France walishinda World Cup wakiwa na weusi wangapiKocha tumepata, labda azingue kwenye usaljili, ila huyu nina imani nae anatufikisha mahali
Aondoe Sanchez goilini
atoe weusi 3/4 abakize alete weupe, huwezi shinda makombe una wachezaji weusi asilimia 80
Huwezi kushinda ligi namba mchanganyiko wa weusi wengiFrance walishinda World Cup wakiwa na weusi wangapi
Weusi wakiwa defenders ndio changamoto sio vingineFrance walishinda World Cup wakiwa na weusi wangapi
Weusi wakiwa kwenye nafasi ya ulinzi ndio huwa wanaharibu ila sio kwa namna ulivyosemaKocha tumepata, labda azingue kwenye usaljili, ila huyu nina imani nae anatufikisha mahali
Aondoe Sanchez goilini
atoe weusi 3/4 abakize alete weupe, huwezi shinda makombe una wachezaji weusi asilimia 80
Kuna sajili zimeshafanywa tayari ambazo sio zake kama itategemea kocha atawaweka kwenye mipango yake au laah! yote hayo ataangalia kupitia pre season. Nikija kwenye upande wa kipa tutafanya lamaana kama tukiwasajili yule kipa wa ACMilan au Pickford wote hawa Wana ubora wa juu lakini ni makipa viongozi.-Valentine Barco (LB, LWB, CM) kawaaga Mashabiki wa Strasbourg huku Chelsea ikiwa imeshaingia mktaba naye wa awali kuhamia Chelsea msimu ujao
-Emanuel Emegha (Striker) naye anatarajiwa kuahamia Cheslea akitokea Starsbourg
-Giovani Quenda (RWB, RW) jana naye kafanyiwa tukio la kuagwa na Sporting Lisborn ya Ureno
-Dastan Satpayev (Striker, No 10, LW, RW) akitokea FC Kairat
Hao wachezaji wanne ni confirmed na watakuwa usajili wa kwanza wa Xabi Alonso
Chelsea wanategemea kusajili wachezaji wasiopungua wanne msimu huu wa kiangazi, ambao ni:
1) Golkipa mzoefu mmoja — Kuna kila uwezekano Mike Penders abakie Strasbourg kwa mkopo wa ziada, kwani bado hajawa tayari kuwa mlinda mlango namba moja mara moja.
Alternatives zinazowezekanaikiwa Chelsea wataamua kusajili golkipa mpya ni:
i) AC Milan’s Mike Maignan
ii) Everton’s Jordan Pickford
iii) Atalanta’s Marco Carnesecchi
iv) FC Porto’ Diogo Costa
v) Brighton’s Bart Verbruggen
vi) Sunderland’s Robin Roefs
2) Beki wa kati mmoja — Kipaumbele kikubwa ni Murillo kutoka Nottingham Forest, ambapo Chelsea wanaongoza katika mbio za kumsajili.
3) Striker mmoja — Tayari wamekubaliana na Emmanuel Emegha kutoka Strasbourg kujiunga. Wanaweza kutafuta mwingine wa ziada ambaye anayefuatiliwa ni Igo Thiago wa Brentford.
4) Kiungo mmoja — Valentin Barco kutoka Strasbourg yuko karibu sana kujiunga, huku wengine kama Adam Wharton na Elliot Anderson wakiwa kwenye orodha.
5) LW mmoja — Wanahitaji kuimarisha upande wa kushoto, na wanaweza kutazama wachezaji kama Anthony Gordon au wengine wa ubora huo.
Hii ni sehemu ya mpango wa kuimarisha timu chini ya kocha mpya Xabi Alonso.
We mzee kuna mambo unaweza fikiri unayapinga kumbe unayapa unnecessary hypeTimu captain wake ni shoga ni nuksi kwa wachezaji kuitwa timu ya taifa.
Hakuna kitu kama hicho, Saliba na Gabriel wote weusi wale. Mshakuwa affected hadi upande wa reasoning.Weusi wakiwa defenders ndio changamoto sio vingine
Ila world cup unashindaHuwezi kushinda ligi namba mchanganyiko wa weusi wengi
Naangaliaangalia ratiba hapa naona leo mnacheza usiku nyny vibaka🤠🤠....mnacheza kugombania nini yaani na muende wapi....mechi ya Leo ni Abdala dhidi ya dula....yaani Chelkenge mna hekaheka nyingi ila matokeo sufuri.....sasa ALONSO naye mtamtimua baada ya miaka 2....shida siyo makocha shida ni wale wamiliki wenu.....wale jamaa ni vibaka wa mchana kabisa unawaona-Valentine Barco (LB, LWB, CM) kawaaga Mashabiki wa Strasbourg huku Chelsea ikiwa imeshaingia mktaba naye wa awali kuhamia Chelsea msimu ujao
-Emanuel Emegha (Striker) naye anatarajiwa kuahamia Cheslea akitokea Starsbourg
-Giovani Quenda (RWB, RW) jana naye kafanyiwa tukio la kuagwa na Sporting Lisborn ya Ureno
-Dastan Satpayev (Striker, No 10, LW, RW) akitokea FC Kairat
Hao wachezaji wanne ni confirmed na watakuwa usajili wa kwanza wa Xabi Alonso
Chelsea wanategemea kusajili wachezaji wasiopungua wanne msimu huu wa kiangazi, ambao ni:
1) Golkipa mzoefu mmoja — Kuna kila uwezekano Mike Penders abakie Strasbourg kwa mkopo wa ziada, kwani bado hajawa tayari kuwa mlinda mlango namba moja mara moja.
Alternatives zinazowezekanaikiwa Chelsea wataamua kusajili golkipa mpya ni:
i) AC Milan’s Mike Maignan
ii) Everton’s Jordan Pickford
iii) Atalanta’s Marco Carnesecchi
iv) FC Porto’ Diogo Costa
v) Brighton’s Bart Verbruggen
vi) Sunderland’s Robin Roefs
2) Beki wa kati mmoja — Kipaumbele kikubwa ni Murillo kutoka Nottingham Forest, ambapo Chelsea wanaongoza katika mbio za kumsajili.
3) Striker mmoja — Tayari wamekubaliana na Emmanuel Emegha kutoka Strasbourg kujiunga. Wanaweza kutafuta mwingine wa ziada ambaye anayefuatiliwa ni Igo Thiago wa Brentford.
4) Kiungo mmoja — Valentin Barco kutoka Strasbourg yuko karibu sana kujiunga, huku wengine kama Adam Wharton na Elliot Anderson wakiwa kwenye orodha.
5) LW mmoja — Wanahitaji kuimarisha upande wa kushoto, na wanaweza kutazama wachezaji kama Anthony Gordon au wengine wa ubora huo.
Hii ni sehemu ya mpango wa kuimarisha timu chini ya kocha mpya Xabi Alonso.
Nyie mmeshindwa kumzuia Arsenal asibebe ubingwa na sasa mnataka kufanya nini![emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kilichobaki kwetu sisi Man Utd kamati ya roho mbaya ni kumuachia tu Brighton ashinde mechi iliyosalia, huku tukizidisha dua kuwaombea Brentford na Sundarland kila mmoja ashinde mechi yake ya mwisho ili Chelkenge asipate hata nafasi ya kushiriki kwenye conference league msimu ujao. View attachment 3591505
Sasa Arsenal wamewaachia boya[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kilichobaki kwetu sisi Man Utd kamati ya roho mbaya ni kumuachia tu Brighton ashinde mechi iliyosalia, huku tukizidisha dua kuwaombea Brentford na Sundarland kila mmoja ashinde mechi yake ya mwisho ili Chelkenge asipate hata nafasi ya kushiriki kwenye conference league msimu ujao. View attachment 3591505