Yaani Misri wamesachiwa na Argentina kama Marekani walivyomvamia Maduro mbele ya wanajeshi wake na kumteka.
Timu za Afrika za hovyo kweli kweli, hata zikiongoza, usipoteze nguvu kushangilia 😄.
Misri walikuwa mbele hadi dakika ya 79 wakicheza kandanda safi, halafu ghafla Argentina wakafanya comeback ya nguvu 💥.
🧱 Christian Romero — goli safi la kichwa dakika ya 79
👑 Lionel Messi — goli la pili dakika ya 83
💫 Enzo Fernández — goli la ushindi dakika ya majeruhi (93’)
FT: Argentina 3️⃣ – 2️⃣ Egypt
Afrika inahitaji kujifunza jinsi ya kufunga mechi mapema, si kuongoza hadi dakika za mwisho halafu kuanguka kama domino 😅⚽
Mambo yalikuwa hivi:
15’ Ibrahim afunag goli kwa Mafarao wa Misri
67’ Ziko aongeza bao la pili
79’ Romero apunguza kwa kichwa safi
83’ Messi aisawazishia Argentina kwa goli zuri
90+3’ Enzo Fernández aipa Argentina uongozi kwa kichwa maridadi