Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwani Harry Kane kauzwa kwa kiasi gani kwenda Bayern Munich?na akiwa na umri gani? Mkuu umri is just a number kikubwa tunaangalia output yako utakayoitoa kwa hiyo Bei kwangu naiona ni fair and reasonable ni vile tu uongozi huu ni ngumu kutoa pesa kwa mchezaji mwenye umri mkubwa hivi umeona yule kipa wa Ufaransa na AC Milan Mike Maignan anachofanya huko alafu uongozi walikataa kutoa pesa wanayotaka AC Milan
Watu hawapigi hesabu kwenye pesa ya usajili pekee wanapiga hesabu na kwenye wage bill inayofata baada ya usajili. Huwezi kuwa Maignan na Sancheza kwa pamoja itakucost mno likija swala la mishahara. The same ita apply kwa Xhaka akija kwa bei yoyote hatachukua mshahara wa kina Tosin au Quenda.

Yule ni mchezaji amesha prove ni PL Material atadai maslahi makubwa tu.
 
Watu hawapigi hesabu kwenye pesa ya usajili pekee wanapiga hesabu na kwenye wage bill inayofata baada ya usajili. Huwezi kuwa Maignan na Sancheza kwa pamoja itakucost mno likija swala la mishahara. The same ita apply kwa Xhaka akija kwa bei yoyote hatachukua mshahara wa kina Tosin au Quenda.

Yule ni mchezaji ameaha prove atadai maslahi makubwa tu.
Kama unataka kufanikiwa lazima ukubali gharama zake
 
Inategemea na aina ya mafanikio unayotaka wewe. Kufanikiwa kibiashara zaidi au kufanikiwa kwa kubeba makombe ambayo yataleta biashara zaidi (Ambayo ni process ya muda mrefu zaidi)
Chelsea inahitaji makombe ndio inaleta thamani ya team na ndio maana ikamleta Alonso badala makocha wa project na hata ukiangalia aina ya wachezaji wanaohitaji na kuhusishwa na Usajili ni aina wachezaji waliokomaa kimpira na ni experienced player mfano mzuri Chelsea Wanamtaka Pep Chavarria wa Rayo Vallecano ana umri wa miaka 28, Chelsea anahusishwa na beki wa Crystal Palace Maxence LaCroix ni beki mwenye uzoefu mkubwa pale Epl.
 
Kwani Harry Kane kauzwa kwa kiasi gani kwenda Bayern Munich?na akiwa na umri gani? Mkuu umri is just a number kikubwa tunaangalia output yako utakayoitoa kwa hiyo Bei kwangu naiona ni fair and reasonable ni vile tu uongozi huu ni ngumu kutoa pesa kwa mchezaji mwenye umri mkubwa hivi umeona yule kipa wa Ufaransa na AC Milan Mike Maignan anachofanya huko alafu uongozi walikataa kutoa pesa wanayotaka AC Milan
Si haki kulinganisha Kane na usajili wa Xhaka
Kane ana goodwill kubwa na wachezaji kama Kane wako wachahce duniani. Huwezi tu ukaingia sokoni ukajipiga bei kwa kisingizio cha bei ya Kane. Halafu kwa taarifa yako Kane aliuzwa akiwa na miaka 30 bado yuko kwenye peak. Wachezaji late peak age limit inakuwaga miaka 32 wanaowahi ni miaka 30. Ronaldo aliuzwa Juventus akiwa na miaka 33 kwa €100 million
Hizo case study ukichanganya tu kwenye usajili ni sawa na wewe kumuigiliza Bruce Lee chumbani kwako
Au ile michezo ya mieleka ya Marekani uigiliza na mwenzako wa mtaani,m utatokwa na meno na kiuno kuvunjika kabisa
 
Si haki kulinganisha Kane na usajili wa Xhaka
Kane ana goodwill kubwa na wachezaji kama Kane wako wachahce duniani. Huwezi tu ukaingia sokoni ukajipiga bei kwa kisingizio cha bei ya Kane. Halafu kwa taarifa yako Kane aliuzwa akiwa na miaka 30 bado yuko kwenye peak. Wachezaji late peak age limit inakuwaga miaka 32 wanaowahi ni miaka 30. Ronaldo aliuzwa Juventus akiwa na miaka 33 kwa €100 million
Hizo case study ukichanganya tu kwenye usajili ni sawa na wewe kumuigiliza Bruce Lee chumbani kwako
Au ile michezo ya mieleka ya Marekani uigiliza na mwenzako wa mtaani,m utatokwa na meno na kiuno kuvunjika kabisa
Kama ni mchezaji mzuri kwanini usitoe pound mil 20???
 
Makocha gani wamemtaka? si ni yeye ndio ameitaka madrid?!

Enzo ni tapeli, mchezaji mzuri hata akiwa kapu moja na matakataka kama ni mchezaji mzuri utamuona tu. Unamuona Bruno pale Nyumbu.

Uachage kufatilia mpira kwa kufuata mkumbo, eti kisa mchezaji ni £200 basi ni mchezaji mzuri! Mawakala wa mchezaji wanachezaga na akili za watu ili wapige pesa.

Mchambue mchezaji kwa jinsi unavyomuona ww, sio ukiingia mitandao ya wazungu huko ukiona wanavyomchambua mchezaji hujui wana mahaba gani na mchezaji, na ww kichwa kichwa unacopy na kupaste. ndio mana umekua ukitofautiana na watu hapa jukwaani na umeishia kuumbuka.
Enzo Fernandez sasa bila Pauni mil zaidi ya 200 hauzwi na wanaomchukia wameze wembe na pilipili wakalale hata kama ni mchana na usiku
Enzo ni bonge la kiungo moja na nusu
Sasa ameanza kufunga magoli kutokea nje ya penalty box. Dawa ya Low block



1784158866870.png
 
Baada ya Cole Palmer kwenda majeruhi na kurudi akiwa na kiwango cha chini na baada ya Levi Colwill kwenda majeruhi ya ACL mwaka mzima, walibaki Moises Caicedo, Marc Cucurella na Enzo Fernandez wabebaji wa timu pekee. Na Sasa wawili hao wanaihama Chelsea na wote wamezibeba timu zao za Taifa hadi fainali za kombe la dunia na bado kuna watu watakuja hapa kuwaita takataka, uhuru wa mdomo mtamu sana.
1784182835154.png
 
Baada ya Cole Palmer kwenda majeruhi na kurudi akiwa na kiwango cha chini na baada ya Levi Colwill kwenda majeruhi ya ACL mwaka mzima, walibaki Moises Caicedo, Marc Cucurella na Enzo Fernandez wabebaji wa timu pekee. Na Sasa wawili hao wanaihama Chelsea na wote wamezibeba timu zao za Taifa hadi fainali za kombe la dunia na bado kuna watu watakuja hapa kuwaita takataka, uhuru wa mdomo mtamu sana.View attachment 3630063
Enzo Fernandez anahama kwenda wapi,si madrid imemkataa!!!?
 
Enzo Fernandez anahama kwenda wapi,si madrid imemkataa!!!?
Klabu za mpira kwenye trasnfers ni kama wachumba wanaoachana na kurudiana. Usidanganywe nna Statement kubwa waliyotoa. Danganya toto hiyo. Msichana unayempenda huwezi mwacha hivi hivi hata kama mkiachana kwa kuapa.
 
Klabu za mpira kwenye trasnfers ni kama wachumba wanaoachana na kurudiana. Usidanganywe nna Statement kubwa waliyotoa. Danganya toto hiyo. Msichana unayempenda huwezi mwacha hivi hivi hata kama mkiachana kwa kuapa.
Ngoja tusubir kuona mwisho wake
 
Hawa ndo wachezaji unaweza sema wapambanie top 4 , sio vitoto vya miaka 17
 

Attachments

  • Screenshot_20260718_203957_X.jpg
    Screenshot_20260718_203957_X.jpg
    156.1 KB · Views: 10
Ataflop......
Hii thamani itamtesa sana na hizi media za England. Yaani £117m sawa na € 137m ? Mnatania nyie

Huyu hamna hamna ni £75-85m !

Nyie ni kawaida yenu kupigwa ...
Kwa Caicedo na Enzo pia tulipigwa sana!! 🤣 🤣 🤣 🤣
Na mliongea sana hadi mkele zikatokomea kama vile Simba mkali kaingia sebuleni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom