Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 16,025
- 27,365
Watu hawapigi hesabu kwenye pesa ya usajili pekee wanapiga hesabu na kwenye wage bill inayofata baada ya usajili. Huwezi kuwa Maignan na Sancheza kwa pamoja itakucost mno likija swala la mishahara. The same ita apply kwa Xhaka akija kwa bei yoyote hatachukua mshahara wa kina Tosin au Quenda.Kwani Harry Kane kauzwa kwa kiasi gani kwenda Bayern Munich?na akiwa na umri gani? Mkuu umri is just a number kikubwa tunaangalia output yako utakayoitoa kwa hiyo Bei kwangu naiona ni fair and reasonable ni vile tu uongozi huu ni ngumu kutoa pesa kwa mchezaji mwenye umri mkubwa hivi umeona yule kipa wa Ufaransa na AC Milan Mike Maignan anachofanya huko alafu uongozi walikataa kutoa pesa wanayotaka AC Milan
Yule ni mchezaji amesha prove ni PL Material atadai maslahi makubwa tu.