Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1784398801363.png
 
Hii ni roho mbaya ya kuzaliwa nayo

Analysis ya failure ni price tag sio kiwango?
Ataflop......
Hii thamani itamtesa sana na hizi media za England. Yaani £117m sawa na € 137m ? Mnatania nyie

Huyu hamna hamna ni £75-85m !

Nyie ni kawaida yenu kupigwa ...
 
Ataflop......
Hii thamani itamtesa sana na hizi media za England. Yaani £117m sawa na € 137m ? Mnatania nyie

Huyu hamna hamna ni £75-85m !

Nyie ni kawaida yenu kupigwa ...
Hela hutoi wewe hasira za nini? Mbona hamsemi kwa Enzo Fernandez na Caicedo kuwa tumepigwa?
 
Morgan Rogers atatusaidia kule mbele moja kati ya kitu tulifeli msimu uliopita ni pale alipoumia Cole Palmer ubunifu wa kutengeneza nafasi ulipungua sana kiasi ambacho ililazimika Joao Pedro kuchezeshwa no 10 muda mwingi under Enzo Maresca. Chelsea naona wanasajiri kulingana na udhaifu wa kila nafasi uliojionesha msimu uliopita na wameamua waanze na hapa Kwanza.

Lakini pia Usajili wa Morgan Rogers utasaidia kumpunguzia mzigo wa Palmer kwenye timu hata ikitokea Palmer akadrop jukumu atabeba Morgan Rogers hii inaitwa panda miti panda miti.
 
Hakumsikia kuwa sisi tunamipango ya kumsajili Rogers? Au mlisikia na bado mkaamua kutuzidi dau? Naona bado hamtaki kuacha tabia ya kuingilia dili zetu.

Hongereni lakini. Rogers ni mchezaji mzuri.
Kuwa mshabiki sio kupinga kila kitu kwa team pinzani kwa hapa mwamba umeonesha uungwana wa Hali ya juu umeongea kimpira Zaidi hivyo ndivyo inavyopaswa
 
AS Roma wamemgeukia Summerville wa Westham na wamesha submit Euro milioni 45 kwa kiungo huyo wa kushoto wa Westham. Sidhani kama wataendelea na interest ya Garnacho.
View attachment 3632377
Sifikiri tutakosa team ya kuumuza, kitu ambacho binafsi nimeshangaa ni Chelsea kutoa pesa kubwa kwa Morgan wakati tuliambiwa tunabanwa na financial fair hii imekaaje tusaidie
 
Secret Mission

Xabi Alonso alishiriki kwenye operesheni ya siri ya kuuteka usajili wa Morgan Rogers.
1784453045089.png
 
Sifikiri tutakosa team ya kuumuza, kitu ambacho binafsi nimeshangaa ni Chelsea kutoa pesa kubwa kwa Morgan wakati tuliambiwa tunabanwa na financial fair hii imekaaje tusaidie
Tulishauza uza wachezaji na ada mabali mbali kama Faini ya Man city kumuiba Maresca, ada ya Shakta Donesti kutumia kiwanja chetu kama mil 6 hivi
Tunaweza kuwa tumeshaingiza zaidi ya Mil 140 hadi sasa
Kwa hiyo Chelsea ina uwezo wa kufanya manunuzi ya mil 250 bila kugombana na FFP na UEFA
 
Hakumsikia kuwa sisi tunamipango ya kumsajili Rogers? Au mlisikia na bado mkaamua kutuzidi dau? Naona bado hamtaki kuacha tabia ya kuingilia dili zetu.

Hongereni lakini. Rogers ni mchezaji mzuri.
Napenda mtu anayeacha ushabiki na kuwa muwazi namkweli kwenye mambo ya wazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom