Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kocha tumepata, labda azingue kwenye usaljili, ila huyu nina imani nae anatufikisha mahali

Aondoe Sanchez goilini

atoe weusi 3/4 abakize alete weupe, huwezi shinda makombe una wachezaji weusi asilimia 80
France walishinda World Cup wakiwa na weusi wangapi
 
-Valentine Barco (LB, LWB, CM) kawaaga Mashabiki wa Strasbourg huku Chelsea ikiwa imeshaingia mktaba naye wa awali kuhamia Chelsea msimu ujao
-Emanuel Emegha (Striker) naye anatarajiwa kuahamia Cheslea akitokea Starsbourg
-Giovani Quenda (RWB, RW) jana naye kafanyiwa tukio la kuagwa na Sporting Lisborn ya Ureno
-Dastan Satpayev (Striker, No 10, LW, RW) akitokea FC Kairat
Hao wachezaji wanne ni confirmed na watakuwa usajili wa kwanza wa Xabi Alonso

Chelsea wanategemea kusajili wachezaji wasiopungua wanne msimu huu wa kiangazi, ambao ni:

1) Golkipa mzoefu mmoja — Kuna kila uwezekano Mike Penders abakie Strasbourg kwa mkopo wa ziada, kwani bado hajawa tayari kuwa mlinda mlango namba moja mara moja.
Alternatives zinazowezekanaikiwa Chelsea wataamua kusajili golkipa mpya ni:
i) AC Milan’s Mike Maignan
ii) Everton’s Jordan Pickford
iii) Atalanta’s Marco Carnesecchi
iv) FC Porto’ Diogo Costa
v) Brighton’s Bart Verbruggen
vi) Sunderland’s Robin Roefs
2) Beki wa kati mmoja — Kipaumbele kikubwa ni Murillo kutoka Nottingham Forest, ambapo Chelsea wanaongoza katika mbio za kumsajili.
3) Striker mmoja — Tayari wamekubaliana na Emmanuel Emegha kutoka Strasbourg kujiunga. Wanaweza kutafuta mwingine wa ziada ambaye anayefuatiliwa ni Igo Thiago wa Brentford.
4) Kiungo mmoja — Valentin Barco kutoka Strasbourg yuko karibu sana kujiunga, huku wengine kama Adam Wharton na Elliot Anderson wakiwa kwenye orodha.
5) LW mmoja — Wanahitaji kuimarisha upande wa kushoto, na wanaweza kutazama wachezaji kama Anthony Gordon au wengine wa ubora huo.

Hii ni sehemu ya mpango wa kuimarisha timu chini ya kocha mpya Xabi Alonso.
 
Kocha tumepata, labda azingue kwenye usaljili, ila huyu nina imani nae anatufikisha mahali

Aondoe Sanchez goilini

atoe weusi 3/4 abakize alete weupe, huwezi shinda makombe una wachezaji weusi asilimia 80
Weusi wakiwa kwenye nafasi ya ulinzi ndio huwa wanaharibu ila sio kwa namna ulivyosema
 
-Valentine Barco (LB, LWB, CM) kawaaga Mashabiki wa Strasbourg huku Chelsea ikiwa imeshaingia mktaba naye wa awali kuhamia Chelsea msimu ujao
-Emanuel Emegha (Striker) naye anatarajiwa kuahamia Cheslea akitokea Starsbourg
-Giovani Quenda (RWB, RW) jana naye kafanyiwa tukio la kuagwa na Sporting Lisborn ya Ureno
-Dastan Satpayev (Striker, No 10, LW, RW) akitokea FC Kairat
Hao wachezaji wanne ni confirmed na watakuwa usajili wa kwanza wa Xabi Alonso

Chelsea wanategemea kusajili wachezaji wasiopungua wanne msimu huu wa kiangazi, ambao ni:

1) Golkipa mzoefu mmoja — Kuna kila uwezekano Mike Penders abakie Strasbourg kwa mkopo wa ziada, kwani bado hajawa tayari kuwa mlinda mlango namba moja mara moja.
Alternatives zinazowezekanaikiwa Chelsea wataamua kusajili golkipa mpya ni:
i) AC Milan’s Mike Maignan
ii) Everton’s Jordan Pickford
iii) Atalanta’s Marco Carnesecchi
iv) FC Porto’ Diogo Costa
v) Brighton’s Bart Verbruggen
vi) Sunderland’s Robin Roefs
2) Beki wa kati mmoja — Kipaumbele kikubwa ni Murillo kutoka Nottingham Forest, ambapo Chelsea wanaongoza katika mbio za kumsajili.
3) Striker mmoja — Tayari wamekubaliana na Emmanuel Emegha kutoka Strasbourg kujiunga. Wanaweza kutafuta mwingine wa ziada ambaye anayefuatiliwa ni Igo Thiago wa Brentford.
4) Kiungo mmoja — Valentin Barco kutoka Strasbourg yuko karibu sana kujiunga, huku wengine kama Adam Wharton na Elliot Anderson wakiwa kwenye orodha.
5) LW mmoja — Wanahitaji kuimarisha upande wa kushoto, na wanaweza kutazama wachezaji kama Anthony Gordon au wengine wa ubora huo.

Hii ni sehemu ya mpango wa kuimarisha timu chini ya kocha mpya Xabi Alonso.
Kuna sajili zimeshafanywa tayari ambazo sio zake kama itategemea kocha atawaweka kwenye mipango yake au laah! yote hayo ataangalia kupitia pre season. Nikija kwenye upande wa kipa tutafanya lamaana kama tukiwasajili yule kipa wa ACMilan au Pickford wote hawa Wana ubora wa juu lakini ni makipa viongozi.
 
Timu captain wake ni shoga ni nuksi kwa wachezaji kuitwa timu ya taifa.
We mzee kuna mambo unaweza fikiri unayapinga kumbe unayapa unnecessary hype

Nafikiri ni vyema tudeal na kile wachezaji wanachotupa uwanjani maana ndicho tunachoshabikia sio mambo yao ya huko

Otherwise jukwaa litakuwa la udaku na umbea
 
Timu ya kimiyeyusho hadi imefanya Joao Pedro asiitwe timu ya taifa
 
-Valentine Barco (LB, LWB, CM) kawaaga Mashabiki wa Strasbourg huku Chelsea ikiwa imeshaingia mktaba naye wa awali kuhamia Chelsea msimu ujao
-Emanuel Emegha (Striker) naye anatarajiwa kuahamia Cheslea akitokea Starsbourg
-Giovani Quenda (RWB, RW) jana naye kafanyiwa tukio la kuagwa na Sporting Lisborn ya Ureno
-Dastan Satpayev (Striker, No 10, LW, RW) akitokea FC Kairat
Hao wachezaji wanne ni confirmed na watakuwa usajili wa kwanza wa Xabi Alonso

Chelsea wanategemea kusajili wachezaji wasiopungua wanne msimu huu wa kiangazi, ambao ni:

1) Golkipa mzoefu mmoja — Kuna kila uwezekano Mike Penders abakie Strasbourg kwa mkopo wa ziada, kwani bado hajawa tayari kuwa mlinda mlango namba moja mara moja.
Alternatives zinazowezekanaikiwa Chelsea wataamua kusajili golkipa mpya ni:
i) AC Milan’s Mike Maignan
ii) Everton’s Jordan Pickford
iii) Atalanta’s Marco Carnesecchi
iv) FC Porto’ Diogo Costa
v) Brighton’s Bart Verbruggen
vi) Sunderland’s Robin Roefs
2) Beki wa kati mmoja — Kipaumbele kikubwa ni Murillo kutoka Nottingham Forest, ambapo Chelsea wanaongoza katika mbio za kumsajili.
3) Striker mmoja — Tayari wamekubaliana na Emmanuel Emegha kutoka Strasbourg kujiunga. Wanaweza kutafuta mwingine wa ziada ambaye anayefuatiliwa ni Igo Thiago wa Brentford.
4) Kiungo mmoja — Valentin Barco kutoka Strasbourg yuko karibu sana kujiunga, huku wengine kama Adam Wharton na Elliot Anderson wakiwa kwenye orodha.
5) LW mmoja — Wanahitaji kuimarisha upande wa kushoto, na wanaweza kutazama wachezaji kama Anthony Gordon au wengine wa ubora huo.

Hii ni sehemu ya mpango wa kuimarisha timu chini ya kocha mpya Xabi Alonso.
Naangaliaangalia ratiba hapa naona leo mnacheza usiku nyny vibaka🤠🤠....mnacheza kugombania nini yaani na muende wapi....mechi ya Leo ni Abdala dhidi ya dula....yaani Chelkenge mna hekaheka nyingi ila matokeo sufuri.....sasa ALONSO naye mtamtimua baada ya miaka 2....shida siyo makocha shida ni wale wamiliki wenu.....wale jamaa ni vibaka wa mchana kabisa unawaona
 
HATIMAYE!
Hongereni mashabiki wa Arsenal kwa kuibuka mabingwa wa Premier League baada ya miaka 22. Inauma, lakini moyoni mwangu nawapongeza kwa dhati. Furahieni wakati wenu.
 
João Pedro ashinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa Msimu wa Chelsea 2025/26.…na sasa anarudi kutabasamu Stamford Bridge baada ya maumivu ya kuachwa kwenye timu ya Brazil ya kushiriki Kombe la Dunia.

1779227467922.png
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kilichobaki kwetu sisi Man Utd kamati ya roho mbaya ni kumuachia tu Brighton ashinde mechi iliyosalia, huku tukizidisha dua kuwaombea Brentford na Sundarland kila mmoja ashinde mechi yake ya mwisho ili Chelkenge asipate hata nafasi ya kushiriki kwenye conference league msimu ujao.
images-7.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kilichobaki kwetu sisi Man Utd kamati ya roho mbaya ni kumuachia tu Brighton ashinde mechi iliyosalia, huku tukizidisha dua kuwaombea Brentford na Sundarland kila mmoja ashinde mechi yake ya mwisho ili Chelkenge asipate hata nafasi ya kushiriki kwenye conference league msimu ujao. View attachment 3591505
Nyie mmeshindwa kumzuia Arsenal asibebe ubingwa na sasa mnataka kufanya nini!
 
Sasa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kilichobaki kwetu sisi Man Utd kamati ya roho mbaya ni kumuachia tu Brighton ashinde mechi iliyosalia, huku tukizidisha dua kuwaombea Brentford na Sundarland kila mmoja ashinde mechi yake ya mwisho ili Chelkenge asipate hata nafasi ya kushiriki kwenye conference league msimu ujao. View attachment 3591505
Sasa Arsenal wamewaachia boya
Tangu mmshinde ligi imepita miaka mingapi?
1779247234226.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom