Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuna watu wameanza kuloga eti Arsenal atabeba tena ubingwa na Chelsea haitaingia UEFA Champions League.
Pap bin puu… hawa watu wana ndoto za mchana 😄⚽

Hii ndiyo Premier League table ya ndoto zao 🔢👇

1️⃣ Arsenal
2️⃣ Manchester City
3️⃣ Liverpool
4️⃣ Aston Villa
5️⃣ Chelsea
6️⃣ Tottenham Hotspur
7️⃣ Manchester United

Yaani mpaka leo bado kuna watu wanaamini Arsenal wanaweza ku-override City bila maombi ya usiku 😄🔥
Kufanya vizuri kwa Arsenal itategemea na team zingine zimejipangaje
 
Kuna watu wanamlaumu Reece James kwa kwenda Majeruhi akiwa analitumikia taifa lake. Huyu Heanderson yeye kaumia vib aya akiwa benchi, katoka kushangilia goli akaumia vibaya na sasa hataweza kucheza tena mechi za WC zijazo hata kama timu yake ikifika fainali. View attachment 3624074
Kumbe Henderson akiitwa kwenye team ya Taifa hii ni maajabu
 
Hivi huu mdoli Tody Boehly aliutoa wapi jamani. Hata chini ya mil 20 bado hatakiwi na ana miaka 25 tu -PRIME AGE
1783416565821.png
 
Yaani Misri wamesachiwa na Argentina kama Marekani walivyomvamia Maduro mbele ya wanajeshi wake na kumteka.

Timu za Afrika za hovyo kweli kweli, hata zikiongoza, usipoteze nguvu kushangilia 😄.
Misri walikuwa mbele hadi dakika ya 79 wakicheza kandanda safi, halafu ghafla Argentina wakafanya comeback ya nguvu 💥.

🧱 Christian Romero — goli safi la kichwa dakika ya 79
👑 Lionel Messi — goli la pili dakika ya 83
💫 Enzo Fernández — goli la ushindi dakika ya majeruhi (93’)

FT: Argentina 3️⃣ – 2️⃣ Egypt

Afrika inahitaji kujifunza jinsi ya kufunga mechi mapema, si kuongoza hadi dakika za mwisho halafu kuanguka kama domino 😅⚽

Mambo yalikuwa hivi:
15’ Ibrahim afunag goli kwa Mafarao wa Misri
67’ Ziko aongeza bao la pili
79’ Romero apunguza kwa kichwa safi
83’ Messi aisawazishia Argentina kwa goli zuri
90+3’ Enzo Fernández aipa Argentina uongozi kwa kichwa maridadi
 
Yaani Misri wamesachiwa na Argentina kama Marekani walivyomvamia Maduro mbele ya wanajeshi wake na kumteka.

Timu za Afrika za hovyo kweli kweli, hata zikiongoza, usipoteze nguvu kushangilia 😄.
Misri walikuwa mbele hadi dakika ya 79 wakicheza kandanda safi, halafu ghafla Argentina wakafanya comeback ya nguvu 💥.

🧱 Christian Romero — goli safi la kichwa dakika ya 79
👑 Lionel Messi — goli la pili dakika ya 83
💫 Enzo Fernández — goli la ushindi dakika ya majeruhi (93’)

FT: Argentina 3️⃣ – 2️⃣ Egypt

Afrika inahitaji kujifunza jinsi ya kufunga mechi mapema, si kuongoza hadi dakika za mwisho halafu kuanguka kama domino 😅⚽

Mambo yalikuwa hivi:
15’ Ibrahim afunag goli kwa Mafarao wa Misri
67’ Ziko aongeza bao la pili
79’ Romero apunguza kwa kichwa safi
83’ Messi aisawazishia Argentina kwa goli zuri
90+3’ Enzo Fernández aipa Argentina uongozi kwa kichwa maridadi
Mimi siwapendi Waarabu nimeipenda walivyotolewa
 
BREAKING: Manchester United wamefikia makubaliano na Chelsea kumsajili Andrey Santos HERE WE GO!

Mkataba wa kiungo huyo mwenye umri wa miaka 22 wa Chelsea unagharimu £48m + £2m (add‑ons zinazoweza kupatikana kirahisi) pamoja na 10% sell‑on clause.

Amepewa ruhusa kufanyiwa kupima afya, na personal terms tayari wamekubaliana.
@TheAthleticFC
1783530568789.png
 
BREAKING: Manchester United wamefikia makubaliano na Chelsea kumsajili Andrey Santos HERE WE GO!

Mkataba wa kiungo huyo mwenye umri wa miaka 22 wa Chelsea unagharimu £48m + £2m (add‑ons zinazoweza kupatikana kirahisi) pamoja na 10% sell‑on clause.

Amepewa ruhusa kufanyiwa kupima afya, na personal terms tayari wamekubaliana.
@TheAthleticFC
View attachment 3625223
Kwa upande wako unaonaje ni sawa kuumuza?
 
Umeona Xhaka anachofanya huko alafu board inaleta upuuzi
Board wangefanya nini kama club imekataa kuuza?

Tuishi kwenye realistic nafasi tuliyomaliza msimu uliopita si ya kushwawishi wachezaji proven otherwise uanze kumwaga paund 100mil na mshahara 300k per week kununua upendo

Naunga mkono kuanza project upya kwa wachezaji walio tayari kuchezea timu bila kujali ukubwa wa majina phase II ndio tunaweza kushwawishi wachezaji elite class
 
Board wangefanya nini kama club imekataa kuuza?

Tuishi kwenye realistic nafasi tuliyomaliza msimu uliopita si ya kushwawishi wachezaji proven otherwise uanze kumwaga paund 100mil na mshahara 300k per week kununua upendo

Naunga mkono kuanza project upya kwa wachezaji walio tayari kuchezea timu bila kujali ukubwa wa majina phase II ndio tunaweza kushwawishi wachezaji elite class
Mkuu Xhaka alishakubali kuja Chelsea sema Chelsea wamezingua wakapeleka offer ya pound 8m? Hivi kweli Quality ya Xhaka na namna soko la Sasa lilivyochange unamnunua kwa pound 8m? Hivyo Sunderland wameona ni dharau ndio maana wakakataa kuumuza mchezaji wao
 
Kwa upande wako unaonaje ni sawa kuumuza?
Huu ni uuzwaji wa lazima lakini ni mchungu
Ni wa lazima kwa sababu Chelsea lazima iuze wachezaji wenye bei sokoni ili isikumbwe na shoka la FFP na pia iweze kufuata masharti ya UEFA kwenye A-list waliyopewa tangu msimu uliopita kwa miaka minne. mMasharti ya UEFA inasema ili Chelsea isajili wachezaji wa A-list ni lazima iuze wachezaji.
Ni lazima pia kwa sababu Chelsea msimu ujao haina mechi nyingi za kucheza. Kama Santos alifanikiwa kucheza mechi 13 tu msimu uliopita je msimu ujao bila UEFA anaweza asicheze kabis ana ndio maana mchezaji mwenye alilazimisha kuuzwa.
Sio nzuri na ni uuzwaji mchungu kwa sababu Santo ni kiungo bora sana aina ya Casemiro. Ni mzuri kwa ukabaji, anasoma mchezo vizuri na anaweza pia kufanya mashambulizi. Ni mzuri sana kwenye mfumo uliopangika kama wa Xabi Alonso ila sasa Alonso inaelekea atawatumia zaidi Caicedo na Enzo Fernandez kuliko Santos.

Kumbuka pia tuna Valentin Barco na Reece James anaweza pia kutumika sana kwenye DM ili kumpunguzia mzigo wa majeruhi na kwa ujio wa Marco Palestra na Giovani Quenda na uwepo wa Malo Gusto unaweza kuwa ni mkakati wa kutompa majukumu mengi James kwenye RWB ambayo Alonso anaweza kuutumia sana
Kwa hiyo ni halali kusema kuwa Chelsea ina viungo wafuatao hata asiponunuliwa mwingine
  1. Moises Caicedo
  2. Enzo Fernadez
  3. Valentin Barco
  4. Dario Esugo
  5. Reece James
RB/RWB
  1. Reece James
  2. Marco Palestra
  3. Giovani Quenda
  4. Malo Gusto
  5. Josh Asheampong
 
Xabi Alonso ametua darajani leo na ametutaka tuisuport timu kama tunataka mafanikio

Ametumia zaidi kauli mbiu ya Anfield: "You'll Never Walk Alone" (YNWA) VS Kauli mbiu ya Stamford Bridge: "Pride of London"

Sasa kuna tofauti kubwa sana. Stamford Bridge tumekuwa tukibeba majivuno kama sehemu ya utambulisho wetu. Lakini Xabi Alonso anatutaka tuweke ego pembeni na tuiunge mkono timu kikamilifu.

Hilo ni changamoto kubwa kwa fanbase ya Chelsea yenye majivuno kupita kiasi, hasa pale matokeo yanapokwenda kinyume na matarajio yetu.

Kwa vyovyote vile tutakuwepo na Alonso na Mungu atusaidie! 🙏💙

1783611955105.png
 
Huu ni uuzwaji wa lazima lakini ni mchungu
Ni wa lazima kwa sababu Chelsea lazima iuze wachezaji wenye bei sokoni ili isikumbwe na shoka la FFP na pia iweze kufuata masharti ya UEFA kwenye A-list waliyopewa tangu msimu uliopita kwa miaka minne. mMasharti ya UEFA inasema ili Chelsea isajili wachezaji wa A-list ni lazima iuze wachezaji.
Ni lazima pia kwa sababu Chelsea msimu ujao haina mechi nyingi za kucheza. Kama Santos alifanikiwa kucheza mechi 13 tu msimu uliopita je msimu ujao bila UEFA anaweza asicheze kabis ana ndio maana mchezaji mwenye alilazimisha kuuzwa.
Sio nzuri na ni uuzwaji mchungu kwa sababu Santo ni kiungo bora sana aina ya Casemiro. Ni mzuri kwa ukabaji, anasoma mchezo vizuri na anaweza pia kufanya mashambulizi. Ni mzuri sana kwenye mfumo uliopangika kama wa Xabi Alonso ila sasa Alonso inaelekea atawatumia zaidi Caicedo na Enzo Fernandez kuliko Santos.

Kumbuka pia tuna Valentin Barco na Reece James anaweza pia kutumika sana kwenye DM ili kumpunguzia mzigo wa majeruhi na kwa ujio wa Marco Palestra na Giovani Quenda na uwepo wa Malo Gusto unaweza kuwa ni mkakati wa kutompa majukumu mengi James kwenye RWB ambayo Alonso anaweza kuutumia sana
Kwa hiyo ni halali kusema kuwa Chelsea ina viungo wafuatao hata asiponunuliwa mwingine
  1. Moises Caicedo
  2. Enzo Fernadez
  3. Valentin Barco
  4. Dario Esugo
  5. Reece James
RB/RWB
  1. Reece James
  2. Marco Palestra
  3. Giovani Quenda
  4. Malo Gusto
  5. Josh Asheampong
Hata Mimi nimeona kama wewe ila tungempata Xhaka tungetisha sana
 
Mkuu Xhaka alishakubali kuja Chelsea sema Chelsea wamezingua wakapeleka offer ya pound 8m? Hivi kweli Quality ya Xhaka na namna soko la Sasa lilivyochange unamnunua kwa pound 8m? Hivyo Sunderland wameona ni dharau ndio maana wakakataa kuumuza mchezaji wao
Paund Mil 8 inatosha sana kwa Xhaka. Keshaisha huyo ukimleta darajani anakuja kuleta uzoefu tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom