Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Dili la kumsajili Granit Xhaka limekufa kifo cha mende

View attachment 3621609
Huu usajili bado upo moto, nasikia Chelsea wamekataa kusalimu amri.
Pia nasikia Sunderland walidanganya kuwa Xhaka ameamua kubakia Sunderland na amewataarifu Chelsea. Sio kweli. Chelsea wametuma offer ya karibu na pauni mil 15 na Sun derland wamekataa na bado msimamo wao ni kwamba Xhaka hauzwi huku wakisema hatoki bila pauni mil 25. Game on!
 
Mwaka huu kinda wamesajiliwa kwa ajili ya academy. Huko nyuma walisajili hovyo na wamejifunza kwa maoni yangu
Kwanza tupo slow sana kwenye Usajili kwa kweli Imani yangu ni ndogo sioni Kuna makubwa tutafanya
 
Huu usajili bado upo moto, nasikia Chelsea wamekataa kusalimu amri.
Pia nasikia Sunderland walidanganya kuwa Xhaka ameamua kubakia Sunderland na amewataarifu Chelsea. Sio kweli. Chelsea wametuma offer ya karibu na pauni mil 15 na Sun derland wamekataa na bado msimamo wao ni kwamba Xhaka hauzwi huku wakisema hatoki bila pauni mil 25. Game on!
Sina uhakika hili dili litatokea ni Kama kwa yule kipa wa ACMilan na team ya Taifa ya Ufaransa huu uongozi hawapendi wachezaji wenye umri mkubwa
 
Sina uhakika hili dili litatokea ni Kama kwa yule kipa wa ACMilan na team ya Taifa ya Ufaransa huu uongozi hawapendi wachezaji wenye umri mkubwa
Sasa deal limekufa rasmi, Xabi atafute mbadala au ajiandae kuwatumia waliopo
Enzo Fernandez atakuwepo, Romeo Lavia yupo mchezaji hewa, Andrey Santos wanataka kumujuza Newcastle, James yupo, na Dário Essugo
 
Kwanza tupo slow sana kwenye Usajili kwa kweli Imani yangu ni ndogo sioni Kuna makubwa tutafanya
Ni wewe ndie hujui
Chelsea hairuhusiwi kusajili kwa zaidi ya mil 100 kwa sheria za FFP hadi wauze wachezaji na wasipofanya hivyo, FFP iko mlangoni
Pia UEFA walishawabana msimu uliopita kwamba ni marfuku kuongeza wachezaji kabla ya kuuza wachezaji. Walipewa restriction nadhani ya misimu minne

Maelezo
  • Muda wa vizuizi: Miaka minne kuanzia 2025 hadi 2029.
  • Sharti: Kabla ya kusajili mchezaji mpya kwenye orodha ya UEFA (List A), Chelsea lazima waonyeshe kuwa mapato ya mauzo ya wachezaji yamezidi matumizi ya usajili.
  • Lengo: Kutekeleza kanuni za UEFA Financial Sustainability, zinazolazimisha gharama za kikosi kutokuwa zaidi ya asilimia 80 ya mapato ya klabu.
  • Wigo: Vikwazo vinahusu tu mashindano ya UEFA (Champions League, Europa League, Conference League). Usajili wa Ligi Kuu ya England haujaathirika.
 
Ni wewe ndie hujui
Chelsea hairuhusiwi kusajili kwa zaidi ya mil 100 kwa sheria za FFP hadi wauze wachezaji na wasipofanya hivyo, FFP iko mlangoni
Pia UEFA walishawabana msimu uliopita kwamba ni marfuku kuongeza wachezaji kabla ya kuuza wachezaji. Walipewa restriction nadhani ya misimu minne

Maelezo
  • Muda wa vizuizi: Miaka minne kuanzia 2025 hadi 2029.
  • Sharti: Kabla ya kusajili mchezaji mpya kwenye orodha ya UEFA (List A), Chelsea lazima waonyeshe kuwa mapato ya mauzo ya wachezaji yamezidi matumizi ya usajili.
  • Lengo: Kutekeleza kanuni za UEFA Financial Sustainability, zinazolazimisha gharama za kikosi kutokuwa zaidi ya asilimia 80 ya mapato ya klabu.
  • Wigo: Vikwazo vinahusu tu mashindano ya UEFA (Champions League, Europa League, Conference League). Usajili wa Ligi Kuu ya England haujaathirika.
Hapa nimekupata
 
image.jpg


Safi sana Halland, matineli efusii
 
Hii picha itatrend kila kona… na mashabiki wa timu fulani tayari wanaandaa visingizio debe,

“Angle ilikuwa mbaya…”
“Mwanga ulikuwa biased…”
“VAR inatakiwa ku-review hii picha…”
Yaani hawa watu watasema hata camera imechukua upande 😄📸⚽

1783317064194.png
 
Kuna watu wanamlaumu Reece James kwa kwenda Majeruhi akiwa analitumikia taifa lake. Huyu Heanderson yeye kaumia vib aya akiwa benchi, katoka kushangilia goli akaumia vibaya na sasa hataweza kucheza tena mechi za WC zijazo hata kama timu yake ikifika fainali.
1783398749083.png
 
Kuna watu wameanza kuloga eti Arsenal atabeba tena ubingwa na Chelsea haitaingia UEFA Champions League.
Pap bin puu… hawa watu wana ndoto za mchana 😄⚽

Hii ndiyo Premier League table ya ndoto zao 🔢👇

1️⃣ Arsenal
2️⃣ Manchester City
3️⃣ Liverpool
4️⃣ Aston Villa
5️⃣ Chelsea
6️⃣ Tottenham Hotspur
7️⃣ Manchester United

Yaani mpaka leo bado kuna watu wanaamini Arsenal wanaweza ku-override City bila maombi ya usiku 😄🔥
 
Kuna watu wameanza kuloga eti Arsenal atabeba tena ubingwa na Chelsea haitaingia UEFA Champions League.
Pap bin puu… hawa watu wana ndoto za mchana 😄⚽

Hii ndiyo Premier League table ya ndoto zao 🔢👇

1️⃣ Arsenal
2️⃣ Manchester City
3️⃣ Liverpool
4️⃣ Aston Villa
5️⃣ Chelsea
6️⃣ Tottenham Hotspur
7️⃣ Manchester United

Yaani mpaka leo bado kuna watu wanaamini Arsenal wanaweza ku-override City bila maombi ya usiku 😄🔥
Kufanya vizuri kwa Arsenal itategemea na team zingine zimejipangaje
 
Kuna watu wanamlaumu Reece James kwa kwenda Majeruhi akiwa analitumikia taifa lake. Huyu Heanderson yeye kaumia vib aya akiwa benchi, katoka kushangilia goli akaumia vibaya na sasa hataweza kucheza tena mechi za WC zijazo hata kama timu yake ikifika fainali. View attachment 3624074
Kumbe Henderson akiitwa kwenye team ya Taifa hii ni maajabu
 
Yaani Misri wamesachiwa na Argentina kama Marekani walivyomvamia Maduro mbele ya wanajeshi wake na kumteka.

Timu za Afrika za hovyo kweli kweli, hata zikiongoza, usipoteze nguvu kushangilia 😄.
Misri walikuwa mbele hadi dakika ya 79 wakicheza kandanda safi, halafu ghafla Argentina wakafanya comeback ya nguvu 💥.

🧱 Christian Romero — goli safi la kichwa dakika ya 79
👑 Lionel Messi — goli la pili dakika ya 83
💫 Enzo Fernández — goli la ushindi dakika ya majeruhi (93’)

FT: Argentina 3️⃣ – 2️⃣ Egypt

Afrika inahitaji kujifunza jinsi ya kufunga mechi mapema, si kuongoza hadi dakika za mwisho halafu kuanguka kama domino 😅⚽

Mambo yalikuwa hivi:
15’ Ibrahim afunag goli kwa Mafarao wa Misri
67’ Ziko aongeza bao la pili
79’ Romero apunguza kwa kichwa safi
83’ Messi aisawazishia Argentina kwa goli zuri
90+3’ Enzo Fernández aipa Argentina uongozi kwa kichwa maridadi
 
Yaani Misri wamesachiwa na Argentina kama Marekani walivyomvamia Maduro mbele ya wanajeshi wake na kumteka.

Timu za Afrika za hovyo kweli kweli, hata zikiongoza, usipoteze nguvu kushangilia 😄.
Misri walikuwa mbele hadi dakika ya 79 wakicheza kandanda safi, halafu ghafla Argentina wakafanya comeback ya nguvu 💥.

🧱 Christian Romero — goli safi la kichwa dakika ya 79
👑 Lionel Messi — goli la pili dakika ya 83
💫 Enzo Fernández — goli la ushindi dakika ya majeruhi (93’)

FT: Argentina 3️⃣ – 2️⃣ Egypt

Afrika inahitaji kujifunza jinsi ya kufunga mechi mapema, si kuongoza hadi dakika za mwisho halafu kuanguka kama domino 😅⚽

Mambo yalikuwa hivi:
15’ Ibrahim afunag goli kwa Mafarao wa Misri
67’ Ziko aongeza bao la pili
79’ Romero apunguza kwa kichwa safi
83’ Messi aisawazishia Argentina kwa goli zuri
90+3’ Enzo Fernández aipa Argentina uongozi kwa kichwa maridadi
Mimi siwapendi Waarabu nimeipenda walivyotolewa
 
BREAKING: Manchester United wamefikia makubaliano na Chelsea kumsajili Andrey Santos HERE WE GO!

Mkataba wa kiungo huyo mwenye umri wa miaka 22 wa Chelsea unagharimu £48m + £2m (add‑ons zinazoweza kupatikana kirahisi) pamoja na 10% sell‑on clause.

Amepewa ruhusa kufanyiwa kupima afya, na personal terms tayari wamekubaliana.
@TheAthleticFC
1783530568789.png
 
BREAKING: Manchester United wamefikia makubaliano na Chelsea kumsajili Andrey Santos HERE WE GO!

Mkataba wa kiungo huyo mwenye umri wa miaka 22 wa Chelsea unagharimu £48m + £2m (add‑ons zinazoweza kupatikana kirahisi) pamoja na 10% sell‑on clause.

Amepewa ruhusa kufanyiwa kupima afya, na personal terms tayari wamekubaliana.
@TheAthleticFC
View attachment 3625223
Kwa upande wako unaonaje ni sawa kuumuza?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom