Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ok, tupo bro tunafatilia kombe la dunia kuanzia leo tupate kuona wachezaji bora wa kuwasajili watue darajani si unajua sisi ni sajili sajili kaka
Mna Hela sasa ya kusajili Chelsea, msijevunja Tena financial fair play mkafungiwa Tena kusajili.…
Au mshachukua Mbinu wanazofanya Real,PSG na Mancity wasishtukiwe
 
Ok, tupo bro tunafatilia kombe la dunia kuanzia leo tupate kuona wachezaji bora wa kuwasajili watue darajani si unajua sisi ni sajili sajili kaka
Kweli sisi ni waibua vipaji. Kwa sasa namna ya kuwatumia ndio mziki
 
Mna Hela sasa ya kusajili Chelsea, msijevunja Tena financial fair play mkafungiwa Tena kusajili.…
Au mshachukua Mbinu wanazofanya Real,PSG na Mancity wasishtukiwe
Hapo kwenye kuvunja financial fair play lazima uwe na pesa ya kusajili,.

Pesa haijawahi kuwa tatizo kwetu labda ungesema tunaitumiaje hapo mziki mwingine
 
Cucurella huyoo madrid, Jose anamuhitaji.... mendy ni mzuri ila spana mkononi.... Alvaro anaonekana hatoshi !

Bado Enzo asepe !!!

Zile interviews zao hazikuja kwa bahati mbaya... wameshachoka kukaa darajani
 
Cucurella huyoo madrid, Jose anamuhitaji.... mendy ni mzuri ila spana mkononi.... Alvaro anaonekana hatoshi !

Bado Enzo asepe !!!

Zile interviews zao hazikuja kwa bahati mbaya... wameshachoka kukaa darajani
Mimi kilichoniuma pesa waliomuuza Sio kubwa yaani
 
Mimi kilichoniuma pesa waliomuuza Sio kubwa yaani
Chelsea imetengeneza faida ya pauni 32m baada ya Amortisation.
Alinunuliwa miaka 4 iliyopita kwa £63m ( £56m pesa taslimu + £7m add‑ons )
Anauzwa leo kwa £51.9m, pamoja na add‑ons
Thamani ya Marc Cucurella baada ya amortisation = £21m
Anauzwa kwa £51.9m
Faida = £31m

Chelsea wanataka nini zaidi?
Faida hiyo itatumika kuziba nafasi yake kama Xabi Alonso atasikilizwa
Wamlete hata Alejandro Grimaldo ana miaka 30 bado yuko kwenye fomu, anakuwa suluhishoi la muda mfupi ili kupisha Jorrel Hato akue akomae kiakili , kimaamuzi na kiuongozi
 
Chelsea imetengeneza faida ya pauni 32m baada ya Amortisation.
Alinunuliwa miaka 4 iliyopita kwa £63m ( £56m pesa taslimu + £7m add‑ons )
Anauzwa leo kwa £51.9m, pamoja na add‑ons
Thamani ya Marc Cucurella baada ya amortisation = £21m
Anauzwa kwa £51.9m
Faida = £31m

Chelsea wanataka nini zaidi?
Faida hiyo itatumika kuziba nafasi yake kama Xabi Alonso atasikilizwa
Wamlete hata Alejandro Grimaldo ana miaka 30 bado yuko kwenye fomu, anakuwa suluhishoi la muda mfupi ili kupisha Jorrel Hato akue akomae kiakili , kimaamuzi na kiuongozi
Chelsea walikuwa wapo kwenye position nzuri ya kuumuza kuanzia pound 67M+ kutokana na ushindani wa team zilizokuwa zinamtaka kumbuka A.Madrid, Barcelona na Real Madrid zote zilikuwa zinamtaka plus mchezaji ana mkataba na team na umri wa Cucurella ni umri mzuri wa sokoni miaka 27 alafu ni mchezaji wa maana kwanini umuuze kwa hiyo bei? Team kama Brighton hapa ndipo wanakupiga kweli kweli
 
Screenshot_20260615_141758_X.jpg

Reece James ni mtu makini.
 
Nadhani wamezingatia age yake.... yupo 27 anaaproch 28.....alafu yupo desperate kuondoka darajani .....

Simeone na Flick walikuwa wanatajwa kumhitaji pia
Chelsea walikuwa wapo kwenye position nzuri ya kuumuza kuanzia pound 67M+ kutokana na ushindani wa team zilizokuwa zinamtaka kumbuka A.Madrid, Barcelona na Real Madrid zote zilikuwa zinamtaka plus mchezaji ana mkataba na team na umri wa Cucurella ni umri mzuri wa sokoni miaka 27 alafu ni mchezaji wa maana kwanini umuuze kwa hiyo bei? Team kama Brighton hapa ndipo wanakupiga kweli kweli




 
Hii timu haina watu makini m
Chelsea walikuwa wapo kwenye position nzuri ya kuumuza kuanzia pound 67M+ kutokana na ushindani wa team zilizokuwa zinamtaka kumbuka A.Madrid, Barcelona na Real Madrid zote zilikuwa zinamtaka plus mchezaji ana mkataba na team na umri wa Cucurella ni umri mzuri wa sokoni miaka 27 alafu ni mchezaji wa maana kwanini umuuze kwa hiyo bei? Team kama Brighton hapa ndipo wanakupiga kweli kweli
Hii timu haina watu makini kwenye maamuzi, kupata mchezaji mwenye uwezo angalau 50% ya Cucurella tutahitaji si chini ya £50mil

Bei za sasa hivi ni za moto wachezaji wanaowika game 10 wanauzwa mpaka £70m
 
Hii timu haina watu makini m

Hii timu haina watu makini kwenye maamuzi, kupata mchezaji mwenye uwezo angalau 50% ya Cucurella tutahitaji si chini ya £50mil

Bei za sasa hivi ni za moto wachezaji wanaowika game 10 wanauzwa mpaka £70m
Mimi wamenishangaza sana kulikuwa na uharaka gani wa kuuza kwa hiyo bei as if ni bei ya maana kwa kweli wamenikwaza sana nakuambia tu huyu Cucurella angekuwa ni Man city au Madrid asingeuzwa bei tuliuza sisi mfano mzuri Alvaro Morata na kovacic japo walikuwa Sio regular kwenye team ya Madrid lakini waliuzwa bei ya juu kuja kwetu
 
Chelsea walikuwa wapo kwenye position nzuri ya kuumuza kuanzia pound 67M+ kutokana na ushindani wa team zilizokuwa zinamtaka kumbuka A.Madrid, Barcelona na Real Madrid zote zilikuwa zinamtaka plus mchezaji ana mkataba na team na umri wa Cucurella ni umri mzuri wa sokoni miaka 27 alafu ni mchezaji wa maana kwanini umuuze kwa hiyo bei? Team kama Brighton hapa ndipo wanakupiga kweli kweli
Barcelona wasingetoa hiyo pesa; Real Madrid wametoa na hata Atletico Madrid wasingetoa.
  1. Cucurella form yake ilishuka tangu January
  2. Cucurella amebakiza miaka miwili ya mkataba, hiyo huwa inaitwa danger zone kwa timu inayouza mchezaji
  3. Cucurella mwezi ujao anatimiza miaka 28, anaaga prime age na sio ajabu kashaaga tangu January 2026
  4. Cucurella alishatingisha kiberiti kwamba anataka kurudi nyumbani kwa ajili ya kuwa karibu na familia
  5. Cucurella hakuwa happy, alikosoa timu kwa kumruhusu Maresca kuondoka katikati ya msimu na hivyo kuwavuruga kimfumo
  6. Mbadala wa Cucurella tayari yuko Jorrel Hato amekiwasha vizuri tangu january na hivyo timu haitapata shida sana kumreplace
Hizo sababu zinaipunguzia Chelsea nguvu ya negotiation kwenye bei tofauti na Enzo Fernandez ambaye kwa upande wake
  1. Form yake iliimarika zaidi hata baada ya kuondoka kwa Maresca January
  2. Enzo amebakiza miaka 6 ya mkataba, hiyo kuipoa Chelsea ujasiri na jeuri ya kutaja beio yeyote
  3. Enzo ana miaka 25 tu
  4. Mbadala wa Enzo hayupo na kuwapata sokoni ni ghali sana
  5. Enzo yeye hana haraka ya kuhama kwani Spain sio nyumbani kwake japo amesifia mji wa Madrid
Kwa sababu hizo Chelsea ilikuwa kama Msichana aliyepita umri wa kuolewa kwa hiyo akija mwanaume yeyote kumab kumba
 

Kwa nini Chelsea walilazimika kukubali ofa ya Real Madrid bila kusubiri “bidding war”?​

Watu wengi wanauliza kwa nini Chelsea hawakusubiri vita ya bei kati ya Real Madrid, Barcelona, Atlético Madrid, Man United au Man City.Jibu ni moja tu: hakungekuwa na bidding war.

Chelsea hawakuwa kwenye nafasi ya kusubiri vita ya bei. Reason is simple: Chelsea walikuwa kwenye weak negotiating position kwa sababu walipaswa kumuuzia mchezaji kabla ya 1 July ili kufunga vitabu vya msimu (closing the books) na kuepuka UEFA BOT restrictions na FA FFP.

Kwa hiyo, hata kama Real Madrid, Barcelona, Atlético, Man United au Man City wangekuwa interested, Chelsea hawakuwa na luxury ya kusubiri. Walihitaji quick sale ili ku-balance vitabu vya fedha kabla ya tarehe ya mwisho.

1. Barcelona hawakuwa na uwezo wa kutoa hiyo pesa​

Walikuwa wanampenda Cucurella, lakini hawakuwa na uwezo wa kufika €60m. Financially, ilikuwa impossible.

2. Atlético Madrid walimpenda, lakini si kwa bei ya Real Madrid​

Walikuwa interested, lakini walichelewa na hawakuwa tayari kwenda juu hivyo.

3. Form ya Cucurella ilishuka tangu January​

Hii ilishusha thamani yake na nguvu ya Chelsea mezani.

4. Amebaki na miaka miwili ya mkataba​

Hii ndiyo inaitwa danger zone kwa timu inayouza. Mchezaji akiwa na miaka 2, value yake hushuka haraka sana.

5. Anatimiza miaka 28 tarehe 22 July 2026​

Anaanza kuondoka kwenye prime age — na ukweli ni kwamba form yake ilianza kushuka tangu January 2026. Hakuna timu inalipa premium kwa mchezaji anayekaribia 30.

6. Alishataka kuondoka mwenyewe​

Cucurella alishasema anataka kurudi nyumbani kuwa karibu na familia. Ukishakuwa na player anayetaka kuondoka, negotiation power yako inapungua automatically.

7. Hakuwa happy Chelsea​

Alikosoa club kwa kumruhusu Maresca kuondoka katikati ya msimu, akisema iliiharibu team structure. Unhappy player = dressing room toxicity.

8. Replacement tayari yupo — Jorrel Hato​

Hato amekuwa moto tangu January. Chelsea hawatapata shida kumreplace Cucurella uwanjani.

Kwa nini Chelsea walikuwa dhaifu kwa Cucurella lakini wako strong kwa Enzo Fernández​

Cucurella = weak position​

  • Form imeshuka
  • Miaka 2 ya mkataba
  • Karibu 28 years old
  • Anataka kuondoka
  • Replacement tayari yupo
  • Demand ndogo sokoni

Enzo = strong position​

  • Form yake iliimarika baada ya Maresca kuondoka
  • Ana miaka 6 ya mkataba
  • Ana miaka 25 tu
  • Hakuna replacement wa bei nafuu sokoni
  • Hana haraka ya kuhama — Spain si nyumbani kwake, japo anaupenda mji wa Madrid
Chelsea wana full negotiating power kwa Enzo, lakini almost zero kwa Cucurella.

Mfano wa mwisho (metaphor)​

Chelsea walikuwa kama msichana aliyepita umri wa kuolewa — kwa hiyo mwanaume akitokea na nia ya kweli, huchezi mchezo. Unakubali kabla hajageuka na kwenda kwa mwingine.
1781538391072.png
 
Maelezo mengi kutetea kuuzwa kwa Marc, .kubalini mmejichanganya tu...... kupata replacement yake sio rahisi !"

Hatto bado huwezi kumtegemea ndio LB wako, bado anakuwa, ana makosa mengi sana ! Jaribuni pale Newcastle kwa "Hall" mtaambiwa €75m.

Tena kaondoka kipindi cha mpito, mpo kwenye project !

Majirani tunafurahi kibanda cha mwenzio kikiungua
 
Barcelona wasingetoa hiyo pesa; Real Madrid wametoa na hata Atletico Madrid wasingetoa.
  1. Cucurella form yake ilishuka tangu January
  2. Cucurella amebakiza miaka miwili ya mkataba, hiyo huwa inaitwa danger zone kwa timu inayouza mchezaji
  3. Cucurella mwezi ujao anatimiza miaka 28, anaaga prime age na sio ajabu kashaaga tangu January 2026
  4. Cucurella alishatingisha kiberiti kwamba anataka kurudi nyumbani kwa ajili ya kuwa karibu na familia
  5. Cucurella hakuwa happy, alikosoa timu kwa kumruhusu Maresca kuondoka katikati ya msimu na hivyo kuwavuruga kimfumo
  6. Mbadala wa Cucurella tayari yuko Jorrel Hato amekiwasha vizuri tangu january na hivyo timu haitapata shida sana kumreplace
Hizo sababu zinaipunguzia Chelsea nguvu ya negotiation kwenye bei tofauti na Enzo Fernandez ambaye kwa upande wake
  1. Form yake iliimarika zaidi hata baada ya kuondoka kwa Maresca January
  2. Enzo amebakiza miaka 6 ya mkataba, hiyo kuipoa Chelsea ujasiri na jeuri ya kutaja beio yeyote
  3. Enzo ana miaka 25 tu
  4. Mbadala wa Enzo hayupo na kuwapata sokoni ni ghali sana
  5. Enzo yeye hana haraka ya kuhama kwani Spain sio nyumbani kwake japo amesifia mji wa Madrid
Kwa sababu hizo Chelsea ilikuwa kama Msichana aliyepita umri wa kuolewa kwa hiyo akija mwanaume yeyote kumab kumba
Bado sababu zako za Cucurella kuuzwa kwa hiyo Bei hazina mashiko, mbona kovacic tulimnunua kwa Bei ya juu akiwa tena sio first eleven ya Madrid? Kumbuka Cucurella ni key figure wa team na first starter tegemeo wa team ya Taifa ya Spain na ni experience player huo uharaka wa kumuuza Chelsea wameupatia wapi wakati mchezaji ambaye anauzika sokoni kama umri umesema una matter kwani Harry Kane kauzwa kwenda Bayern akiwa na miaka mingapi tena kwa Bei nzuri kama umri ulikuwa ni kikwazo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom