Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwahiyo wewe ndio unajua sana mpira kuliko wale waliompa young player of the tournament na suala la namba nimekuuliza kwenye viungo wako wa Arsenal yupi kamzidi kwa namba Enzo Fernandez msimu huu? Ili nithibitishe huo ukawaida alionao Enzo unaosemea
Nimekuuliza namba za nini haujajibu. Among his peers labda alikua beast but overall other Midfielders alikua na namba za kawaida.

Sasa sema namba gani
 
Wako Attacking Midfielders (AM) na majukumu yao yako wazi. Attacking midfielder anatakiwa kuchangia kwa kiwango kikubwa kwenye mashambulizi — ikijumuisha build‑up, kutengeneza nafasi, kutoa assists, na kufunga magoli. Kwa kiwango kidogo, wanatakiwa pia kusaidia kwenye kukaba.

Kwa upande mwingine, Central Midfielders (CM) wao ni balanced.

Majukumu yao ni pamoja na:
  • Kusaidia kushambulia: kujenga mashambulizi, kutoa assists, na kufunga inapohitajika
  • Kuchezesha wachezaji wenzao, kudhibiti mchezo na kukaba na kusaidia kukaba kimkakati
Sasa huoni wewe kuja kusema CM, DM au AM tumdai magoli ni hoja isiyowezekana?
 
Nimekuuliza namba za nini haujajibu. Among his peers labda alikua beast but overall other Midfielders alikua na namba za kawaida.

Sasa sema namba gani
Contribution ya magoal na assist kwa pamoja
 
Contribution ya magoal na assist kwa pamoja
Ujue nacheka kwa sababu imebidi useme magoli na assists ili namba zake ziwe nyingi 😂😂😂

Sasa Arsenal hatuna AM kwahiyo huyu jamaa kwa nafasi yake anayocheza hatuna wa kumfananishia. Ila kwakua mashabiki wa Chelsea hua hamjui kwamba mchezaji anapocheza inamatter ili kumfananishia nakuwekea screenshots.

Hii hapa ni screenshot ya Midfielders wenye assists nyingi.

Screenshot_20260518-160259.png


Hii hapa ni screenshot ya Midfielders wenye magoli mengi.

Screenshot_20260518-160343.png


Hii hapa ni screenshot ya Midfielders wenye magoli na assists nyingi.

Screenshot_20260518-160406.png


Unataka namba gani zingine?
 
Attacking Midfielder aliyenunuliwa kwa 100M ana magoli 9 na assists 3 katika mechi 36.

Msimu uliopita alifunga magoli 6 na assists 7. Huo msimu uliopita Odegaard alikua na assists 8 na Rice alikua nazo 7. Merino alikua na magoli 7.

Hizi siyo healthy stats za kukaa na kutishia watu. I will never understand.
 
Attacking Midfielder aliyenunuliwa kwa 100M ana magoli 9 na assists 3 katika mechi 36.

Msimu uliopita alifunga magoli 6 na assists 7. Huo msimu uliopita Odegaard alikua na assists 8 na Rice alikua nazo 7. Merino alikua na magoli 7.

Hizi siyo healthy stats za kukaa na kutishia watu. I will never understand.
Enzo ni midfield ambaye anashuka chini ni Kama vile unavyomuona Lampard
 
Kocha tumepata, labda azingue kwenye usaljili, ila huyu nina imani nae anatufikisha mahali

Aondoe Sanchez goilini

atoe weusi 3/4 abakize alete weupe, huwezi shinda makombe una wachezaji weusi asilimia 80
 
Kocha tumepata, labda azingue kwenye usaljili, ila huyu nina imani nae anatufikisha mahali

Aondoe Sanchez goilini

atoe weusi 3/4 abakize alete weupe, huwezi shinda makombe una wachezaji weusi asilimia 80
France walishinda World Cup wakiwa na weusi wangapi
 
-Valentine Barco (LB, LWB, CM) kawaaga Mashabiki wa Strasbourg huku Chelsea ikiwa imeshaingia mktaba naye wa awali kuhamia Chelsea msimu ujao
-Emanuel Emegha (Striker) naye anatarajiwa kuahamia Cheslea akitokea Starsbourg
-Giovani Quenda (RWB, RW) jana naye kafanyiwa tukio la kuagwa na Sporting Lisborn ya Ureno
-Dastan Satpayev (Striker, No 10, LW, RW) akitokea FC Kairat
Hao wachezaji wanne ni confirmed na watakuwa usajili wa kwanza wa Xabi Alonso

Chelsea wanategemea kusajili wachezaji wasiopungua wanne msimu huu wa kiangazi, ambao ni:

1) Golkipa mzoefu mmoja — Kuna kila uwezekano Mike Penders abakie Strasbourg kwa mkopo wa ziada, kwani bado hajawa tayari kuwa mlinda mlango namba moja mara moja.
Alternatives zinazowezekanaikiwa Chelsea wataamua kusajili golkipa mpya ni:
i) AC Milan’s Mike Maignan
ii) Everton’s Jordan Pickford
iii) Atalanta’s Marco Carnesecchi
iv) FC Porto’ Diogo Costa
v) Brighton’s Bart Verbruggen
vi) Sunderland’s Robin Roefs
2) Beki wa kati mmoja — Kipaumbele kikubwa ni Murillo kutoka Nottingham Forest, ambapo Chelsea wanaongoza katika mbio za kumsajili.
3) Striker mmoja — Tayari wamekubaliana na Emmanuel Emegha kutoka Strasbourg kujiunga. Wanaweza kutafuta mwingine wa ziada ambaye anayefuatiliwa ni Igo Thiago wa Brentford.
4) Kiungo mmoja — Valentin Barco kutoka Strasbourg yuko karibu sana kujiunga, huku wengine kama Adam Wharton na Elliot Anderson wakiwa kwenye orodha.
5) LW mmoja — Wanahitaji kuimarisha upande wa kushoto, na wanaweza kutazama wachezaji kama Anthony Gordon au wengine wa ubora huo.

Hii ni sehemu ya mpango wa kuimarisha timu chini ya kocha mpya Xabi Alonso.
 
Kocha tumepata, labda azingue kwenye usaljili, ila huyu nina imani nae anatufikisha mahali

Aondoe Sanchez goilini

atoe weusi 3/4 abakize alete weupe, huwezi shinda makombe una wachezaji weusi asilimia 80
Weusi wakiwa kwenye nafasi ya ulinzi ndio huwa wanaharibu ila sio kwa namna ulivyosema
 
-Valentine Barco (LB, LWB, CM) kawaaga Mashabiki wa Strasbourg huku Chelsea ikiwa imeshaingia mktaba naye wa awali kuhamia Chelsea msimu ujao
-Emanuel Emegha (Striker) naye anatarajiwa kuahamia Cheslea akitokea Starsbourg
-Giovani Quenda (RWB, RW) jana naye kafanyiwa tukio la kuagwa na Sporting Lisborn ya Ureno
-Dastan Satpayev (Striker, No 10, LW, RW) akitokea FC Kairat
Hao wachezaji wanne ni confirmed na watakuwa usajili wa kwanza wa Xabi Alonso

Chelsea wanategemea kusajili wachezaji wasiopungua wanne msimu huu wa kiangazi, ambao ni:

1) Golkipa mzoefu mmoja — Kuna kila uwezekano Mike Penders abakie Strasbourg kwa mkopo wa ziada, kwani bado hajawa tayari kuwa mlinda mlango namba moja mara moja.
Alternatives zinazowezekanaikiwa Chelsea wataamua kusajili golkipa mpya ni:
i) AC Milan’s Mike Maignan
ii) Everton’s Jordan Pickford
iii) Atalanta’s Marco Carnesecchi
iv) FC Porto’ Diogo Costa
v) Brighton’s Bart Verbruggen
vi) Sunderland’s Robin Roefs
2) Beki wa kati mmoja — Kipaumbele kikubwa ni Murillo kutoka Nottingham Forest, ambapo Chelsea wanaongoza katika mbio za kumsajili.
3) Striker mmoja — Tayari wamekubaliana na Emmanuel Emegha kutoka Strasbourg kujiunga. Wanaweza kutafuta mwingine wa ziada ambaye anayefuatiliwa ni Igo Thiago wa Brentford.
4) Kiungo mmoja — Valentin Barco kutoka Strasbourg yuko karibu sana kujiunga, huku wengine kama Adam Wharton na Elliot Anderson wakiwa kwenye orodha.
5) LW mmoja — Wanahitaji kuimarisha upande wa kushoto, na wanaweza kutazama wachezaji kama Anthony Gordon au wengine wa ubora huo.

Hii ni sehemu ya mpango wa kuimarisha timu chini ya kocha mpya Xabi Alonso.
Kuna sajili zimeshafanywa tayari ambazo sio zake kama itategemea kocha atawaweka kwenye mipango yake au laah! yote hayo ataangalia kupitia pre season. Nikija kwenye upande wa kipa tutafanya lamaana kama tukiwasajili yule kipa wa ACMilan au Pickford wote hawa Wana ubora wa juu lakini ni makipa viongozi.
 
Timu captain wake ni shoga ni nuksi kwa wachezaji kuitwa timu ya taifa.
We mzee kuna mambo unaweza fikiri unayapinga kumbe unayapa unnecessary hype

Nafikiri ni vyema tudeal na kile wachezaji wanachotupa uwanjani maana ndicho tunachoshabikia sio mambo yao ya huko

Otherwise jukwaa litakuwa la udaku na umbea
 
Timu ya kimiyeyusho hadi imefanya Joao Pedro asiitwe timu ya taifa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom