na bado kuna watu watakuja hapa kuwaita takataka, uhuru wa mdomo mtamu sana.
1784182835154.png
 
Baada ya Cole Palmer kwenda majeruhi na kurudi akiwa na kiwango cha chini na baada ya Levi Colwill kwenda majeruhi ya ACL mwaka mzima, walibaki Moises Caicedo, Marc Cucurella na Enzo Fernandez wabebaji wa timu pekee. Na Sasa wawili hao wanaihama Chelsea na wote wamezibeba timu zao za Taifa hadi fainali za kombe la dunia na bado kuna watu watakuja hapa kuwaita takataka, uhuru wa mdomo mtamu sana.View attachment 3630063
Enzo Fernandez anahama kwenda wapi,si madrid imemkataa!!!?
 
Enzo Fernandez anahama kwenda wapi,si madrid imemkataa!!!?
Klabu za mpira kwenye trasnfers ni kama wachumba wanaoachana na kurudiana. Usidanganywe nna Statement kubwa waliyotoa. Danganya toto hiyo. Msichana unayempenda huwezi mwacha hivi hivi hata kama mkiachana kwa kuapa.
 
Klabu za mpira kwenye trasnfers ni kama wachumba wanaoachana na kurudiana. Usidanganywe nna Statement kubwa waliyotoa. Danganya toto hiyo. Msichana unayempenda huwezi mwacha hivi hivi hata kama mkiachana kwa kuapa.
Ngoja tusubir kuona mwisho wake
 
Hawa ndo wachezaji unaweza sema wapambanie top 4 , sio vitoto vya miaka 17
 

Attachments

  • Screenshot_20260718_203957_X.jpg
    Screenshot_20260718_203957_X.jpg
    156.1 KB · Views: 10
Ataflop......
Hii thamani itamtesa sana na hizi media za England. Yaani £117m sawa na € 137m ? Mnatania nyie

Huyu hamna hamna ni £75-85m !

Nyie ni kawaida yenu kupigwa ...
Kwa Caicedo na Enzo pia tulipigwa sana!! 🤣 🤣 🤣 🤣
Na mliongea sana hadi mkele zikatokomea kama vile Simba mkali kaingia sebuleni
 
Hii ni roho mbaya ya kuzaliwa nayo

Analysis ya failure ni price tag sio kiwango?
Ataflop......
Hii thamani itamtesa sana na hizi media za England. Yaani £117m sawa na € 137m ? Mnatania nyie

Huyu hamna hamna ni £75-85m !

Nyie ni kawaida yenu kupigwa ...
 
Ataflop......
Hii thamani itamtesa sana na hizi media za England. Yaani £117m sawa na € 137m ? Mnatania nyie

Huyu hamna hamna ni £75-85m !

Nyie ni kawaida yenu kupigwa ...
Hela hutoi wewe hasira za nini? Mbona hamsemi kwa Enzo Fernandez na Caicedo kuwa tumepigwa?
 
Morgan Rogers atatusaidia kule mbele moja kati ya kitu tulifeli msimu uliopita ni pale alipoumia Cole Palmer ubunifu wa kutengeneza nafasi ulipungua sana kiasi ambacho ililazimika Joao Pedro kuchezeshwa no 10 muda mwingi under Enzo Maresca. Chelsea naona wanasajiri kulingana na udhaifu wa kila nafasi uliojionesha msimu uliopita na wameamua waanze na hapa Kwanza.

Lakini pia Usajili wa Morgan Rogers utasaidia kumpunguzia mzigo wa Palmer kwenye timu hata ikitokea Palmer akadrop jukumu atabeba Morgan Rogers hii inaitwa panda miti panda miti.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom