Angalau mkeka unapumuaImebaki mechi 1 ya ushindi dhidi ya tottenham zilizobaki ni American charity
Angalau mkeka unapumuaImebaki mechi 1 ya ushindi dhidi ya tottenham zilizobaki ni American charity
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mbona Arsenyashi sisi tulimkazia vizuri tu na points zetu 3 tukachukua, Nyie Chelkenge ndio mlijifanya mbuzi mkainua mkia juu na kumruhusu aingize yote Kenge kabisa nyie.Nyie mmeshindwa kumzuia Arsenal asibebe ubingwa na sasa mnataka kufanya nini!
Endeleeni kugombana.....ila msimu ujao ukifika unganeni Tena muamze kutuombea njaa....maana hyo ndo kazi mnayoiweza....kiukweli kabisa.... Chelsea hawatakiwi kucheza hata ndondo cup ya Ulaya....msimu ujao inatakiwa wabaki mulemule Uingereza wawe wanazungukazunguka tu....kucheza na kina Fulham mara Bournemouth...hzo ndo level zao....[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mbona Arsenyashi sisi tulimkazia vizuri tu na points zetu 3 tukachukua, Nyie Chelkenge ndio mlijifanya mbuzi mkainua mkia juu na kumruhusu aingize yote Kenge kabisa nyie.
Na huyo Xabi Alosto nae mtamfukuza tu, baada ya Roman Abramovic kudhulumiwa haki yake aliiapiza na kuiombea laana hili litimu.
Siku zote hua hakunaga baraka kwenye mali za dhuluma kenge nyie na bado mtateseka sana msimu ujao wajaa laana nyie. View attachment 3591838
Xabi Alonso kocha wa kawaida sana, na kwa hii EPL watamfukuza mapema sanaHua unapenda kushindana. Sielewi Arsenal inaingiaje hapo ila lazima ujue Arsenal ni kubwa kuizidi Chelsea ila Arsenal haiizidi Madrid.
Mimi nilikua humu kuanzia mnampoint Lampard na nikasema ni kiazi na mpaka last time mnamleta Rosemary. Na nilichoandika kuhusu Xabi kipo sahihi, wewe endelea na fantasies.
Ukirudi kushabikia Chelsea sema ili nikiwa nakuja kukuonyesha vitu usivyoweza kuviona usiseme umeenda City.
Ulivyojibu hivi unaonekana hujafuatilia hata kwa nini Real Madrid alitokaXabi Alonso kocha wa kawaida sana, na kwa hii EPL watamfukuza mapema sana
Ameshindwa kumanage mastaa wa Madrid ,akawa anategemea mbappe amuokoe kila siku
Alonso atafukuzwa mapema sana
Nimefatilia ,kiukweli Sion utofauti wa Ten hag kipindi anaingia Manjesta na Xabi Alonso huyuUlivyojibu hivi unaonekana hujafuatilia hata kwa nini Real Madrid alitoka
Walivyokusanyana hapo utadhani wana discuss mbinu za maana vile🤠🤠....kumbe wanapanga mipango ya kumfukuzisha kochaHili jukwaa liwe la kupost pisi kali worldwide hamna mpira humuView attachment 3592118
Huyo aliyeandika hiyo list ni kama wewe, just a conspiracy theory ili kuvutia waonaji na kuomba malipo XMBONA KAMA NI MAPEMA SANA KUONYESHA UTAPELI😄💔
Yani Mashabiki wote Wa Chelsea walkua hawataki kumuona ata kweny Starting 11 , ila kocha wao mpya Xabi Alonso ,Kwenye Watu wa5 Aliosema Anawahitaji sana mmoja wao ni TOSIN ADARABIONYO😄, tutaona mengi 🚶🚶
Anyway kwenye wachezaji wa5 Alonso Ambao Kasema lazima awakute ni
Marc Cucurela
Enzo Fernandez
Moise Caisedo
Reece James
TOSIN ADARABIONYO😄
Labda ani prove wrong,but namuona Alonso ni version ya Amorini tu au Erik 7+3hag
Ndugu alimpiga benchi mjukuu wa Florentino PerezNimefatilia ,kiukweli Sion utofauti wa Ten hag kipindi anaingia Manjesta na Xabi Alonso huyu
Muda utasema ,EPL hii ni ngumu sana ,angalia kilichontokea Kompany lakin kule Germany anaonekana world class Manager
Na msivyo wavumilivu ,kufikia X mass mtakuwa mnataka atimuliwe
Xabi anahitaji msimu mzima kuijenga Chelsea na kufanya Sajili muhimu .
Hii mechi tungeshinda huyo wa kati angekuwa man of the match na mchezaji wa 13, kipa wa pili sachez kushoto yeye kulia 🤣Hili jukwaa liwe la kupost pisi kali worldwide hamna mpira humuView attachment 3592118
Mkuu, unaweza kunipa video au post kutoka kwa Alonso akiyasema haya?MBONA KAMA NI MAPEMA SANA KUONYESHA UTAPELI😄💔
Yani Mashabiki wote Wa Chelsea walkua hawataki kumuona ata kweny Starting 11 , ila kocha wao mpya Xabi Alonso ,Kwenye Watu wa5 Aliosema Anawahitaji sana mmoja wao ni TOSIN ADARABIONYO😄, tutaona mengi 🚶🚶
Anyway kwenye wachezaji wa5 Alonso Ambao Kasema lazima awakute ni
Marc Cucurela
Enzo Fernandez
Moise Caisedo
Reece James
TOSIN ADARABIONYO😄
Labda ani prove wrong,but namuona Alonso ni version ya Amorini tu au Erik 7+3hag
Unamaanisha na nani hapo corner wonderCold Pama ,one season wonder